Why woman want tall men

Why woman want tall men

teh teh...hata wewe ukiwa na shida ya "mchumba mrefu" nitakuombea umpate...

Hahahaaaaa!!! Nimecheka mpaka basi, aiii hebu ombea kwanza uwe unaniwekea miamala ya maana
 
Maombi gani hayo?
Naweza kuwa kasisi wa kuwafanyia maombi?
Actually, nimewafanyia watu maombezi..na matokeo yake ni ya ajabu..
Semeni sasa, niwaombee nini..teh!

Tuombee kwa vyote mtani
 
Zaidi ya 99% ya mashoga ni wanaume warefu na 99% ya wanaume wenye tatizo la mbegu za kiume ni wanume warefu.
 
urefuke kama mkojo utajijua..siku hiz wadada wanaangalia urefu wa wallet..heheee
 
mashine inakuwa kubwa
in inglish the dick.....haha aka the cock
hata iwe kubwa asipojua itumia ni ulemavu tu
 
urefuke kama mkojo utajijua..siku hiz wadada wanaangalia urefu wa wallet..heheee

wanawake kupenda wanaume warefu hii ni nature au mpango wa Mungu ili kizazi kikubwa na bora kiendelee
na hii ni instinct ambayo mtoto wa kike anazaliwa nayo wote tunakubaliana kuwa wanawake ni viumbe dhaifu kimaimbile hivyo wanahitaji security ya uhakika hivyo sababu kubwa ya wanawake kupenda wanaume wakubwa au warefu ni security hasa enzi hizo za kale na hili liko ndani ya ubongo wao
lakini kwa dunia ya leo security ni pochi na si umbo hivyo kama mwanaume ni mfupi lkn Ana pesa huyo ndo atapendwa

vile vile ikitokea wanaume wawili wote wana sifa zinnazofanana lakn mmoja mrefu na mwingine mfupi mrefu atachaguliwa kwa sababu nature inataka kizazi kikubwa kiendele kumbuka mtu mrefu obviously atakuwa mkubwa (law of life the fittest to survive)
hata katika uumbaji during fertilization sperm yenye nguvu na ambayo iko fit ndo inayoingia kwenye yai.
 
wanawake kupenda wanaume warefu hii ni nature au mpango wa Mungu ili kizazi kikubwa na bora kiendelee
na hii ni instinct ambayo mtoto wa kike anazaliwa nayo wote tunakubaliana kuwa wanawake ni viumbe dhaifu kimaimbile hivyo wanahitaji security ya uhakika hivyo sababu kubwa ya wanawake kupenda wanaume wakubwa au warefu ni security hasa enzi hizo za kale na hili liko ndani ya ubongo wao
lakini kwa dunia ya leo security ni pochi na si umbo hivyo kama mwanaume ni mfupi lkn Ana pesa huyo ndo atapendwa

vile vile ikitokea wanaume wawili wote wana sifa zinnazofanana lakn mmoja mrefu na mwingine mfupi mrefu atachaguliwa kwa sababu nature inataka kizazi kikubwa kiendele kumbuka mtu mrefu obviously atakuwa mkubwa (law of life the fittest to survive)
hata katika uumbaji during fertilization sperm yenye nguvu na ambayo iko fit ndo inayoingia kwenye yai.

Duuuh bwana tol nimekuelewa sana, ulichosema ni kweli tupu
 
Last edited by a moderator:
mashine inakuwa kubwa
in inglish the dick.....haha aka the cock

Mashine kubwa ni dili kwa wenye mlango Mkubwa! Kwa wenye mlango Mdogo kwao mashine kubwa ni kero! Mashine ya wastani ndio mpango mzima maana ni kama master key! Hivyo watarajiwa kwenye ndoa pimeni nguo kwa kadiri ya urefu wenu! Usije ukaona mwenzio anashabikia mashine kubwa ukamuiga, usije ukakimbia ndoa!
 
Samahanini jamani. Ukweli wa bunduki standard ni nchi ngapi? Na je iyo iyo si inamtosha Hata mrefu? Kipi muhimu kati ya urefu na jinsi ya kutumia bunduki?
 
Main reason ni inferiority complex ambayo huwafanya kuamini kwamba wakiwa na mwanaume mrefu basi wataonekana ni wa maana zaidi au wamo kuliko kuonekana na mwanaume mfupi. They just want to show up.
 
Dear ndio nini St. Kayumba? Wafupi or? Umeniacha kidogo ... Seriously I don't know maana yake...Naomba uniambie .. Thanks..

St. Kayumba ni shule za msingi zinazomilikiwa na serikali za vijiji au halmashauri, mf Mabondeni Primary School, Mivurugano Primary School, Mpasuko Primary School, Mashetani Primary School, Kufanalako Primary School, nk, huko walimu na wanafunzi wote hawajui English language
 
St. Kayumba ni shule za msingi zinazomilikiwa na serikali za vijiji au halmashauri, mf Mabondeni Primary School, Mivurugano Primary School, Mpasuko Primary School, Mashetani Primary School, Kufanalako Primary School, nk, huko walimu na wanafunzi wote hawajui English language

Thank you dear .. Be blessed.. Thanks.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom