Mwanaume mrefu raha yake akikuhug unajiskia km mtoto uwii i love hugs,
Na mkiwa mnatembea wote njiani hivii
Generally t feels safe kuwa naye
Mwanaume mrefu raha yake akikuhug unajiskia km mtoto uwii i love hugs,
Na mkiwa mnatembea wote njiani hivii
Generally t feels safe kuwa naye
Mi mwanaume mfupi Aisee hata kuongea nae napata tabu sana .hata sina sababu za msingi..
Aiseee rahaaa sana kukumbatiwa na mwanaume mrefu, kishotii sasa hata mkihug huhisi km umekumbatiwa, wanaume warefu(wa haja) wana raha yao jamani
im a tall boy yet
Aiseee rahaaa sana kukumbatiwa na mwanaume mrefu, kishotii sasa hata mkihug huhisi km umekumbatiwa, wanaume warefu(wa haja) wana raha yao jamani
Duh...jamani! Sasa huu ni unyanyasaji..Mwanaume mrefu raha yake akikuhug unajiskia km mtoto uwii i love hugs,
Na mkiwa mnatembea wote njiani hivii
Generally t feels safe kuwa naye
Duh...jamani! Sasa huu ni unyanyasaji..
Siku nyingine weka tafsiri ya Kiswahili.
Ingekuwa ya Kiswahili ingekuwa na wachangiaji wengi.
Hahahaaaaa! Eli79 sio unyanyasaji ndio uhalisia huo, mwanaume anapendeza akiwa mrefu, ndio neema za Allah hizo, we kwa neema unadhani ni kwetu tu!! Hata nyie, tulitoka kwenye vitambi now ni warefu
Sasa wafupi waende wapi
Anza kwa kusahihisha kiingereza kibovu kwenye kichwa cha habari
Teh...haya! Kumbe sina soko eeh! Hahaaa!
safi sana..jiandae nikupeleke dubai ukafanye shopping ya dolariAiseee rahaaa sana kukumbatiwa na mwanaume mrefu, kishotii sasa hata mkihug huhisi km umekumbatiwa, wanaume warefu(wa haja) wana raha yao jamani
Karibu