Why woman want tall men

Why woman want tall men

Sisi wanaume warefu ,tuna mapenzi ya kweli takribani 99.9999999%...
 
Why Black American men are tall and huge.
During slavery time, men and womem were taken captives to work and also become soldiers. Only the strong and body built were able to survive whereas the weak died on the way.
On reaching America, these body built black africans cross-breeded with white Americans to produce this tall, handsome, body-built 'mule'(although it could reproduce).
Back in India, black soldiers raped yellow Indians to produce Black Indians. Thats why black Indians are stronger than typical Indians.
 
Hahaha umeona eeh. Yaani sasa hivi tunajishaua ooh Sitaki mwanaume mfupi, Keshokutwa huyo unanikuta na mume wangu andunje najichekesha chekesha kwa aibu vigezo kushney.

All in all siku ukipata mtu anayeeleweka, basi hizi fantasy zinaisha tu fastaa na unakuwa very proud na andunje wako

Uzoefu unaonesha kuwa kile usichopenda kuwa nacho au kukifanya maishani, mara nyingi ndicho utakuwa nacho au

utakifanya maishani. Wengine wanapata kile wakitakacho.
 
mmmh , mwanaume akiwa tall, halafu mwembamba flan hivi size ya kati sio fito style & smart aaahhhaa is sweety and lovely acheni masihara ( ila for me asiwe white )

Kila mtu anavutiwa na vitu tofauti

Mfupi asiwe mwembamba sana kifua kimetanuka kiasi n.k
 
Mwanaume mrefu akikukumbatia unasikia raha sana
 
Mi mbona sio super tall na vichenchede havipindui,Mi huwa siamini sana hii psychology kwa asilimia zote! Mwanaume ukiwa unajiamini na umetulia tu bila makelele mingi wenyewe wanaelewa kali tu hata bila kutumia zile nguvu za lowassa ambazo wengi wetu hutumia!
 
Uzoefu unaonesha kuwa kile usichopenda kuwa nacho au kukifanya maishani, mara nyingi ndicho utakuwa nacho au

utakifanya maishani. Wengine wanapata kile wakitakacho.

Na wanaume wafupi nao wanapenda wanawake warefu, hapo ndio balaa, unajikuta ushadondoka kwa kiandunjee husikii wala huoni yaani unamuona ni hasheem thabit
 
mmmh , mwanaume akiwa tall, halafu mwembamba flan hivi size ya kati sio fito style & smart aaahhhaa is sweety and lovely acheni masihara ( ila for me asiwe white )

Sifa zote ulizotaja ninazo.Kilichobaki tukutane tufurahie maisha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom