Mag3
Platinum Member
- May 31, 2008
- 13,065
- 22,758
Kweli ujinga mzigo wa msumari...hii yako ni sawa na kuwaambia Wakorea wamfungulie kesi Kim Jong-un! Au kuwaambia Waganda wamfungulie kesi Yoweri Museveni! Au kuwaambia Warwanda wamfungulie kesi Paul Kagame!Kama una ushahidi magufuli anahusika kafungue kesi: Huyo lissu ameulizwa mara kibao but its still the same minds as the ones in jamii forum: No evidence no right to speak: ata mm naweza sema umeniibia ela kwenye mpesa yangu kwa sababu upo kinyume na ideas zangu kwa upande wa raisi: