Why Tshs Devaluation?

Mimi sio mchumi lakini nimesoma sehemu wanasema: "Exchange rates fluctuate based on economic factors like inflation, industrial production and geopolitical events. " Hii inaweza ikawa inachangiwa na la political event kama hii inayokuja ya general election. Dollar kidogo mi-shilingi kibao kwa ajili ya kununua kura!

Mwanamayu,

Inflation kwa uchache ni scarcity ya commodity kwenye soko. Waweza ukawa na fedha ile ile na thamani ile ile lakini ghafla ile bidhaa inayotaka kupatikana ikakosekana, unatokea mfumuko wa bei. kwa mfamo, wakati wa mwezi Desemba, karibu na Xmas, kwenda Mikoani, nauli za mabasi hupanda kwa sababu supply inakuwa ndogo. When there is no scarcity inflation inakuwa haiumizi sana...na badala yake kunakuwa na soko huria...kila mtu atapanga bei kuvutia wateja...ndio tunayoyaona kwenye makampuni ya Simu sasa.

Industrial production tushalizungumzia... Kuhusu geopolitical events...hii husababisha sana devaluation katika nchi zenye political instatibility... watu wakiona zengwe linaweza kutokea, wata sita kufanya biashara na nchi yenu...wataogopa kuleta fedha zao hapo na kusababisha scarcity ya dola (foreign currency); hivyo demand kuwa kubwa na kuporomosha fedha ya ndani.
 
THAT WAS 20 years ago,Tanzania as a country has changed a lot,If the government releases the economy to SME's and private enterprenuers these things can be taken care of very easily.Kama watu wameweza kuendesha yadi za magari,biashara za ndege na Mahoteli sidhani kama watashindwa kufanya shughuli za uzalishaji.

Kwa sasa hakuna faida ya mjasiriamali kuwfanya uzalishaji wakati angeweza kununua kutoka china kwa gharama NAFUU.

Wapunguze gharama za Nishati,wahakikishe kuna Special economic zones za kuchochea uzalishaji(ziwe exclusive to Tanzanians only.).US wana silicon valley.China wana Special economic zones zao kama SHENZEN etc.

Hapo kwenye technical knowhow,HAKUNA technical KNOWHOW yoyote inayohitajika kwenye kutengeneza tai,suti,viatu ambayo mafundi waliokuwepo Tanzania hawana,It is easier kuimporty etchnical knowhow.,and it is economically viable in the longterm kuliko kuagiza ready made junks.

Nimeongelea assembling factories,entry level factories etc.hivyo tunaweza.

good, lakini tatizo letu halijaanza leo...kuporomoka kwa shilingi kulianza pindi alipochukua Mkapa... Mkapa aliikuta Dola moja ni shilingi mia tano za Bongo!! We can import technical know how, yes!! What about entrepreneurship? Usimamizi bora tunao? Njaa zetu tutazipeleka wapi?
 
ndio maana nasema tukimuachia huyu jamaa afanye ataavyo hadi 2015 basi by that time rate itakuwa 4000!

I see kikwete as the worst version of Mkapa in the economy,at the same time he is the wort version of Mwinyi in Good governence.Jamaa hana positive huyu.

Ni kweli wananchi wanatakiwa kufanya wawezalo,lakini,THE PRESIDENT is Psychologically so important in the development/turn around of tany economy.
Just look at how china changed over 10 years of deng xiaoping's supremacy,or how american image has recovered in the event of obama presidency.

We need a president in the same league as President Lula of brazil.A true reformer to the heart,with the guts to change things.

Virtues za free market,Usimamizi bora wa entrerprenuers sio tatizo,ukifilisi vya kwako utakufa njaa na wanao.

Kwa sasa sio kuwa watanzania hawawezi kuwekeza tanzania,tatizo liko kwenye priorities.Mfano,a wealthy tanzania will likely buy 10 viwanjas,build 3 guest houses,have 20 daladalas,own 5 houses and 5 bars.

a simple look over those investments gives a picture that sisi si wazalishaji,ni watumiaji.huyo ripple effect yake maximum ni 1,hawezi kuwa na effect zaidi ya wale walio kwenye inner circle yake.

Just imagine if the same rich man had a factory or a manufacturing/production kind of investment,that would require some local source from other factories/manufacturers.
 
wajapani ni wazalishaji,hawahitaji fedha za mtu!!hivyo the fact that their currency is lower stands as an advantage to them!!same goes to china and many other south east asian countries.

Same can not be said to ANY AFRICAN COUNTRY.we need our currencies to be as high as possible!for a moment.
 
Mwanamayu,

Inflation kwa uchache ni scarcity ya commodity kwenye soko. Waweza ukawa na fedha ile ile na thamani ile ile lakini ghafla ile bidhaa inayotaka kupatikana ikakosekana, unatokea mfumuko wa bei. kwa mfamo, wakati wa mwezi Desemba, karibu na Xmas, kwenda Mikoani, nauli za mabasi hupanda kwa sababu supply inakuwa ndogo. When there is no scarcity inflation inakuwa haiumizi sana...na badala yake kunakuwa na soko huria...kila mtu atapanga bei kuvutia wateja...ndio tunayoyaona kwenye makampuni ya Simu sasa.

Industrial production tushalizungumzia... Kuhusu geopolitical events...hii husababisha sana devaluation katika nchi zenye political instatibility... watu wakiona zengwe linaweza kutokea, wata sita kufanya biashara na nchi yenu...wataogopa kuleta fedha zao hapo na kusababisha scarcity ya dola (foreign currency); hivyo demand kuwa kubwa na kuporomosha fedha ya ndani.

Je maana ya 'geopolitical' ni 'political instability?
 
Mimi si mtaalam sana wa uchumi ,lakini nilishuhudia siku si nyingibei ya saruji yetu ilipandishwa kwenye soko la ndani kufikia sh.16,ooo kwa mfuko.
Serikali ikaingilia kati na kuruhusu imports,ikaingia cementi toka pakistan ambayo iliuzwa shs 11,000,pamoja na kuwa ilikuwa imelipiwa cost of transport kufika hapa kwetu.
Naomba kuulizeni iwapo mkono wa serikali kwa udhibiti, ili wananchi tupate unafuuu,kwani inelekea hata viwanda vyetu vikipata upenyo havina utofauti.
Nafikiri japo tunavihitaji kutupunguzia importsna kutuongezea exports na kucontrol devaluation kwa maoni yangu strong government input inatakiwa.:painkiller:
 
euro imeshuka bei na TZ ina biashara nyingi na euro zone kuliko US. kama TZ shs ikiendelea kuwa juu wauzaji wa vitu kama maua europe watapata shida sana kuuza vitu vyao

on the other hand TZ tuna import sana kwa hiyo hii policy ita tu cost sana, tungekuwa china tunge export our way out
the only way to stop this ni kwa serikali kuahkikisha ina boost production
vitu ambavyo wanaweza wakavifanya ili kuboost production:
1. wa shift attention kutoka wafanyabiashara wakubwa kwenda kwenye SME.
2. kuhakikisha viwango vya umeme vinashuka ili kusaidia viwanda kuweza kuzalisha.
3. kulinda masoko ya ndani kwa kuhakikisha vitu kama mayai, produce, cement na vinginevyo ambavyo vinapatikana hapa mtu akivitoa nje anachajiwa tax kubwa na sio exemption
 
wawekezaji wanaruhusiwa kuja au kununua kila kitu kutoka huko kwao hata samani.China kwa mfano ata uwe diplomat uruhusiwa kwenda na samani. wao wanajilipa pesa za kigeni, sheria zetu zinawaruhusu wasafirishe fedha kiasi chochote kwenda kwao.account zao ziko kwao.maana yake ni kwamba wanaishi tanzania lakini hawatumii shilingi.Dola kidogo tunachopata kutoka kwenye kusafirisha bidha za kilimo viongozi wetu wanaosafiri kila leo, magari hayo ya kifahari na wafanyabiashara wetu wanoagiza kila kitu inabidi wagawane hicho kidogo matokeo yake ni shilingi lazima ishuke tu.wengine wanasema shoprite kutumia dola si mbaya sasa mkuu wanatumia dola alafu hayo makusanyo yanasafirishwa Africa ya kusini na watu wetu wa madini wananunua kila kitu huko kwao sasa sisi dola tutapata wapi.Serikali ijitahidi basi wainue kilimo na SME, hawa tunauhakika nao kwamba wakiuza nje lazima warudishe Dola kulipia wakulima au wateja wao. hawa wakubwa hawana shida na Shilingi yetu.
 
wawekezaji wanaruhusiwa kuja au kununua kila kitu kutoka huko kwao hata samani.China kwa mfano ata uwe diplomat uruhusiwa kwenda na samani. wao wanajilipa pesa za kigeni, sheria zetu zinawaruhusu wasafirishe fedha kiasi chochote kwenda kwao.account zao ziko kwao.maana yake ni kwamba wanaishi tanzania lakini hawatumii shilingi.Dola kidogo tunachopata kutoka kwenye kusafirisha bidha za kilimo viongozi wetu wanaosafiri kila leo, magari hayo ya kifahari na wafanyabiashara wetu wanoagiza kila kitu inabidi wagawane hicho kidogo matokeo yake ni shilingi lazima ishuke tu.wengine wanasema shoprite kutumia dola si mbaya sasa mkuu wanatumia dola alafu hayo makusanyo yanasafirishwa Africa ya kusini na watu wetu wa madini wananunua kila kitu huko kwao sasa sisi dola tutapata wapi.Serikali ijitahidi basi wainue kilimo na SME, hawa tunauhakika nao kwamba wakiuza nje lazima warudishe Dola kulipia wakulima au wateja wao. hawa wakubwa hawana shida na Shilingi yetu.
Transactions zinazofanyika SHOPRITE zinachukua asilimia ngapi ya transactions zote zinazofanyika Tanzania?tusipigie kelele some leite malls wakati mtanzania wa kawaida anafanya manunuzi kariakoo,tandale,etc

Elite places kam ahizo lazima ziwepo katika kila uchumi,hata huko china,Europe unakosemea kwenye normal malls kuna departments za imported foods,merchandise etc.

Tunapojaribu kutatua matatizo makuwa ni vizuri tukaangalia na impact za njia tunazotaka kutumia.Mfano,Hata shoprite ikifungwa leo ni watanzania wachache sana wataathirika na kutokuwepo kwake.kuna vitu they are just good to have,economically,but they will remain as nice markets.

Mbona hamuwasemi Wahindi na Bank of Baroda,na passport 2 etc,bureau de change etc,http://www.google.com.hk/search?hl=...cd=1&ved=0CBgQBSgA&q=bureau+de+change&spell=1 hawa ndio watu wanaohamisha fedha za Mlalahoi wa Tanzania in large LUMPS than shoprite will ever dream to.
 
Back
Top Bottom