Misterdennis
JF-Expert Member
- Jun 4, 2007
- 1,741
- 480
MSI(MOBILE SYSTEM INTERNATIONAL AKA MOHAMED SAID IBRAHIM).Ni kampuni ambayo ni mali ya mo ibrahimu aliyewalaghai serikali wakakubali kuuuza ttcl kwa nusu bei na baadaye akakataa kulipa na pesa yote aliyonunua ttcl akarudishiwa na akaanzisha Celtel badala ya Celnet ambayo ilikuwa tayari imesajiliwa na huku mitambo ya gsm ikiwa bandalini kilichofanyika ni kumuuzia mobitel(buzz) na TTCL kuwa na hisa Mobitel )(tigo) ambazo mpaka sasa haijulikani ziko wapi.Mo anahusika sana kuiangamiza TTCL na yeye ati anajifanya ndiye bingwa wa uadilifu ati anawapa zawadi viongozi wa afrika waliostafu wakiwa waadilifu.Sumaye,Walioba na salimu wanajua vizuri habari yote na aliyetolewa kafara na kuachishwa uongozi wa TTCL ni Adolar mapunda natumaini ana mtandao na ni mwanajamii anaweza kueleza mengi.Huu ni wakati wa ukweli na uwazi wafanyakazi wa TTCL amkeni muikomboe ttcl yenu.
Ndigu zetu, hivi kumbe habari zote zinafahamika na sie tumekaa kimya tuu.
it's good kwamba zinaanza kujulikana..... Tunaomba akina Said Kubenea na waandishi wengine wenye uzalendo wazifanyie kazi zianze kuunguruma.