Horseshoe Arch
JF-Expert Member
- Aug 10, 2009
- 13,402
- 12,787
Lugha ililetwa na meli hii ha ha haaa!
ni kweli kila mtu anapenda
Hilo neno limenikumbusha miaka ya 80+ tulikuwa tunaweka bega moja juu lingine chini, mfuko wa nyuma unaning'inia kitambaa, chini bonge la buti la kibaharia halafu unadundika si mchezo huku fegi/fegi kubwa mdomoni.Haaa haaaa usela mavi!!!
😱 BRN ni Shida,sijui elimu ya Tanzania inaelekea wapi??:thumbdown::thumbdown::thumbdown:
Labda Shoga kwahiyo anawaambia wateja wake kwamba mtandao wake pendwa uko poa haujabomolewa
Mimi wala sipendi labda kwa matumizi ya nyumbani tuu
Labda Shoga kwahiyo anawaambia wateja wake kwamba mtandao wake pendwa uko poa haujabomolewa
Sidhan kama hajui maana yake.
Amevaa kuteka attention za anaesoma.
Ujumbe sio mzuri. Ila kama anapenda ameeleza kile wanaume wengi tunaogopa kueleza wazi wazi.
Freedom of speech at best