Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 10,404
- 8,699
Pole sana.
Ushauri umeshapewa. kata mirija ya pesa uone kama hatakutafuta.Niko na stress na depression na hasira sana sijui nifanyeje?hapokei simu kabisa
ya mke wake umsaidie kumwambia apoke simu au?Sawa,tulia kwanza,ni lazima utumie busara kubwa sana kutatua tatizo hili.Ushauri wangu tafuta njia ili apokee simu yako,kama unamjua kaka yake au dada yake basi mjulishe tatizo hili ili amwambie huyo mkeo apokee simu,ufumbuzi wa tatizo lenu upo kwenye kuongea,ukitaka msaada wangu karibu,nipo tayari kukusaidia
Hapana yeye mwenye akitaka msaada wa mawazo aje inbox yapo mengine siwezi kuyasema hapaUnataka akupe namba
ya mke wake umsaidie kumwambia apoke simu au?
Tutafute koneksheni mkuu tukabebe boxMamaee,mke wa mbeba box analipwa nambeba box mshahara kuliko watumishi wengi wa serikali ya tz
Yaseme tu chief watu wapate nondo. utakuta wapo wengi wanaokutana na hali hii.Hapana yeye mwenye akitaka msaada wa mawazo aje inbox yapo mengine siwezi kuyasema hapa
Acha ubwegee wew huyo ashajipimaa ana uwezoo ndo maana analeta jeurii.. hao watoto wanakula mil ngapi kwa siku??Sawa nifanyaje?watoto bado wadogo wataenda wapi?ukweli naumia hajui ugumu wa kutafuta pesa nataman aungie mtaani aone kama hata laki ataipata, nawaza hao watoto mimi nililelewa na bibi sitaman watoto wapitie hayo. Au nawaza nimpeleke dar wakakae nyumbani kwetu kuna nyumba ya uwani chumba kimoja , jiko na choo.
Hawezi kudangaa ila atarudisha adabuu maana kupata 1.4mil kwa kuuza uchi sio mchezoo aiseee labda kama ana mwana mmoja anaempa hela.Akikosa pesa si ndo atato***mbeka kisawa sawa?
Unajua fursakibao mimi Mungu amenipa baraka kubwa mno na napenda sana kusaidia binadamu wenzangu,nina ndoa 2 ambazo zina miaka 30,mke mmoja ni mtanzania na wa pili ni mtanzania,nimekaa nje ya nchi miaka mingi na hatimae nimerejea tanzania,kuishi kumalizia muda wangu duniani,nimekutana na mambo mengi mno kwenye ndoa,kwenye maisha,kwenye kazi na hata kwenye migogoro na magomvi ya kila aina.Itajiri huo wa maarifa huwa nafurahi kusaidiana na watu.Yaseme tu chief watu wapate nondo. utakuta wapo wengi wanaokutana na hali hii.
Tatizo sio Ulipo angukia ilaha Ulipo jikwaaSalaam,
Niende kwenye mada hapo juu Mimi niko America toka 2023 nabeba box, awali ilikua kila siku wife anapiga tunaongea hata mda mfupi wa break (naingia night shift)sasa hiv mpk mimi ndo nipige simu.
Mbaya zaidi weekend hii imepita hatujaongea hajali, tatizo kubwa lilianza pale alipotembelewa na dada aliyenitambulisha ni mamdogo mimi ndugu zake wote siwajui, nifanyeje?
Sitaki hii familia isambaratike tuna watoto wawili na kila mwez natuma 1.4 matumizi, wanakaa nyumba nzuri peke yao, wazazi wapo mkoa mwengine.
Huyu mamdogo nimefukuza kesho anasepa, hata hapa sa hivi wife hapokei simu.
Ushauri please!!
Badilika na wewe usipokee simu wala kutuma hiyo helaSalaam,
Niende kwenye mada hapo juu Mimi niko America toka 2023 nabeba box, awali ilikua kila siku wife anapiga tunaongea hata mda mfupi wa break (naingia night shift)sasa hiv mpk mimi ndo nipige simu.
Mbaya zaidi weekend hii imepita hatujaongea hajali, tatizo kubwa lilianza pale alipotembelewa na dada aliyenitambulisha ni mamdogo mimi ndugu zake wote siwajui, nifanyeje?
Sitaki hii familia isambaratike tuna watoto wawili na kila mwez natuma 1.4 matumizi, wanakaa nyumba nzuri peke yao, wazazi wapo mkoa mwengine.
Huyu mamdogo nimefukuza kesho anasepa, hata hapa sa hivi wife hapokei simu.
Ushauri please!!
Kodi, matumiz yake na msosi .Mkuu hiyo 1.4m unayompa kila mwezi ni ya kununulia nini?Chakula tu au kuna vitu vingine special?
Halafu kama ulikuwa hujui hiyo pesa unayomtumia ndio inayompa kiburi anaona maisha ameshayapatia na kingine anaona ameshakukamata yaani hufurukuti kwake akikohoa tu unatetemeka.
Ndio mara ya kwanza kuona mtu anayeishi ughaibuni anakuwa mzembe kiasi hiki
Mmmh!!Au ndio huu mchepuko wangu unaniambia mmewe yuko Canada?
Kuna shule za boarding kwa kindergarten tafuta hio shule,wachukue madogo peleka huko halafu ww utakua unarudi mwaka mara moja kuwaona wakikua chukua mazima,fanya mpango urudi nyumbani ufanye hayo yote,then mpotezee mama mtu km bado analeta ujingaSalaam,
Niende kwenye mada hapo juu Mimi niko America toka 2023 nabeba box, awali ilikua kila siku wife anapiga tunaongea hata mda mfupi wa break (naingia night shift)sasa hiv mpk mimi ndo nipige simu.
Mbaya zaidi weekend hii imepita hatujaongea hajali, tatizo kubwa lilianza pale alipotembelewa na dada aliyenitambulisha ni mamdogo mimi ndugu zake wote siwajui, nifanyeje?
Sitaki hii familia isambaratike tuna watoto wawili na kila mwez natuma 1.4 matumizi, wanakaa nyumba nzuri peke yao, wazazi wapo mkoa mwengine.
Huyu mamdogo nimefukuza kesho anasepa, hata hapa sa hivi wife hapokei simu.
Ushauri please!!