Why TTCL is not the leading Cellular and internet Operator?

Nasikia Ephraim Mafuru aliyekuwa Vodacom amehamia TTCL kama Mkurugenzi Mkuu,
Je ni kweli na anaweza kuleta mabadiliko chanya na kuifufua TTCL?
From Kishongo's and Gis posts, not a chance.., tatizo sio CEO au TTCL, tatizo ni mfumo mzima wa nchi yetu ambayo imekosa DIRA
 
Mimi ni mtumiaji mzuri wa TTCL mobile na Landline. Siku moja niliwauliza wafanyakazi wake mbona huduma zenu ni nzuri na rahisi sana na hamjitangazi zaidi ya vipeperushi ambavyo huonekana tu unapoingia katika ofisi zenu????? Sikupata jibu ila niliambulia nyuso za wafanyakazi waliokata tamaa!!!

Kwa zote thread nilizosoma ninachoweza kusema ni MAYOOOO!!! MUNGU IBARIKI TANZANIA!!!:A S 20::A S 20::A S 20::A S 20:
 
Rostam Aziz na Lowasa siyo shareholders wa Airtel ( Celtel, Zain) ila wako VODACOM na Rostam Aziz alikuwa major shareholder ila sasa nasikia kapunguza share kwa kuwauzia Vodafone

Thanx Mr. boma2000 for a point of correction.

Ni kweli RA na EL wana shares Vodacom na si Zain/Airtel.
Hata hivo bado wako upande uleule wa adui wa KUIANGAMIZA TTCL.

Thanks.
 
Thanx Mr. boma2000 for a point of correction.

Ni kweli RA na EL wana shares Vodacom na si Zain/Airtel.
Hata hivo bado wako upande uleule wa adui wa KUIANGAMIZA TTCL.
Thanks.

ni kweli kabisa ni waangamizaji nwa ttcl na nchi kwa ujumla
 
Ala kumbe! Mchawi wa TTCL ni serikali yenyewe! Sasa nimeanza kuuelewa utamu wa kubinafsisha makampuni na mashirika ya serikali yaliyoasisiwa katika awamu ya kwanza na Hayati Baba wa Taifa. Kama ni kweli basi tumekwisha. Sasa sishangai kwa nini Precision ya Mramba inashamiri wakati ATCL iko mbendembende, kumbe siri ni umafia wa wamiliki - ndiyo serikali. Ama kweli tunamkumbuka Nyerere na Azimio lake la Arusha ambalo pamoja na mambo mengine liliwazuia viongozi kufanya Biashara au kumiliki mali kubwakubwa!
maelezo haya yanadokeza kwa nini Tanzania bado tuko maili nyingi nyuma ya wenzetu tuliokuwa sawa au mbele yao kimaendeleo wakati nchi hii inapata uhuru. Hali hii pia inajibu kwa nini sasa miaka 50 tangu tujitawale tumekuwa taifa la mazezeta tuishio kwenye giza totoro kwa kukosekana nishati ya umeme (Uliokuwa tele enzi za Nyerere)huku viongozi wakipiga kelele kuwa uchumi wetu unapaa! Ufisadi ndani ya serikali ya CCM umetuletea shida na matatizo mengi mno, inatisha. Hebu ona , nchi iliyozunguukwa na mito isiyokauka lukuki, upepo, gesi,makaa ya mawe n.k. imeshindwa kabisa kuzalisha umeme wa kutosha kiasi cha kuwakatisha tamaa wawekezaji wa kweli ambao wangeuokoa uchumi wetu? Tunasubiri nini kufanya yale yanayotokea Tunisia, Misri na kwingineko? Watanzania tutabaki punda wa kuwabeba wahuni hawa hadi lini na wapi?
Down with CCM, Down with its entire Leadership. Long live Tanzania's opposition. A luta Continua.
 
Thanx Mr. boma2000 for a point of correction.

Ni kweli RA na EL wana shares Vodacom na si Zain/Airtel.
Hata hivo bado wako upande uleule wa adui wa KUIANGAMIZA TTCL.

Thanks.

Hapo TTCL haiwezitendewa haki hata kidogo
 

ttcl wawajibike tu kwanza na simu za mezani nchini, phonebootH .......na kuhangaika na mambo ya internet, hizo ndio kazi za kampuni kama ttcl duniani kote........mambo ya celula makampuni ni mengi popote duniani, usa,japan,uk wote wapo kwenye mfumo nao kueleza............. Na kila mtu yupo huru na hilo hata the great thinkers mnaweza kuanzisha ya kwenu...
 

Jipe nafasi ya kusoma kabla hujabwatuka.

Yaani wewe kwa akili yako unadhani mafanikio ya kampuni yako vested 100% kwa PR Officer bila kujali mipango mkakati ya kampuni husika.
Hizi shule za uandishi wa habari za mtaani ndio zinawafanya kudhani PR ni jambo pekee tunalohitaji for a successful company.

Kuna wadau wameshusha nondo hapo juu, ni asiye mtanzania tu ndio anaweza kuwashutumu TTCL
 
Kumbe modem za ttcl si lolote si chochote huku dsm.
 
Thanx Mr. boma2000 for a point of correction.

Ni kweli RA na EL wana shares Vodacom na si Zain/Airtel.
Hata hivo bado wako upande uleule wa adui wa KUIANGAMIZA TTCL.

Thanks.
Pole sana TTCL
EL
RA
Serikali
Ukiwa na maadui kama hapo juu, na wako upande mmoja kukuandama suala la kufa is a matter of time.
Muulizeni TANESCO
 
Nasikia Ephraim Mafuru aliyekuwa Vodacom amehamia TTCL kama Mkurugenzi Mkuu,
Je ni kweli na anaweza kuleta mabadiliko chanya na kuifufua TTCL?

Hii hali ya Watanzania wengi kupenda watu wanaojitokeza sana kwenye vyombo vya habari na kudhani ni watendaji wazuri ni kati ya kansa za hatari sana ndani ya nchi hii, na kiukweli hadi sasa inatuangamiza sana. Watendaji wengi wazuri wasiojionyesha sana kwenye vyombo vya habari wanadharauriwa, wale wanaojifanya kujitokeza sana ndio wanaheshimiwa, hii hali ndio inafanya hata kuchagua watu magalasha watuongoze pasipo kupima uwezo binafsi wa utendaji bali kwa kupima porojo zao.

Huyu jamaa watanzania wengi hapa mnamuona ni best just kwa sababu alikuwa anajitokeza sana kwenye vyombo vya habari, kwa taarifa yenu ni kuwa huyu jamaa alitimuliwa kimya kimya Vodacom kwa sababu ya ufisadi mkubwa alioufanya. Huwezi fikiria nani anaweza kuhama vodacom kwenda TTCL kampuni bibi kizee iliyokwishajichokea ? Huyu jamaa aliwekwa kando kimya kimya Vodacom, ndio akasepa TTCL.
 
Shingo kaeleza uzuri sana on the above subject. Hii inaonesha jinsi serikali hii ya CCM ilivyosheheni walafi na wasiokuwa wazalendo, wanataka kuua kila kitu kwa kujinufaisha wao. Ndo maana hata serikali ya Malkia haiwaamini tena, maan wanaijua. Chenji waloiba kupitia Rada Waingereza hawataki kuirudisha kupitia Serikali ya CCM, maana wanajua ikipitia huko washenzi hawa wataila tu!!!???
 


Pole sana na endelea kufikiria hivyo.
 

Baasi Mkuu unanitoa machozi! Hivi watanzania tuna laana gani jamani? Yani viongoz wetu wanashiriki kutuhujumu,kuhujumu mali ya umma!
 
inauma sana kwa kweli.
 
Najuta kuisoma hii thread. Imeniletea PSYCHOLOGICAL DISTURBANCE! Nchi hii inatuumiza sana na mbaya zaidi hatufahamu kama tunaumizwa, na tukifahamu there's nothing we can do about it.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…