Nsiande
JF-Expert Member
- Jul 27, 2009
- 1,649
- 872
Hii thread inafurahisha, sijui kuwa serious inamaanisha kusoma mwanahalisi?
Mimi nasoma yote kasoro udaku esp Shigongo's copied stories niliacha kuzisoma 5yrs back, ila sina uhakika kama nikisoma magazeti kama dailynews nakuwa 'serious'
Mimi ni mshabiki wa Yanga na Man U, na si tu naangalia Chereko, bali I ensure ile 'wedding show' ya the citizen nimeiangalia pia!
Huu ndio mwaka pekee sijaangalia Bigbrother..ila kila BB launch mimi hufanya BBQ kwangu kusheherekea launch ya senseless show which makes sense !!
Hizo latino movies kama barbarita sikumbuki ilikuwa inaitwaje lakini a hit in 2004 naikumbuka sana nilikuwa never miss mpaka mtoto nilitaka kumuita tonito...another non serious show!!! Ila pia naangalia all money shows (mchaga na pesa ) who wants to b a millionaire, deal or no deal? The weakest link...
Huku MMU, siasa na hoja mchanganyiko kote nachangia, ila wakati mwingi nasoma comments zaidi kuliko kuchangia...
Mimi nasoma yote kasoro udaku esp Shigongo's copied stories niliacha kuzisoma 5yrs back, ila sina uhakika kama nikisoma magazeti kama dailynews nakuwa 'serious'
Mimi ni mshabiki wa Yanga na Man U, na si tu naangalia Chereko, bali I ensure ile 'wedding show' ya the citizen nimeiangalia pia!
Huu ndio mwaka pekee sijaangalia Bigbrother..ila kila BB launch mimi hufanya BBQ kwangu kusheherekea launch ya senseless show which makes sense !!
Hizo latino movies kama barbarita sikumbuki ilikuwa inaitwaje lakini a hit in 2004 naikumbuka sana nilikuwa never miss mpaka mtoto nilitaka kumuita tonito...another non serious show!!! Ila pia naangalia all money shows (mchaga na pesa ) who wants to b a millionaire, deal or no deal? The weakest link...
Huku MMU, siasa na hoja mchanganyiko kote nachangia, ila wakati mwingi nasoma comments zaidi kuliko kuchangia...