PseudoDar186
Senior Member
- Mar 18, 2017
- 103
- 234
- Thread starter
- #21
Unafahamu namna ambavyo tafiti huwa zinapikwa?
Matokeo mengi ya rafiti za mashirika binafsi hupikwa na taasisi inayofanya utafiti. Lengo kuu ni kuleta athari fulani kwa jamii na uelekeo fulani ili kufanikisha malengo ya taasisi husika na mabeberu(wafadhili wake). Lobbying!
Twaweza wanafadhiliwa, hivyo lazima walambe miguu ya mabeberu(wafadhili wao), ambao ni maadui wa dola ya Tanzania, ili kuwafurahisha.
Nakubali kwa kiasi kidogo. Ni kweli kwamba mtu akikufadhili, kwa asilimia fulani lazima ufanye atakachokwambia.
Sasa, kama hiyo Twaweza hatuiamini. Na NEC/ZEC vipi? Angalia uchaguzi zilizofanyika 2017 na 2018? Hakuna kupika matokeo?