Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,493
- 176,573
ok..i'll be waiting
okey, mfungo mwema
ok..i'll be waiting
Na wewe unanyevushwa na warefu mtani??....aaah!!
Sio tu mwanaume mrefu, awe mrefu kunizidi mimi lol. Manake kuna watoto wa kike ni warefu hataree so kupata men wakuwazidi ni shughuli. Ila zote hizi ni fantasy tu, utashangaa unakuja kuolewa na mwanaume mfupi
Put it into action then lol,, ila usijeshangaa unakamatika kwa mfupiAwe mrefu kunizidi mimi..........point taken..
Put it into action then lol,, ila usijeshangaa unakamatika kwa mfupi
Amen, tuwekane wote kwenye maombi. Si unajua maombi ya mapatano Yana nguvu zaidi... Bwana atatendaTena uniweke kwenye maombi ndugu yangu
Wanawake wanazingua mara mwanaume mrefu mara mwenye kitu kirefu mara kinene hawasomeki wengine wanaleta dharau hata kabla hujampiga mashine
hapo ndo ndoa ilipo
lov u baby popote ulipo
d......u gat it
Hapana ila maswali yao yananikera ukishampiga mashine anaenda kuwatangazia wenzie ndio maana wanasalitiwa kila siku
Hv akiwa mfupi ila handsome boy
Hivi kuna wafupi mahandsome?? Mbona mie sijawahi kuwaona?
Amen, tuwekane wote kwenye maombi. Si unajua maombi ya mapatano Yana nguvu zaidi... Bwana atatenda
Maombi gani hayo?Tena uniweke kwenye maombi ndugu yangu
Maombi gani hayo?
Naweza kuwa kasisi wa kuwafanyia maombi?
Actually, nimewafanyia watu maombezi..na matokeo yake ni ya ajabu..
Semeni sasa, niwaombee nini..teh!
teh teh...hata wewe ukiwa na shida ya "mchumba mrefu" nitakuombea umpate...Wacha weee!!
Maombi gani hayo?
Naweza kuwa kasisi wa kuwafanyia maombi?
Actually, nimewafanyia watu maombezi..na matokeo yake ni ya ajabu..
Semeni sasa, niwaombee nini..teh!