Kirumberumbe
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 982
- 1,187
Naunga mkono. Wataalam wetu waliosomea Urusi ni Wapo-wapo tuu; wana Utaalam uliobobea wa:-Hao wala usipoteze muda kuwajaribu!! kwanza hawana cha fursa kwa wote wale! saana utapata mke au mme mweupe mifukoni! na pombe za bure!! angalia madaktari wote waliosoma urusi waleviiii umbwa!! km Dr Likoko wa kibaha Mweee!!
iliendaaa akaishia kuishi Chalinze tena uchochoroni tu jamani yule Babu alikuwa ana kunywa pombeeeee mpaka ana jinyea ni Mungu nisaidie! kwa pombe zile hakuzaa! sasa niende kufanya nini???....... hapo nimekupa ka mfano kadoogo tu!
wapo Madaktari wengi tu tena siyo wakali kwa visu na ustaarabu km wale waliosoma nchi za Magaharibi!.......shida tuuu ukienda kule utarudi na briefcase! na vitabu!! lkn USA mwee migari, mashine, matrekta viwanda, ukiwa mjanaja ndege!! akili mupya yaani kule
unaweza beba Hospital
1.Matusi mazito-mazito ya nguoni tena ya hadharani
2. Unywaji pombe/Ulevi wa vinywaji vikali wa kupindukia
3. Hawana Taaluma ya ki-Ukweli-kweli vichwani- ni Vilaza ile mbaya i.e Vilaza wa kutupwa. Usiombe utibiwe na Daktari aliyesoma Urusi. Kwake yy hatambui kwamba kwa uzembe wake anaweza Kukudedisha kimasihara .
4. Wamejaa dharau na majivuno yaliyokithiri; yaani kwa lugha ya mtaani - Wanajisikiaga sana
Nchi za Magharibi na Urusi zinapaswa kutafuta suluhu la tatizo lao. Kutosha kwa mauaji ya Ukrainians wasio na hatia. Hapana kwa vita.


