Why Mlimani Tv, not ITV, TBC?

yaani sasa tv zetu zinapiga kelele haki za wanawake, haki za wanawake na utandawazi. lkn mbona wao wanakandamiza haki hizi za msingi? kama leo tv inapiga kelele wnawake waruhusiwe kuvaa wanavyopenda. lkn wao mbona wapo nyuma kupinga?
 
tambwe hiza alisema kwamba linapokuja swala dini ya kiislam watz huwa wanaumia na kuona hatari. lkn linapkuja swla la wakiristo huwa wanachekelea sana. alisema juzi star tv jee inamaana uvaaji hijab ktk tv sio mjadala? au kwa kuwa tu inahusu imani fulani? ingalikuwa imani nyengine ungalikuja na hoja hii?

"tambwe hiza!!" reference mbovu mada yako haina mashiko mavazi ni taratibu za ofisi kama hauruhusiwi na hautaki 'kucope' na taratibu angalia sehemu inayokufaa na kuendana na mapenzi/matakwa yako, mfano mbunge haruhusiwi kuvaa jeans bungeni asiyeweza asepe, JARIBU KUWA MFUATILIAJI NA SIO MROPOKAJI KUSHINIKIZA KUWA MNAONEWA ni uchaguzi wenu tu kuendana na taratibu zenu
 
Wanafunzi kuvaa hijab mashuleni mmeruhusiwa. Hatuna uhakika na hatujui baada ya mahakama ya kadhi mtadai nini.Ama mtakuwa mmeridhika? Jamani tuache mambo haya tujenge taifa letu bado tuna mambo mengi sana tunayopaswa kufanya!
 
Wanafunzi kuvaa hijab mashuleni mmeruhusiwa. Hatuna uhakika na hatujui baada ya mahakama ya kadhi mtadai nini.Ama mtakuwa mmeridhika? Jamani tuache mambo haya tujenge taifa letu bado tuna mambo mengi sana tunayopaswa kufanya!

ok, lkn mbona baadhi ya tv kama vile Itv, Tbc , huku vyombo hivyo vimekuwa mstari wa mbele kutetea utnadawazi wa kina dada zetu huku wao wakizuia uvaaji wa hijab kw awatngazaji wao wakiwa live? sio kuvunja haki za binaadamu kwa kina dada wetu waliokubali kustiri mwili wao huku wakikatzwa kuvaa hija? nini maana ya utandawazi ktk tv zetu?
 
Tunataka ushahidi wa aliyevaa hijab akarudisha langoni...kinyume na hapo haina maana...by the way hivi ni vyombo vya kijamii ,havihudumii dini moja...anzisha kituo chako mfanyakazi asiyevaa hijab mfute kazi! Maada za aina hii hazina tija,zinachochea tu uhasama!
 
Tunataka ushahidi wa aliyevaa hijab akarudisha langoni...kinyume na hapo haina maana...by the way hivi ni vyombo vya kijamii ,havihudumii dini moja...anzisha kituo chako mfanyakazi asiyevaa hijab mfute kazi! Maada za aina hii hazina tija,zinachochea tu uhasama!

sio jibu la msingi. kama wanataka utandawazi hapa hukwama
 
Tunataka ushahidi wa aliyevaa hijab akarudisha langoni...kinyume na hapo haina maana...by the way hivi ni vyombo vya kijamii ,havihudumii dini moja...anzisha kituo chako mfanyakazi asiyevaa hijab mfute kazi! Maada za aina hii hazina tija,zinachochea tu uhasama!

nini maana uchochezi kwa mtazamo wako? ningalitetea masista wakotiliki ungaliona sio uchehezi kama alivyosema Tambwe hiza star tv?
 
Tunataka ushahidi wa aliyevaa hijab akarudisha langoni...kinyume na hapo haina maana...by the way hivi ni vyombo vya kijamii ,havihudumii dini moja...anzisha kituo chako mfanyakazi asiyevaa hijab mfute kazi! Maada za aina hii hazina tija,zinachochea tu uhasama!

kuna taarifa akina dada wengi wakiislam wanaomba kazi itv wanaambiwa kwanza wakiwa Live wasivae hijab jambo linawashinda. kwani kwao wanaona hijab ni vazi la lazima. lkn pia wakati huu wa utandawazi kumchagulia dada kuvaa ni kichekesho cha mwaka. kubwa zaidi ni yule dda aliejistiri na sio kimini
 
Nimelazimika kuchangia Mada hii,
Hii inadhihirisha kua Elim Bado kikwazo kikubwa kwa Watanzania wengi, Nakubaliana kua Zipo sharia tofauti katika kila sehem ya kazi,
Bint wa kiislam kuvaa Hijab haidhihirish kua ni Muislam Itikad kali,, au anaijua Dini sana! Bali nitaratibu eidha ailiyolelewa nayo au kwel mwenyewe ameamua kuficha badhi ya Viungo Vyake vya mwili.
Mtoa maada hajadhihirisha kua anapigania Dini kwa lazima,, Nikweli kua Kila Muumini wa dini fulan anaegemea upande wa dini hiyo kwa sabab ni dini yake na anaheshim.
Hivyo bac maoni yamtoa maada nikua Inapendeza Mdada mwenye iman fulan eidha ya Kimasai avae kimasai kudumisha mira yake, Mkristo avae kulingana na taratibu zake, na Muislam avae kulingana na taratibu zake za kiiman kama anapenda,, Isiwe sababu ya Mmasai mwenye Ujuzi fulan akose Kazi ati hataki kuachana na Mira zake..
KAMA WEWE MUISLAM fuata taratibu za iman yako na Usivunje tarajibu za kazi,KAMA wewe Ni Mkristo kadhalika, ISIWE SABAB ya Ukristo WANGU napenda kuvaa msalaba Nizuiliwe kufanya kazi taasisis au compunny zenye kiongoz wa dhehebu lingine:
Mtoa mada hana hatia na wala JF haiwez kufuata mawazo yenu ya kiuchochezi na chuki.
Mtoa mada anashauri..
JAMAN..... TUELIMIKE.......
 
Nimelazimika kuchangia Mada hii,
Hii inadhihirisha kua Elim Bado kikwazo kikubwa kwa Watanzania wengi, Nakubaliana kua Zipo sharia tofauti katika kila sehem ya kazi,
Bint wa kiislam kuvaa Hijab haidhihirish kua ni Muislam Itikad kali,, au anaijua Dini sana! Bali nitaratibu eidha ailiyolelewa nayo au kwel mwenyewe ameamua kuficha badhi ya Viungo Vyake vya mwili.
Mtoa maada hajadhihirisha kua anapigania Dini kwa lazima,, Nikweli kua Kila Muumini wa dini fulan anaegemea upande wa dini hiyo kwa sabab ni dini yake na anaheshim.
Hivyo bac maoni yamtoa maada nikua Inapendeza Mdada mwenye iman fulan eidha ya Kimasai avae kimasai kudumisha mira yake, Mkristo avae kulingana na taratibu zake, na Muislam avae kulingana na taratibu zake za kiiman kama anapenda,, Isiwe sababu ya Mmasai mwenye Ujuzi fulan akose Kazi ati hataki kuachana na Mira zake..
KAMA WEWE MUISLAM fuata taratibu za iman yako na Usivunje tarajibu za kazi,KAMA wewe Ni Mkristo kadhalika, ISIWE SABAB ya Ukristo WANGU napenda kuvaa msalaba Nizuiliwe kufanya kazi taasisis au compunny zenye kiongoz wa dhehebu lingine:
Mtoa mada hana hatia na wala JF haiwez kufuata mawazo yenu ya kiuchochezi na chuki.
Mtoa mada anashauri..
JAMAN..... TUELIMIKE.......

Wewe ndiyo uelimike, nenda kwa R.Mengi au TBC ukawaambie.
 
tambwe hiza alisema kwamba linapokuja swala dini ya kiislam watz huwa wanaumia na kuona hatari. lkn linapkuja swla la wakiristo huwa wanachekelea sana. alisema juzi star tv jee inamaana uvaaji hijab ktk tv sio mjadala? au kwa kuwa tu inahusu imani fulani? ingalikuwa imani nyengine ungalikuja na hoja hii?

Hii nami nilimsikia akiongea juu ya statement hiyo hapo, si vibaya wadau tukaongea kiungwana na kueleweshana...HAKUNA MAGOMVI WAUNGWANA.
 
Nimelazimika kuchangia Mada hii, Mimi ni Mkatoliki.
Hii inadhihirisha kua Elim Bado kikwazo kikubwa kwa Watanzania wengi, Nakubaliana kua Zipo sharia tofauti katika kila sehem ya kazi,
Bint wa kiislam kuvaa Hijab haidhihirish kua ni Muislam Itikad kali,, au anaijua Dini sana! Bali nitaratibu eidha ailiyolelewa nayo au kwel mwenyewe ameamua kuficha badhi ya Viungo Vyake vya mwili.
Nafaham kua wengi watanzania tunapenda kuona wakina dada wakidhihirisha viungo vyao wazi, lkn wapo wakina dada wasiopenda kuonyesha viungo vyao, Mbona masisiter wanaruhusiwa kuvaa mavaz yao mazuri kokote? SI UCHOCHEZI WA KIDINI BALI NI MTAZAMO WA KUHESHIM JAMII FULAN KUFUATA TARATIBI ZAO.
Mtoa maada hajadhihirisha kua anapigania Dini kwa lazima,, Nikweli kua Kila Muumini wa dini fulan anaegemea upande wa dini hiyo kwa sabab ni dini yake na anaheshim.
Hivyo bac maoni yamtoa maada nikua Inapendeza Mdada mwenye iman fulan eidha ya Kimasai avae kimasai kudumisha mira yake, Mkristo avae kulingana na taratibu zake, na Muislam avae kulingana na taratibu zake za kiiman kama anapenda,, Isiwe sababu ya Mmasai mwenye Ujuzi fulan akose Kazi ati hataki kuachana na Mira zake..
KAMA WEWE MUISLAM fuata taratibu za iman yako na Usivunje tarajibu za kazi,KAMA wewe Ni Mkristo kadhalika, ISIWE SABAB ya Ukristo WANGU napenda kuvaa msalaba Nizuiliwe kufanya kazi taasisis au compunny zenye kiongoz wa dhehebu lingine:
Mtoa mada hana hatia na wala JF haiwez kufuata mawazo yenu ya kiuchochezi na chuki.
Mtoa mada anashauri..
JAMAN..... TUELIMIKE.......
Jambo lingine ni kua... KAZI KWANZA, OFISINI KWANGU NINA AJILI MTU KUTOKANA NA UTASH WAKE KIKAZ SI itikad yake wala MAVAZ YAKE......
 
Nimelazimika kuchangia Mada hii,
Hii inadhihirisha kua Elim Bado kikwazo kikubwa kwa Watanzania wengi, Nakubaliana kua Zipo sharia tofauti katika kila sehem ya kazi,
Bint wa kiislam kuvaa Hijab haidhihirish kua ni Muislam Itikad kali,, au anaijua Dini sana! Bali nitaratibu eidha ailiyolelewa nayo au kwel mwenyewe ameamua kuficha badhi ya Viungo Vyake vya mwili.
Mtoa maada hajadhihirisha kua anapigania Dini kwa lazima,, Nikweli kua Kila Muumini wa dini fulan anaegemea upande wa dini hiyo kwa sabab ni dini yake na anaheshim.
Hivyo bac maoni yamtoa maada nikua Inapendeza Mdada mwenye iman fulan eidha ya Kimasai avae kimasai kudumisha mira yake, Mkristo avae kulingana na taratibu zake, na Muislam avae kulingana na taratibu zake za kiiman kama anapenda,, Isiwe sababu ya Mmasai mwenye Ujuzi fulan akose Kazi ati hataki kuachana na Mira zake..
KAMA WEWE MUISLAM fuata taratibu za iman yako na Usivunje tarajibu za kazi,KAMA wewe Ni Mkristo kadhalika, ISIWE SABAB ya Ukristo WANGU napenda kuvaa msalaba Nizuiliwe kufanya kazi taasisis au compunny zenye kiongoz wa dhehebu lingine:
Mtoa mada hana hatia na wala JF haiwez kufuata mawazo yenu ya kiuchochezi na chuki.
Mtoa mada anashauri..
JAMAN..... TUELIMIKE.......

Clearly spoken, hongera kwa hekima uliyoitumia kuchangia. Ni dhahiri kweli kwa uliyonena.
 
Mbona Al-Jazeera hawavai Hijab na hujaitaja?



al%20jazeera.jpg
 
Mlimani TV inayomilikiwa na wasomi utakuona akina dada wetu ambao ni watangazaji wakiruhusiwa kuvaa hijab na huku wakiwa Live wanatangaza. hii nimeona ktk taarifa ya habari au hata katika habari nyengine
lkn baadhi ya tv hawaruhusiwi. na hii kutoruhsu uvaaji wa vazi la lazima kwa akina dada wetu wa kiiislam kunaifanya baadhi ya akdada wenye imani ya kweli na dini yao wanashindwa kujiunga na tv hizo huku wakiwa na sifa zao za utangazaji . kwa mfano niliwahi kusoma ktk moja ya gazeti kwamba Sakina dotto alikata kujiunga na Itv baada ya kukuataliwa kuvaa hijab akiwa Online.na wapo wengi tu ambao kwao hijab ni lazima lakina wanasifa zote za kutangaza.
Huku tukiwa tunapigania haki za wanawake Tanzania, yaani wawe huru bila ya kuvunja sheria, vyombo vya habri vikiwa mbele kutetea uhuru wa wanawake,yaani uhuru wa wanawake na kutowanyanyaswa .
Mbona mlimani tv inawezekana na huku Itv, star tv,Tbc haiwezekani? au mlimani tv ni ya waislam?
HIVI VYOMBO VYA HABARI VYETU HAVIONI UMUHIMU HUU HASA TUKIZINGATIA KWAMBA HUU NI WAKATI WA UTANDAWAZI?
Haya ndio mambo tulio baki nayo huku nchi inazidi kuwa masikini,amka ndugu fikiria utapataje ya kwako? achana na hayo mambo,fikiria tupe maendeleo, ukuze ajira,
 
Mi nadhan aljaziira.. Wanaajiri mtu kutokana na ujuzi wake kikai haijalishi anavaa kimasai au hijabu au la.. Na ndivyo tunatakiwa kua nasisi watanzania, tusiangalie kisa anavaa hijabu siimpi ajira ,, noo..
Kazi , ujuzi mbele,,
 
Back
Top Bottom