Wife Anazingua

Wife Anazingua

hg alikuwa na email kabla hajaja kwako?

wataka mkeo aondoke halafu ubaki na hg? tengeneza amani ndani ya family yako. mwache hg aende, halafu usijihusishe tena na mambo ya ku-recruit hg
ila la muhimu zaidi, mtafutie mkeo kazi au biashara afanye.
 
Suala la house girl ni jukumu la mama wa nyumba ndio anayeamua akae na yupi na yupi hamtaki baba wa nyumba kazi yake ni kuwezesha tu hapaswi kumchagulia au kumlazimishia wife kukaa na hg ambaye wife anaona hamfai. Wife akiamua aondoke baba wa nyumba hupaswi kuingilia. La muhimu utumike utaratibu unaofaa katika kumuondoa hakuna sababu ya kukosekana kwa furaha kwenye ndoa yenu kisa HG. Hakuna la ajabu hapo HG anaweza kuja leo na kesho akaondoka kama wife anaona hamfai na maisha yanaendelea
 
Wanawake ni kama watoto umleavyo ndivyo atavyoishi hata kama ana PHD kuna vitu wanafanana sana hivyo lazima uweke misingi toka mwanzo ili anapoamua kukuingia ktk jambo lazima apange hoja otherwise matokeo yake anayajua!!
 
Pole sana, point ya muhimu hapo ni UJAUZITO period! kama mke wako ni mjamzito tena ni miezi mitatu ya kwanza ya ujauzito, shida haiko kwa mkeo, ni kwa sababu ya ujauzito, wanawake huwa wengi wanabadilika sana kipindi hiki cha ujauzito kitabia,hasa miezi mitatu ya kwanza ingawa inaweza kuzidi miezi zaidi ya hapo, wanaweza kuchukia jambo bila hata sababu, wanaweza kuchukia hata chakula, na akijifungua huwa anarudi normal, hii inachangia na mabadiliko ya hormones mwilini. mfano mke wangu alikuwa anachukia sana perfume yangu, niliacha nikaanza kutumia yake, rafiki yangu mke wake alimuambia wahame nyumba wanayoishi, alikataa kulala ndani, bahati nzuri alukua anamalizia nyumba yake wakahamia, rafiki yangu mwingine alikua hamtaki mdogo wake alimchukia gafla nikamshauri amuondoe but hekima itawale,
USHAURI: Hatatulia mke wako wala hatakusikia kiurahisi, mpeleke mahali pengine house girl wako km unandugu kwa muda km bado unamkubali mpeleke hata kwa ndugu yako mwingine au mahali popote anapoweza kuishi kwa USALAMA ili udumishe urafiki wako na aliyekutafutia au kaa na aliyekuconnect kuwa mwanaume halisi, but usimpondee mke wako kuwa hamtaki, coz we dont attack our partner
MWISHO inawezekana akawa na tabia ya kukomaa kipindi hiki itazidi, cha msingi hiki ndicho kipindi unachotakiwa kuonyesha upendo wako zaidi, uvumilivu, msaidie.
 
Wife wako ana ugonjwa wa wanawake wote wa kufikiria kuwa wanaume wote wa-zero grazing. Hapo komaa kabisa otherwise mwambie akiondoka huyo hamna HG atakayekanyaga kwenye nyumba hiyo labda on your dead body.
 
mkuu usikubali kukaliwa mna mke wako,kama vipi mpe huyo HsG promotion tena hapo huenda ukafaidi na katerero
 
Mkuu maskini wa akili asikufanye kweli kuwa ww ni maskini wa akili ivo.yaaaani.umtafute hg.halafu ghafla aseme tu hamtaki...hata haki za binadamu na utu haupo hapo.kabisa. kama vipi akapumzike yeye akishajifungua atapata akili😎
 
Last edited by a moderator:
Mkuu hata mm yananitokea sana Wife wangu naye ni mbishi hasa kwa maHG yaani hatumalizi miezi 2 na BEKI 3 yeyeote ni kumhisia vibaya tu na kwa vile Wife anashinda dukani/ ambapo upande wa nyuma ni Home basi zogo haliishi
mm nakushauri baki na HG tu mpaka aeleze ni nini anataka maana utafukuza wengi au anataka awe anakuibia sasa kakuta huyo KOKU ni wa kwenu atatoboa siti
 
Iyo kabila ukikuta ni hsgl ujue ni kwa kabila lake sio vinginevyo mtoe haraka labda kama unampango nae useme.
 
Mkuu maskini wa akili asikufanye kweli kuwa ww ni maskini wa akili ivo.yaaaani.umtafute hg.halafu ghafla aseme tu hamtaki...hata haki za binadamu na utu haupo hapo.kabisa. kama vipi akapumzike yeye akishajifungua atapata akili😎

Omba Mungu DEMBA asisome hapa
 
Last edited by a moderator:
Mjinga tu mwache kama anataka aende itakua good riddance.
 
Mahausgl wengine hawafai hata kama ukimpa muda kiasi gani, km wife kagundua kasoro aziweke wazi si tu kukwambia usipomuöndoa ataöndoka yy hiyo ni kauli mbovu! Hgl ni mtu muhm sana hm kama anajua anachokifanya na kwa ubize wa dsm hgl anasave sana na kumpata asiye na kasoro ni vigumu unamuelekeza mpaka anaelewa nn cha kufanya
 
mwache aende,huyo gf km analipa mpromote to maza hausi:A S-devil4::A S-devil4::A S-devil4: ataisoma number
 
Fanya hivi kaka wewe tafuta mtu anaehitaji housegirl then mpatie na uhakikishe anapewa kie kiasi ulichopatana nae wewe kuepusha ugomvi na mke wako, kuwa makini sana na mke wako, kwanza kampime utakuwa ushaweka mimba huyo mke ila hamjijui bado.
 
Back
Top Bottom