muhogomchungu
JF-Expert Member
- Jan 9, 2011
- 375
- 3
- Thread starter
- #41
yaani sasa tv zetu zinapiga kelele haki za wanawake, haki za wanawake na utandawazi. lkn mbona wao wanakandamiza haki hizi za msingi? kama leo tv inapiga kelele wnawake waruhusiwe kuvaa wanavyopenda. lkn wao mbona wapo nyuma kupinga?