MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,586
mwanakijiji,if you had been in the STALIN era,definately,definately you would have been exiled to SIBERIA
Mkamap
....hivi ni neno sahihi ni "lamuli" au "ramli"...?
Maoni yangu ni kwamba Mh. Zitto anakubalika vizuri tu ndani ya CCM na Serikalini pengine kuliko hata huko CHADEMA kwenyewe! Aliupigia kelele mkataba wa Buzwagi, bado upo na unatekelezwa kama ulivyosainiwa kule London. Saana ulimpa nafasi kufaidi posho kwenye tume ya Bomani.
Bahati mbaya Wabunge karibu wote wako pale kusubiri TEUZI za Rais kabla au baada ya kumaliza kipindi chao cha UWAKILISHI.
Mag3
ungekuwa Na Busara Japo Kidogo Ungeniuliza Kwa Nini Nimeona Chadema Walikuwa Na Jukumu Na Bado Wana Jukumu La Kulinda Japo Wabunge Wao. Lakini Nitakusamehe Maana Inaonyesha Uwezo Wako Wa Kufuatilia Mjadala Ni Mdogo.
Nitakuelimisha; Chadema Walishaomba Ulinzi Kwa Igp Sio Mara Moja Na Wala Sio Mara Mbili, Sijawahi Sijawahi Kusikia Chadema Wakishukuru Kwa Kupatiwa Ulinzi; Hii Inaonyesha Kwamba Labda Hawakupewa Au Walikubaliana Na Utaratibu Mwingine Kufuatia Ombi Lao. Vyovyote Kati Ya Hayo Ni Jukumu La Chadema Kuhakikisha Wabunge Wao Wako Salama Iwapo Watalindwa Na Dola Kwa Mujibu Wa Katiba Au Sungusungu Kwa Mujibu Wa Jadi.!! Siasa Ni Mchezo Mchafu; Chadema Inajua Hilo Lakini Wamefeli Mtihani.
Wewe Unailaumu Serikali Kwa Lipi Hapa Je Kwa Marehemu Ambaye Ni Mbunge Kupanga Safari Na Kijana Asiyemjua, Asiye Na Leseni, Aliyeendesha Kasi Au Unalaumu Serikali Kwa Sababu Mapenzi Yako Kwa Chadema Yanakufanya Uwe Mvivu Wa Kufikiri. Majukumu Ya Chadema Ni Yapi Kwenye Usalama Wa Chama Na Viongozi Wake...???
NIMESEMA SIASA NI MCHEZO MCHAFU...CHADEMA HAWATAKI KUJIFUNZA LILE JIMBO KWA SASA NDIO KUSEMA LIMESHARUDI KWA CCM. SASA NANI NI ZUZU HAPO CCM AU CHADEMA?? RUDI DARASANI UKAELIMIKE.
Wiki moja kabla ya kifo cha Wangwe habari ziliingia kwa njia ya sms zikiwa na ujumbe uliokuwa unamaudhui yafuatayo "tumempoteza mpambanaji mwenzetu Zitto"! Ujumbe huo ulikuwa ni kutaarifu juu ya kifo cha Zitto aliyekuwa safarini Kenya wakati huo.
"Ka Nzi" ka KLHN ambako hakatii kanuni ya muda kameweza kurudi nyuma hadi masaa machache baada ya Zitto kupanda ndege kwenda Kenya; Watu watatu walikuwa wanamfuata. Aligundua anafuatwa walipofika Kenya kwani watu hao walionekana Airport na baadaye Hotelini. Na hata siku ya sms alipokuwa Mombasa watu hao walionekana tena. Zitto aliamini kuwa ni watu wa usalama wa taifa letu (siyo kitu kigeni kufuatwa kama ulinzi). Hakuna na shaka.
Hadi pale sms ilipotumwa ikiwa na taarif hiyo na kwa hakika habari zilikuwa ziendane na ajali. Bahati nzuri (mbaya kwao) ujumbe ulitumwa kabla ya tukio na hivyo alipopigiwa simu kuulizwa kama ni mzima alishangaa kuulizwa kwani alikuwa ni mzima kabisa. Ndipo ika "click". Imetonywa toka vyanzo ndani ya wana usalama kuwa Zitto alipiga simu kuulizia kama kuna "tail" ya UwT na akaambiwa la hasha hakukuwa na mtu/watu waliotumwa na taasisi hiyo kumpatia ulinzi au kumfuatilia.
Mara moja mipango ya kurudi Tanzania haraka ikafanywa na kubadilisha itenerary yake kwa kutumia kile ambacho kinaitwa kama "diversion measures" na kuweza kumrudisha Zitto Tanzania salama na kuevade potential threat. Mtu mmoja aliyeshiriki katika kuhahakisha Zitto anarudi salama na kupewa Ulinzi alitamka kwa uhakika sana "Hawa jamaa wanataka kuua mtu, hatujui ni nani".
Taarifa hizi zilipelekwa kwa IGP na Rashid Othman (refer barua ya Mnyika). Kiongozi ambaye inaonekana alikuwa the most vulnerable. Ni sawa na ndege aliyepweke ndiye mwenye kupigwa na manati! na kama Mbugani ni mnyama dhaifu na anayeenda peke ni rahisi kutafunwa na simba.
Vyanzo hivyo vinanong'oneza kuwa ya Zitto ingekuwa ni ajali iliyotokea nje ya nchi na hivyo almost impossible to associate na foul play. Na kwa maoni ya vyanzo hivyo isije kushangazwa kuwa jambo kama hilo linatokea nje ya nchi (hasa nchi za majirani) na hivyo kufanya uharamia huo kwenda nje ya mipaka yetu.
Nilikuwa na maswali mengine mengi, na ka nzi kamepeperuka! and I'm out!
MMKJ,
Ipi kati ya hizi mbili ni hatari zaidi
(1). Brain Wash au
(2). Brain Drain
Conspiracy Theories!