Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,503
- 176,619
mtani ....
Niambie mtani wangu, hebu nitafsirie mwenzio nimetoka kapa
mtani ....
Hizi ni siasa chafu, na za uzushi kutoka kwa wapinzani wetu. Umoja wa watu wasio wafupi, tunaandaa press conference ili kuweka wazi hatua tutakazochukua kuhakikisha masuala kama haya hayajirudii.masai dada sio wote lol, kuna jamaa mmoja tulisomaga nae ni mrefu km mlingoti wa umeme, sasa akawa anamtongoza rafiki yetu mmoja hivi tukawa tunamtania kuwa atakutana na kitu kinafika kooni, duuuh akasema hakubali mpaka aishuhudie dushe lake, weeeeee alikutana na kinukta hata bamia ndefu akaja kutusimulia, basi tulikuwa kila tukimuona yule tall tunajichekea kimoyomoyo. So urefu sometyms walaaa sio hoja
Hizi ni siasa chafu, na za uzushi kutoka kwa wapinzani wetu. Umoja wa watu wasio wafupi, tunaandaa press conference ili kuweka wazi hatua tutakazochukua kuhakikisha masuala kama haya hayajirudii.
Hii ni lugha ya wapi maana lugha ya taifa ni kiswahili
Hahahaaaaa! Sio siasa chafu bwana, sasa kwann amsingizie bwana tall? Urefu sometym haimati bwana
Hakuna mrefu mwenye kibamia
Wapo ndugu
.ngoja ni-Google, hii itakuwa habari mpya kwangu..
wala huna haja ya ku-google, Mie kuna mmoja namjua naweza kukupa contact zake umfanyie analysis. Jamaa kaenda hewani anamkaribia Hasheem Thabit lakini dah yaliyoko huko unaweza ukawaka shocked vibaya mno. Mie baada ya kuona vile ilibidi nibadilishe mwelekeo to "barua ya maombi iambatane na picha!"
segere sio siasa wewe hiyo ni kweli kabisaaaa, wanawake wanawapenda warefu sababu tu ya muonekano wa nje ila sio isue ya mandingo, kuna warefu ukiwaona ni huruma kabisaHakuna mrefu mwenye kibamia, hii ni siasa chafu ya watu wafupi, ingawa wapo wafupi na mi-mandingo..
wala huna haja ya ku-google, Mie kuna mmoja namjua naweza kukupa contact zake umfanyie analysis. Jamaa kaenda hewani anamkaribia Hasheem Thabit lakini dah yaliyoko huko unaweza ukawaka shocked vibaya mno. Mie baada ya kuona vile ilibidi nibadilishe mwelekeo to "barua ya maombi iambatane na picha!"
.ningekuwa sekta ya afya sawa, lakini namna gani ntamfanyia uchunguzi kidume mwenzangu?, daaah!!!! kweli shetani akifunga mlango anakufungulia dirisha
sasa kufanya uchunguzi na ku-Google kuna tofauti gani?
kwan minajili hiyo basi tumchague Hasheem Thebeet awe Rais, thread closed.
hapo kwenye red aka tigo,nikiona uzi wenye hii lugha napitaga kama nakimbizwa na askari wa bodaboda haa haa.