NYAMLENGWA
Member
- Mar 8, 2011
- 41
- 5
Utatuua ndug et mbayuwayu,uko saw nyet zkfanana huo ndo usawa
Acha kutuletea za huko ulaya kwa wabeba boksi, Tanzania ajira ni za kwa mwezi na si kwa masaa hivyo kuwa na ajira mbili au zaidi kwa siku haiwezekani
Najua ajira nyingi hapa nchini ni za mwezi ilaaa! kwani saa 15:30 au 16:30hrs siunatoka kazini? kwanini usitafute kitu chakukuweka busy hadi saa 19:45 tena ukitoka unakuta jam barabarani imepungua unafika tu home faster.
The problem we tend to stick with our professions bila kujua we are worth than we think folks!
unajua unaweza ukawa na kibanda cha chips unapotaka job unamtoa mkeo akaandae msosi home wewe unaendelea na job hadi saa mbili jioni.
Lol!!! Merytina banaaWanawake ndio tuliompigia kura JK kwa kigezo cha sura ya kuuza.......upuuzi gani huu.
Okada nimeipenda hii unaongea business na washikaji wife anakuja kukuonyesha kucha zake lol!!!!Umenikumbusha billionare mmoja alikuwa amealika wageni/partners zake kwenye business meeting nyumbani kwake. wakati wanaongelea maswala yao serious, mkewe akaja na kumwonyesha mumewe kucha zake.... wale jamaa walishangaa sana, waakauliza kulikoni.
Unajua jamaa alijibu nini? siku nzima niko na serious minded persons, na nyumbani kukiwa hivyo si nitapata kichaaa!
Mwanamke ameumbwa awe hivyo, Binafsi mwanamke akiwa serious sana kila saa ananiletea habari za slaa na kikwete sjui gadaffi kaiteka bengazi aaaargh napiga na chini.
Najua ajira nyingi hapa nchini ni za mwezi ilaaa! kwani saa 15:30 au 16:30hrs siunatoka kazini? kwanini usitafute kitu chakukuweka busy hadi saa 19:45 tena ukitoka unakuta jam barabarani imepungua unafika tu home faster.
The problem we tend to stick with our professions bila kujua we are worth than we think folks!
unajua unaweza ukawa na kibanda cha chips unapotaka job unamtoa mkeo akaandae msosi home wewe unaendelea na job hadi saa mbili jioni.
Mkuu hata ulaya kuna ajira za mwezi mtu akitoka anaenda kufanya cleaning au kuuza chips mcdonald au kuosha vibabu na vibibi ili wachange pesa hata za holiday, utakuta family imefungua account ya holiday kila mtu anahakikisha kafanya kazi za ziada na kuhifadhi pesa humo kwenye holiday wanasafiri pamojaAcha kutuletea za huko ulaya kwa wabeba boksi, Tanzania ajira ni za kwa mwezi na si kwa masaa hivyo kuwa na ajira mbili au zaidi kwa siku haiwezekani
Wanawake ndio tuliompigia kura JK kwa kigezo cha sura ya kuuza.......upuuzi gani huu.
well said!Pia wanamsaidia Shigongo kupeta hapa mjini.
Okada nimeipenda hii unaongea business na washikaji wife anakuja kukuonyesha kucha zake lol!!!!
Lol!!! Merytina banaa
Wanaongoza kwa kusoma magazeti ya udaku! Wanaongoza kwa kupenda kuangalia ze komedi,futuhi,majuto nk!wanamshangaa mtu anayenunua na kusoma raia mwema,rai,mwanahalisi,mwananchi nk!hawapendi kuangalia taarifa za habari kwenye tv!cnn,bbc,skynews kwao ni kituo cha polisi!wanapenda movie za kipuuzi za akina kanumba!wanapenda tamthiliya za kipuuzi za amerika ya kusini na ufilipino zilizojaa kwenye televisheni zetu za kichovu! Wanapenda nyimbo za kichovu za bongo fleva kama mpenzi jini,kidato kimoja! Huwakuti kwenye makongamano serious kama ya kujadili katiba,azimio la arusha na utawala bora lakini wanajaa kwenye makongamano ya kuwatambulisha akina p-square!! Wanapenda sana kula chips mayai,non serious food! Hawampendi slaa,wanampenda kikwete may be because hayupo serious! Hawapendi masomo ya sayansi but wanapenda sana na kufaulu topic ya reproduction ya form 3! Wanapendelewa bungeni and hawapeni kupambana majimboni! Ukija jf wengi utawakuta kwenye majukwaa ya udaku na mapenzi,jukwaa la siasa na international ni wa kuwahesabu!...etc Halafu eti wanataka usawa! NIMEKUWA NIKIJIULIZA SANA WHY WANAWAKE HAWAPENDI YALE MAMBO SERIOUS?
tukitaka wanawake wawe serious
mwisho tutaka wasivae khanga moja nyumbani....
wanawake ni starehe yetu wanaume....full stop..
tukitaka wanawake wawe serious
mwisho tutaka wasivae khanga moja nyumbani....
wanawake ni starehe yetu wanaume....full stop..
well said!
Shigongo anatakiwa ashtakiwe kwa kufelisha wasichana wa O-LEVEL kwa kuendekeza vihabari vyake