Wife Anazingua

Wife Anazingua

Tafuta wazee wakufundishe kuandika talaka kama wewe hujui, kama hata sababu hana kwa nn hg aondoke? Halafu angalia na ubinadamu kwa huyo unayelazimishwa kumrudisha pengine wazazi wake walijua wamepata ahueni afu umrudishe tu bila sababu ya maana utaonekana huna msimamo na mswahili, utapata mikosi tu kwa manung'uniko ya huyo binti kama mtamwondoa bila sababu ya msingi,
 
yawezekana mimba ndo chanzo mwache tu mdada aondoke.
 
kaka nisamehe kwa ushauri wanguashakum si matusi,huenda huyo hg kamfunika mkeo so machale yamemcheza ukitaka ndoa yako idumu achana kujihusisha na mambo ya mahousegal hao bosi wao ni mama cha msingi kazi za ndani ziende na awe na adabu kwako
 
Sio madudu jaman.Mungu amewapa wanawake macho ya kuona vitu ambavyo wewe kama mume huwezi kuona kwa haraka.huwenda kuna vitu ameviona.

Ndo maana nimemwambia atulie aongee nae vizuri....Lakini hata ningekua mimi ningeweka ngumu, huwezi kusema tu humtaki bila sababu ati
 
Imekaa hivi
  • Nina mtoto mmoja wa ujanani (5) Sikuzaa na mke wang
  • Wife mjamzito (Mimba ya 1)
  • Wife ni mama wa nyumbani

muonekano wa binti ukoje? inawezekana mama katishika na muonekano wa binti, na pia inaonekana mkeo hakuamini kutokana na nyendo zako na inawezekana pia haamini kama umemtafuta kwa ajili ya kazi ( kazi inaweza kuwa geresha tu) kutokana na sifa alizo nazo. ushauri kama utaamua kukubaliana na mkeo kumrudisha binti basi jukumu la kutafuta mwingine mwachie yeye atafute wa sifa anazotaka yy ww uhusike kwenye kuwezesha masuala kama ya nauli kama yatakuwepo.
 
canmarriagebesaved-300x290.jpg
save-marriage-edited.jpg

AMIfv95rSTgbpRcV0v7XQlhCA0fPmY-BR8_0TsHDk9l9cXQX_78cimqYO4NPYcFxSSi2ox4zvMYML0NDmZAOf-unW9CWCE-W7OV9rKurJgnItxWviCybnWWFpohwu5pZCi3bQKO-R35WvTPQlRv6oQ8B1F_FN_Hs_Q

karen-altfest-quote-it-can-save-your-marriage.jpg
 
Habari MMU.

Jumanne jioni tulipata mgeni nyumbani kwetu (Housegirl). J5 asubihi nkamuacha wife na hsg home nkaenda kazini. Kabla ya kumleta yeye ndiyo alikuwa anamtaka na kusistiza ni muhimu atusaidie shughuli za hapa Home anachoka sana. Alionyeshwa picha tuliyotumiwa kwa email na kumhoji maswali kwa simu kabla sijatuma nauli (100,000) aje. Hsg katoka mbali sana Bukoba tulimpata kutokana ya kuwa ni mdogo wa Hsg wa rafiki yangu.

Cha ajabu ni kuwa toka alhamis wife aliniomba tumrudishe kwao eti hamtaki, mi nkamsihi ampe mda amzoee. Aliendelea kusema hamtaki mpaka jana usiku ukazuka ugomvi mkubwa kati ya mimi na yeye. Mwanamke haelewi kasimama kidedea Hsg aondoke. Hakuna kosa alilofanya mdada wa watu tena mpole sana. Namuuliza mke wang tatizo ama kosa lake hana hata moja anachojua yeye binti arudi kwao. Eti jamani utamfukuzaje mtu bila Kosa?

Mpaka sasa sababu kubwa ni kuwa roho yake inamchukia na anahisi si mtu mzuri. Kwa kuwa namtetea na sioni mantiki ya Hsg kufukuzwa jana kazusha kuwa nimempenda na nataka nitembee nae. Kila ninalomwambia aelewi mpaka sasa yeye kang'ang'ania Hsg lazma aondoke. Naona aibu kwa rafiki yangu aliyotutafutia kumrudisha tena kwako huyu bint tena bila kosa. Pia sitaki wanaume wenzangu ambao wananikubali waone kuwa naburuzwa na mwanamke.

Kilichonifanya niandike hapa ni kuwa kasema kama Hsg haondoki mpaka kesho basi ataondoka yeye aniache naye. Mimi nafikiria kukomaa kama anaenda na aende sitaki anipande kichwani au nakosea? Nishaurini jamani maana tatizo ni kwa nini analotaka lake na ni lazma liwe?

Naomba Tafadhali Nina shida na House girl
 
Anayeshinda na msichana wa kazi ni wewe au yey?

Anayempangia kaI ni wewe au yeye?

Unajua mkeo kaona nini au kahisi nini mpaka ang'ang'anie hg aondoke? Au mpaka watoto (of course sio wewe unayeenda labor, kwa hiyo swala la uchungu halikuhusu) wawekwe kwenye friji ndo utajua kama hg hafai?

Ulipaswa ukae chini na mkeo mzungumze ujue kaona viashiria gani mvimalize, sasa unataka mkeo aondoke una maanisha niji? Kuna nini kilichojifichankato yako na hg?

Kumbuka hg ndo mwangalizi wa karibu wa nyumba, kama kuna dalili mbaya mkeo kazihisi ni vyema kutatua kuliko kuleta ubabe usio na maana, 100,000 ni kubwa kuliko ustawi wenu? Thamani ya maisha yenu ni 100,000??

Next time mwachie mkeo mambo ya hg, hayakuhusu wewe kinachokuhusu ni kutoa hela tu

Ila nimekushangaa, badala ya kumuwaza mkeo unawaza rafiki zako watakuchukuliaje? Unayajua maisha ya ndani ya rafiki zako? Si ajabh wanapigishwa deki na wameuchuna

Next time jifunze uanaume sio ubabe bali ni busara
 
aiseeee

kweli
wewe ni maskini Wa Akili sasa utaendaje kuleta
h.girl aliemfunika wife?? alafu mbaya zaidi katoka Bk, na alieongoza
show nzima ni wewe..

kazi unayo.

kinachomsumbua wife ni wivu, kapata hofu ya wewe kutembea na huyo binti
na hawezi kukwambia live.

siku ingine mwachie atafute mwenyewe
 
Last edited by a moderator:
ninavyojua mm ni kuwa hapo ww msikilize huyo mkeo maana ndiye mwenye nyumba hapo na ndio mhusika mkuu
usilete shida kwa msala upitao ,tafuta hata kwa mtu mpeleke huko afanye kazi linda ndoa yako.
 
Habari MMU.

Jumanne jioni tulipata mgeni nyumbani kwetu (Housegirl). J5 asubihi nkamuacha wife na hsg home nkaenda kazini. Kabla ya kumleta yeye ndiyo alikuwa anamtaka na kusistiza ni muhimu atusaidie shughuli za hapa Home anachoka sana. Alionyeshwa picha tuliyotumiwa kwa email na kumhoji maswali kwa simu kabla sijatuma nauli (100,000) aje. Hsg katoka mbali sana Bukoba tulimpata kutokana ya kuwa ni mdogo wa Hsg wa rafiki yangu.

Cha ajabu ni kuwa toka alhamis wife aliniomba tumrudishe kwao eti hamtaki, mi nkamsihi ampe mda amzoee. Aliendelea kusema hamtaki mpaka jana usiku ukazuka ugomvi mkubwa kati ya mimi na yeye. Mwanamke haelewi kasimama kidedea Hsg aondoke. Hakuna kosa alilofanya mdada wa watu tena mpole sana. Namuuliza mke wang tatizo ama kosa lake hana hata moja anachojua yeye binti arudi kwao. Eti jamani utamfukuzaje mtu bila Kosa?

Mpaka sasa sababu kubwa ni kuwa roho yake inamchukia na anahisi si mtu mzuri. Kwa kuwa namtetea na sioni mantiki ya Hsg kufukuzwa jana kazusha kuwa nimempenda na nataka nitembee nae. Kila ninalomwambia aelewi mpaka sasa yeye kang'ang'ania Hsg lazma aondoke. Naona aibu kwa rafiki yangu aliyotutafutia kumrudisha tena kwako huyu bint tena bila kosa. Pia sitaki wanaume wenzangu ambao wananikubali waone kuwa naburuzwa na mwanamke.

Kilichonifanya niandike hapa ni kuwa kasema kama Hsg haondoki mpaka kesho basi ataondoka yeye aniache naye. Mimi nafikiria kukomaa kama anaenda na aende sitaki anipande kichwani au nakosea? Nishaurini jamani maana tatizo ni kwa nini analotaka lake na ni lazma liwe?

ndoa kazi....n'way alishastuka kuwa unaweza kupita,pengina anajua una kauzoefu hako
 
nyumba yenu haina idara?
kuna vitu lazima mkeo ndo awe HoD.
laaazma!!
mojawapo ni hili la nani anafaa kuwa hg na nani hafai!!
na kama hafai
sababu tunazijua wenyewe

Ameshikilia yeye idara zote, si unaona anaogopa kupandwa kichwani?
 
Unajua nin kaona labda HG ni mkali. Afu kasikiaga kuwa huwa wanavunjaga ndoa. Komaa kaka
 
Imekaa hivi
  • Nina mtoto mmoja wa ujanani (5) Sikuzaa na mke wang
  • Wife mjamzito (Mimba ya 1)
  • Wife ni mama wa nyumbani

kumbe wife mjamzto nw jibu limekuja possibly ndio chanzo maana wanawake wengne wakiwa na hyo hali no sheedah!
ushaur either mpleke kwa mtu mwengne au mrudishe
onyo usjiingze tena kwenye habar za kuchagua hg akija we toa mshahar wKifukuzana watajua wenywe
 
Hakuna mzigo kwa mwanaume kama kuwa na mke asojitambua; mimi kwanza napenda hg mzuri, ili si kila mgeni akija basi ajue huyu hg. Wewe mrudishe hg kwao, isiwe tabu;

next time usirudie kumtafutia mkeo hg, hiyo ni biashara yake;

mwache akipigika atajua kuwa hg awapatikani kirahisi.
 
Back
Top Bottom