Imekaa hivi
- Nina mtoto mmoja wa ujanani (5) Sikuzaa na mke wang
- Wife mjamzito (Mimba ya 1)
- Wife ni mama wa nyumbani
Mwache tu aondoke...mbona kazi za nyumbani sio ngumu ni vizuri azifanye mwenyewe...na akikosea hana wa kumlaumu
Imekaa hivi
- Nina mtoto mmoja wa ujanani (5) Sikuzaa na mke wang
- Wife mjamzito (Mimba ya 1)
- Wife ni mama wa nyumbani
hapo kwenye bold...tafakari...chukua hatuaimekaa hivi
- nina mtoto mmoja wa ujanani (5) sikuzaa na mke wang
- wife mjamzito (mimba ya 1)
- wife ni mama wa nyumbani
alimtaka yeye-ukamletea, sasa anamkataa-hutaki aondoke??? Ndoa ni yako na mkeo huyo (house girl) si lolote ktk ndoa yako kama unataka mng'ang'anie halafu uone.
hapo kwenye bold...tafakari...chukua hatua
Usafi wa nyumba, usafi wa nguo, upishi na usafi wa vyombo ni department iliyo chini ya mke. Hivyo recruitment yake mama ndiye muhusika mkuu, kuanzia interview (oral) na physical appearance assessment.
Head wa Finance (baba) unahusika linapokuja swala la malipo tuuu! Hivyo Head wa Department husika anaweza kumfire mwajiriwa aliyeko chini yake wakati wowote anapoona inafaa na Head - Finance Department anafanya kuratify hayo maamuzi na sio ku-object.
Take Note.
Kwa hili la Hgirl wala usivuruge ndoa kwa ajili ya Hgirl! Itakubidi uwe mpole na kuwaelimisha wale wote waliohusika wewe kumpata huyo Hgirl, waeleweshe wataelewa tu! Kingine jitoe rasmi ktk michakato ya kutafuta ma-Hgirl, wewe ibaki kuwalipa tu! Hapo ktk blue inaonyesha shemeji ana shida kidogo! Nafahamu wapo wanawake wa sample hiyo, hupenda kuwa juu ya wanaume, nimeshawaona sana hawa! Hilo litafutie dawa yake taratibu!
Ni kweli kabisa mambo ya housegirl liwe ni jukumu la mkeo jitahidi ukae mbali nao hata wakitaka chochote waambie wamfuate mkeo.Mkuu ukitaka amani ya roho yako hayo mambo achana nayo weee tafuta chapaa hakikisha supplies zipo hayo ya msaidizi achana nayo kabisaaaaa!!!!!!!
Akimfukuza akimuacha wewe ndio iwe mwanzo na mwisho kushiriki katika hilo utapata amani la sivyo utakuwa HR manager hapo wa kuajiri na kutimua!!!!!
sasa mwanamke kumwambia mume hajaridhika na hausigel ndo kumpanda mumewe kichwani?
Sio madudu jaman.Mungu amewapa wanawake macho ya kuona vitu ambavyo wewe kama mume huwezi kuona kwa haraka.huwenda kuna vitu ameviona.Wanawake wengine yani utadhani huwa wana wadudu vichwani mwao. Ila cha kufanya mkuu ni kujaribu kuongea nae vizuri huyo my wife wako, jaribu kushuka chini akuelezee ni nn haswa sabau ya kutaka huyo HG aondoke
aiseeeee
kuna wanawake wasumbufu balaa
ss km yy yupo hom tu hg wa nn saiv, unless akishajifungua.
btw huyo ana wivu na hivi ni mama wa nyumbani ndo kabisaaaa.
isimrudishe kwao , haitaleta picha nzuri lazima tuwe na ubinadamu jamani mpeleke kwa wengine wanaomhitaji