Mi mwanaume mfupi Aisee hata kuongea nae napata tabu sana .hata sina sababu za msingi..
Eeeeeh!! labda awe na pesa sio?
Tatizo yaani kati ya vitu siwazagi maisha ni pesa ya mwanaume.
Siwezi kukaa na Mtu ambaye sina interest nae, kwa ajili ya pesa.
Wewe unafaa sana.
Utanikimbia tu manake kama sijali pesa zako hata vingine naona kawaida tu.
kwa heri.....Nini unajali sasa?
kwa heri.....
Mada ndeeeeefu alafu kizungu!!, khaaa hebu nirudi tena kwa ras simba maana hiki cha humu hakunifundisha kwakweli.
Mada ndeeeeefu alafu kizungu!!, khaaa hebu nirudi tena kwa ras simba maana hiki cha humu hakunifundisha kwakweli.
kwa heri.....
wala huna haja ya ku-google, Mie kuna mmoja namjua naweza kukupa contact zake umfanyie analysis. Jamaa kaenda hewani anamkaribia Hasheem Thabit lakini dah yaliyoko huko unaweza ukawaka shocked vibaya mno. Mie baada ya kuona vile ilibidi nibadilishe mwelekeo to "barua ya maombi iambatane na picha!"
Chenchi ya kwa Ras iko wapi!?
Ndefu si ndiyo tamu!!?
Kwi kwi kwi kwi kwi!!!dah JF rahaa sana, nimecheka sana hapa.
Hiyo ni faraja kwako kama ni pimbi.
Mkuu vipi mbona ume panic umekosea ku quote nini?hivi uoni kua inafurahisha na kushangaza binti anapoomba mahusiano uku akitanguliza ombi la picha ya dushe????Upimbi niutolee wapi aiseee.
Hii ni lugha ya wapi maana lugha ya taifa ni kiswahili
Huyu mtu kuna katatizo anako, hata hapo mwanzo aliniquote hivyo hivyo na coment ya aina hiyohiyo nikaishia tu kumjibu "no wonder"