SweetyCandy
JF-Expert Member
- Sep 17, 2022
- 5,181
- 9,796
Nyie mnawaoaga wanawake ambao hawajitambui mkilizwa mnakuja kuomba msaada hatuna huo msaada wapigie wazazi wake .
Tatizo unajali sana hawa viumbe ukitaka kuishi nao kwa amni kuwa neutral Yani asikuelewe harafu kipindi upo huku bongo Kwa mwezi mlikuwa mnatumia hela kama hiyo unayomtumia au ni baridi la ulaya linakuchanganyaSalaam,
Niende kwenye mada hapo juu Mimi niko America toka 2023 nabeba box, awali ilikua kila siku wife anapiga tunaongea hata mda mfupi wa break (naingia night shift)sasa hiv mpk mimi ndo nipige simu.
Mbaya zaidi weekend hii imepita hatujaongea hajali, tatizo kubwa lilianza pale alipotembelewa na dada aliyenitambulisha ni mamdogo mimi ndugu zake wote siwajui, nifanyeje?
Sitaki hii familia isambaratike tuna watoto wawili na kila mwez natuma 1.4 matumizi, wanakaa nyumba nzuri peke yao, wazazi wapo mkoa mwengine.
Huyu mamdogo nimefukuza kesho anasepa, hata hapa sa hivi wife hapokei simu.
Ushauri please!!
Mimi wangu hata dar simletiUsiwahi jaribu kumleta mke wako America kutoka Afrika, tena kama mna ugomvi, Akifika huku utaachwa mchana kweupe.
Huku wanawake wanapewa kipaumbele sana na wanasikilizwa sana.
Ukijaribu hata kumpiga kofi, unaenda jela.
Habari mpendwaSalaam,
Niende kwenye mada hapo juu Mimi niko America toka 2023 nabeba box, awali ilikua kila siku wife anapiga tunaongea hata mda mfupi wa break (naingia night shift)sasa hiv mpk mimi ndo nipige simu.
Mbaya zaidi weekend hii imepita hatujaongea hajali, tatizo kubwa lilianza pale alipotembelewa na dada aliyenitambulisha ni mamdogo mimi ndugu zake wote siwajui, nifanyeje?
Sitaki hii familia isambaratike tuna watoto wawili na kila mwez natuma 1.4 matumizi, wanakaa nyumba nzuri peke yao, wazazi wapo mkoa mwengine.
Huyu mamdogo nimefukuza kesho anasepa, hata hapa sa hivi wife hapokei simu.
Ushauri please!!
Acha kutuma Pesa Kwa muda wa miezi miwili.Salaam,
Niende kwenye mada hapo juu Mimi niko America toka 2023 nabeba box, awali ilikua kila siku wife anapiga tunaongea hata mda mfupi wa break (naingia night shift)sasa hiv mpk mimi ndo nipige simu.
Mbaya zaidi weekend hii imepita hatujaongea hajali, tatizo kubwa lilianza pale alipotembelewa na dada aliyenitambulisha ni mamdogo mimi ndugu zake wote siwajui, nifanyeje?
Sitaki hii familia isambaratike tuna watoto wawili na kila mwez natuma 1.4 matumizi, wanakaa nyumba nzuri peke yao, wazazi wapo mkoa mwengine.
Huyu mamdogo nimefukuza kesho anasepa, hata hapa sa hivi wife hapokei simu.
Ushauri please!!
Acha kutuma Pesa Kwa muda wa miezi miwili.Salaam,
Niende kwenye mada hapo juu Mimi niko America toka 2023 nabeba box, awali ilikua kila siku wife anapiga tunaongea hata mda mfupi wa break (naingia night shift)sasa hiv mpk mimi ndo nipige simu.
Mbaya zaidi weekend hii imepita hatujaongea hajali, tatizo kubwa lilianza pale alipotembelewa na dada aliyenitambulisha ni mamdogo mimi ndugu zake wote siwajui, nifanyeje?
Sitaki hii familia isambaratike tuna watoto wawili na kila mwez natuma 1.4 matumizi, wanakaa nyumba nzuri peke yao, wazazi wapo mkoa mwengine.
Huyu mamdogo nimefukuza kesho anasepa, hata hapa sa hivi wife hapokei simu.
Ushauri please!!