Wife amebadilika ghafla naumia

Wife amebadilika ghafla naumia

Upo US ila una stress za mke umatumbini🤔 nan alikuambia fimbo ya mbali inaua nyoka bwashee? Piga kazi tengeneza credit score yako nzuri maisha mengine yasonge.
Anashangaza sana huyu jamaa

Kuanzia lini stress zikaletwa na mwanamke badala ya kuletwa na uchumi?

Yaan mtu una uchumi tena unaishi na mambele unaanza kuteswa na mapenzi!!
 
Salaam,

Niende kwenye mada hapo juu Mimi niko America toka 2023 nabeba box, awali ilikua kila siku wife anapiga tunaongea hata mda mfupi wa break (naingia night shift)sasa hiv mpk mimi ndo nipige simu.

Mbaya zaidi weekend hii imepita hatujaongea hajali, tatizo kubwa lilianza pale alipotembelewa na dada aliyenitambulisha ni mamdogo mimi ndugu zake wote siwajui, nifanyeje?

Sitaki hii familia isambaratike tuna watoto wawili na kila mwez natuma 1.4 matumizi, wanakaa nyumba nzuri peke yao, wazazi wapo mkoa mwengine.

Huyu mamdogo nimefukuza kesho anasepa, hata hapa sa hivi wife hapokei simu.

Ushauri please!!
Sawa,tulia kwanza,ni lazima utumie busara kubwa sana kutatua tatizo hili.Ushauri wangu tafuta njia ili apokee simu yako,kama unamjua kaka yake au dada yake basi mjulishe tatizo hili ili amwambie huyo mkeo apokee simu,ufumbuzi wa tatizo lenu upo kwenye kuongea,ukitaka msaada wangu karibu,nipo tayari kukusaidia
 
Salaam,

Niende kwenye mada hapo juu Mimi niko America toka 2023 nabeba box, awali ilikua kila siku wife anapiga tunaongea hata mda mfupi wa break (naingia night shift)sasa hiv mpk mimi ndo nipige simu.

Mbaya zaidi weekend hii imepita hatujaongea hajali, tatizo kubwa lilianza pale alipotembelewa na dada aliyenitambulisha ni mamdogo mimi ndugu zake wote siwajui, nifanyeje?

Sitaki hii familia isambaratike tuna watoto wawili na kila mwez natuma 1.4 matumizi, wanakaa nyumba nzuri peke yao, wazazi wapo mkoa mwengine.

Huyu mamdogo nimefukuza kesho anasepa, hata hapa sa hivi wife hapokei simu.

Ushauri please!!
Kaka focus uzichange hizo Doo achana na mambo ya mapenzi kwa maana mshika mawili siku zote moja humponyoka so chagua moja unataka mapenzi au unataka pesa?

Kama unataka mapenzi rudi ili uweze kumcontrol huyo unaemuita mkeo kwa maana anakula na kushiba vizuri so hatoweza kuishi kama mgomba.

Ila kama unataka Doo endelea kutulia huku ukiupa muda nafasi na kuendelea kutimiza majukumu yako ya ubaba.

Kuna baadhi ya wanawake kadri unavyowafuatilia ndio kadri wanavyofanya makosa so ishi kwa namna ile ambayo yeye anahitaji kwa maana sasa hivi huna ujanja wa kumcontrol hata angalau kwa asilimia moja.

Usiruhusu hisia za mapenzi zikuendeshe hasa unapokuwa kwenye harakati za kuyajenga maisha yako kwa maana zitakutoa kwenye mstari.
 
Sawa,tulia kwanza,ni lazima utumie busara kubwa sana kutatua tatizo hili.Ushauri wangu tafuta njia ili apokee simu yako,kama unamjua kaka yake au dada yake basi mjulishe tatizo hili ili amwambie huyo mkeo apokee simu,ufumbuzi wa tatizo lenu upo kwenye kuongea,ukitaka msaada wangu karibu,nipo tayari kukusaidia
Nahitaji msaada, tuliishi vizur pamoja nikaondoka kwa maamuz yangu ingawa nilimshirikisha mwishoni kabisa baada ya kupata visa sitaki tuachane juu kwa juu nahitaji kweli nitulize akili.
 
Yaan Mimi hapa nilipo hata demu mwenyewe sitaki hata kumsikia

Nimekaa nafanya bidii kujikwamua kwanza kuichumi ndo mambo mengine yafuate, kumbe tena Kuna wajinga washajikwamua kuichumi bado wanaendelea na ujinga tena
Kabisa mkuu, sema huyo ni mama watoto wake inabidi afanye maamuzi magumu , au avunge tu kwa sababu kama ni kuchapiwa atachapiwa tu na inaweza fika mbali hata hela anazotuma vijana wakahongwa.
 
Sawa,tulia kwanza,ni lazima utumie busara kubwa sana kutatua tatizo hili.Ushauri wangu tafuta njia ili apokee simu yako,kama unamjua kaka yake au dada yake basi mjulishe tatizo hili ili amwambie huyo mkeo apokee simu,ufumbuzi wa tatizo lenu upo kwenye kuongea,ukitaka msaada wangu karibu,nipo tayari kukusaidia
Hii njia akiitumia yaani hilo kosa atarudia tena na tena,Mwanamke akishajua hupindui kuhusu yeye Mwanaume utapata tabu sana bila kusimama kiume atalea watoto ambao si wake.
 
Umenikumbusha stori ya BICHWA KOMWE, alizamia mamtoni halafu akamuacha mumewe KINONDONI.

Baadaye lile jamaa la KINONDONI likakata mirija yote ya fedha kwa BICHWA KOMWE, basi ikabidi BICHWA aolewe na VIKONGWE wa marekani ili kujikimu kimaisha.

Baadaye akatimuliwa akarudi kwao KIMANZICHANA.

Kitu pekee anachojitapa nacho ni kukutana na Nyani Ngabu Los Angeles na kupewa ofa ya BIA na MIGUU YA KUKU.

Cc: Lamomy Mbaga Jr secretarybird Extrovert cocastic
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom