Why do I love Russia

Why do I love Russia

Hao wala usipoteze muda kuwajaribu!! kwanza hawana cha fursa kwa wote wale! saana utapata mke au mme mweupe mifukoni! na pombe za bure!! angalia madaktari wote waliosoma urusi waleviiii umbwa!! km Dr Likoko wa kibaha Mweee!!

iliendaaa akaishia kuishi Chalinze tena uchochoroni tu jamani yule Babu alikuwa ana kunywa pombeeeee mpaka ana jinyea ni Mungu nisaidie! kwa pombe zile hakuzaa! sasa niende kufanya nini???....... hapo nimekupa ka mfano kadoogo tu!

wapo Madaktari wengi tu tena siyo wakali kwa visu na ustaarabu km wale waliosoma nchi za Magaharibi!.......shida tuuu ukienda kule utarudi na briefcase! na vitabu!! lkn USA mwee migari, mashine, matrekta viwanda, ukiwa mjanaja ndege!! akili mupya yaani kule

unaweza beba Hospital
Naunga mkono. Wataalam wetu waliosomea Urusi ni Wapo-wapo tuu; wana Utaalam uliobobea wa:-
1.Matusi mazito-mazito ya nguoni tena ya hadharani
2. Unywaji pombe/Ulevi wa vinywaji vikali wa kupindukia
3. Hawana Taaluma ya ki-Ukweli-kweli vichwani- ni Vilaza ile mbaya i.e Vilaza wa kutupwa. Usiombe utibiwe na Daktari aliyesoma Urusi. Kwake yy hatambui kwamba kwa uzembe wake anaweza Kukudedisha kimasihara .
4. Wamejaa dharau na majivuno yaliyokithiri; yaani kwa lugha ya mtaani - Wanajisikiaga sana
 
Naunga mkono. Wataalam wetu waliosomea Urusi ni Wapo-wapo tuu; wana Utaalam uliobobea wa:-
1.Matusi mazito-mazito ya nguoni tena ya hadharani
2. Unywaji pombe/Ulevi wa vinywaji vikali wa kupindukia
3. Hawana Taaluma ya ki-Ukweli-kweli vichwani- ni Vilaza ile mbaya i.e Vilaza wa kutupwa. Usiombe utibiwe na Daktari aliyesoma Urusi. Kwake yy hatambui kwamba kwa uzembe wake anaweza Kukudedisha kimasihara .
4. Wamejaa dharau na majivuno yaliyokithiri; yaani kwa lugha ya mtaani - Wanajisikiaga sana
Yaani Mwana acha tu kuna waleee!! wamejaa Temeke Hospitali pale!! ...... wakati wa mijadala ma wodini huko!! hawawezi kuchangia hoja kalikali!! zile hot!! kwa kuwa ni weupe kichwani.....wao ni yes! yes! tu! utawajua kirahisi, unajua wanacho kifanya ni nini?? ..

Sikia sasa ...... wanajitenga kimjadala hivi wanaongea kwa ki-Russia!! wao kwa wao!!.... Basi huwaga nacheeeka sana! wale wa Russia hata AMO waliosoma KCMC hawawafikii kwa visu!! hata ku-deal na magonjwa makubwa!! makubwa.

Ukienda Hospital utawajua kirahisi sana!!... wao wako ivi ni kuzunguka kwenye Corridor tuu!! na Cafteria! wameshikilia yale madude ya kung'aa km manati yanaitwaje vile.......sasa ukiona wa hivi!! jua kabisaaa Russia hiyoooooooo!!...kimbiaa!!!!
 
Urusi HAIJAWAHI kuwa na watumwa weusi wala Urusi haikutengeneza soko la kufanya biashara ya watu weusi
(1600-1800).
Urusi KAMWE haikushiriki katika mkutano wa Berlin kushiriki Afrika kama kipande cha nyama ya mbuzi (1884).
Urusi HAIJAWAHI kukoloni, haikuendelezwa na kupora rasilimali za Afrika (1914-1960).
Urusi HAIJAWAHI kuwezesha mtandao wa usalama kwa viongozi wa Afrika kuficha fedha zilizoibiwa, kutumia fedha hizi zilizoibwa kujiendeleza na kisha kutoa fedha hizo hizo kwa Afrika kama mikopo.

Urusi haijawahi kuvamia na kuyumbisha nchi yoyote ya Kiafrika (Libya, Somalia, Kongo, Burkina Faso, Misri, Afrika Kusini, na kadhalika).
Urusi HAIJAWAUA Mpigania Uhuru yeyote wa Kiafrika lakini Uingereza na Marekani zimeua mamia ya Wawokozi wetu na maelfu ninyi wa Wapigania Uhuru wetu wa Kiafrika bado mnateseka katika magereza na shimo tofauti kote Amerika.

Ni nani Aliyemuua Marcus Garvey wa Black Panther USA.?
Aliyemuua Thomas Sankara wa Burkina Faso.!?
Aliyemuua Patrice Lumumba wa Kongo.?

Aliyemuua Malcolm X. Wa Black Panther.?

Aliyemuua Mu'ammar Al' Gaddafi wa Libya.?
Aliyemuua Kasisi Martin Luther King Mdogo wa Mwafrika Mmarekani.?

Aliyemuua Tupac Sharkur.?

Nani Alimuua Fela Kuti.?

Aliyemuua Stephen Biko wa Bantu huko Afrika Kusini.?

Nani Alimuua Solomon Mahlangu?

. Nani aliua BIAFRANS milioni 5.?

... na kadhalika. Waliofanya hayo hapo juu ndio wanasukuma simulizi kuwa "Urusi" imekuwa Boogeyman... Wale waliokoloni na kwa takriban miaka 100 walikataa kushiriki teknolojia yao na Afrika wanataka Afrika iwapende wanaowapenda na kuwachukia wanaowachukia.

Nah! Kamwe tena! Ikiwa Urusi ni Boogeyman, basi magharibi shetani mwenyewe Nchi za Magharibi na Urusi zinapaswa kutafuta suluhu la tatizo lao. Kutosha kwa mauaji ya Ukrainians wasio na hatia. Hapana kwa vita.
Hapa Tupo pamoja bro.
 
Urusi HAIJAWAHI kuwa na watumwa weusi wala Urusi haikutengeneza soko la kufanya biashara ya watu weusi
(1600-1800).
Urusi KAMWE haikushiriki katika mkutano wa Berlin kushiriki Afrika kama kipande cha nyama ya mbuzi (1884).
Urusi HAIJAWAHI kukoloni, haikuendelezwa na kupora rasilimali za Afrika (1914-1960).
Urusi HAIJAWAHI kuwezesha mtandao wa usalama kwa viongozi wa Afrika kuficha fedha zilizoibiwa, kutumia fedha hizi zilizoibwa kujiendeleza na kisha kutoa fedha hizo hizo kwa Afrika kama mikopo.

Urusi haijawahi kuvamia na kuyumbisha nchi yoyote ya Kiafrika (Libya, Somalia, Kongo, Burkina Faso, Misri, Afrika Kusini, na kadhalika).
Urusi HAIJAWAUA Mpigania Uhuru yeyote wa Kiafrika lakini Uingereza na Marekani zimeua mamia ya Wawokozi wetu na maelfu ninyi wa Wapigania Uhuru wetu wa Kiafrika bado mnateseka katika magereza na shimo tofauti kote Amerika.

Ni nani Aliyemuua Marcus Garvey wa Black Panther USA.?
Aliyemuua Thomas Sankara wa Burkina Faso.!?
Aliyemuua Patrice Lumumba wa Kongo.?

Aliyemuua Malcolm X. Wa Black Panther.?

Aliyemuua Mu'ammar Al' Gaddafi wa Libya.?
Aliyemuua Kasisi Martin Luther King Mdogo wa Mwafrika Mmarekani.?

Aliyemuua Tupac Sharkur.?

Nani Alimuua Fela Kuti.?

Aliyemuua Stephen Biko wa Bantu huko Afrika Kusini.?

Nani Alimuua Solomon Mahlangu?

. Nani aliua BIAFRANS milioni 5.?

... na kadhalika. Waliofanya hayo hapo juu ndio wanasukuma simulizi kuwa "Urusi" imekuwa Boogeyman... Wale waliokoloni na kwa takriban miaka 100 walikataa kushiriki teknolojia yao na Afrika wanataka Afrika iwapende wanaowapenda na kuwachukia wanaowachukia.

Nah! Kamwe tena! Ikiwa Urusi ni Boogeyman, basi magharibi shetani mwenyewe Nchi za Magharibi na Urusi zinapaswa kutafuta suluhu la tatizo lao. Kutosha kwa mauaji ya Ukrainians wasio na hatia. Hapana kwa vita.
Sasa hapa nimekuelewa
 
Yaani Mwana acha tu kuna waleee!! wamejaa Temeke Hospitali pale!! ...... wakati wa mijadala ma wodini huko!! hawawezi kuchangia hoja kalikali!! zile hot!! kwa kuwa ni weupe kichwani.....wao ni yes! yes! tu! utawajua kirahisi, unajua wanacho kifanya ni nini?? ..

Sikia sasa ...... wanajitenga kimjadala hivi wanaongea kwa ki-Russia!! wao kwa wao!!.... Basi huwaga nacheeeka sana! wale wa Russia hata AMO waliosoma KCMC hawawafikii kwa visu!! hata ku-deal na magonjwa makubwa!! makubwa.

Ukienda Hospital utawajua kirahisi sana!!... wao wako ivi ni kuzunguka kwenye Corridor tuu!! na Cafteria! wameshikilia yale madude ya kung'aa km manati yanaitwaje vile.......sasa ukiona wa hivi!! jua kabisaaa Russia hiyoooooooo!!...kimbiaa!!!!
Yale madude ya kung'aa yanaitwa Stethoscope hutumika kusikizia mapigo ya moyo na upumuaji katika mapafu ya mgonjwa. Lakini sinaga hamu na Wasomi watokao Urussi.
 
Russia NEVER had black slaves nor did Russia create a market to trade black people (1600-1800).

Russia NEVER participated in the Berlin conference to share Africa like some piece of goat meat (1884).

Russia NEVER colonised, underdeveloped and looted Africa's resources (1914-1960).

Russia NEVER enabled a safety net for African leaders to hide stolen funds, use these stolen funds to develop itself and then grant the same funds back to Africa as loans.

Russia never invaded and destabilized any African country (Libya, Somalia, Congo, Burkina Faso, Egypt, South Africa, et cetera).

Russia NEVER killed any of African Freedom Fighter but UK and USA have killed hundreds of of our Saviours and thousands you of our African Freedom Fighters are still languishing in different prisons and dungeons all over America.
Who killed Marcus Garvey of Black Panther USA.
Who killed Thomas Sankara of Burkina Faso.
Who killed Patrice Lumumba of Congo.
Who killed Malcolm X. Of Black Panther.
Who killed Mu'ammar Al' Gaddafi of Libya.
Who killed Rev. Martin Luther King Jr. Of African American.
Who Killed Tupac Sharkur.
Who Killed Fela Kuti.
Who Killed Stephen Biko of Bantu in South Africa.
Who Killed Solomon Mahlangu.
Who killed 5 million BIAFRANS.
...et cetera.

Those who did the aforementioned are the ones pushing the narrative that "Russia" has become the Boogeyman... Those who colonized and for about 100 years refused to share their technology with Africa want Africa to like those they like and hate those they hate.
Nah! Never again!

If Russia is the Boogeyman, then the west the devil himself
The West and Russia should find solutions to their problem. Enough of the killing of innocent Ukrainians. No to war.
c&p

but i second your post
 
Urusi HAIJAWAHI kuwa na watumwa weusi wala Urusi haikutengeneza soko la kufanya biashara ya watu weusi
(1600-1800).
Urusi KAMWE haikushiriki katika mkutano wa Berlin kushiriki Afrika kama kipande cha nyama ya mbuzi (1884).
Urusi HAIJAWAHI kukoloni, haikuendelezwa na kupora rasilimali za Afrika (1914-1960).
Urusi HAIJAWAHI kuwezesha mtandao wa usalama kwa viongozi wa Afrika kuficha fedha zilizoibiwa, kutumia fedha hizi zilizoibwa kujiendeleza na kisha kutoa fedha hizo hizo kwa Afrika kama mikopo.

Urusi haijawahi kuvamia na kuyumbisha nchi yoyote ya Kiafrika (Libya, Somalia, Kongo, Burkina Faso, Misri, Afrika Kusini, na kadhalika).
Urusi HAIJAWAUA Mpigania Uhuru yeyote wa Kiafrika lakini Uingereza na Marekani zimeua mamia ya Wawokozi wetu na maelfu ninyi wa Wapigania Uhuru wetu wa Kiafrika bado mnateseka katika magereza na shimo tofauti kote Amerika.

Ni nani Aliyemuua Marcus Garvey wa Black Panther USA.?
Aliyemuua Thomas Sankara wa Burkina Faso.!?
Aliyemuua Patrice Lumumba wa Kongo.?

Aliyemuua Malcolm X. Wa Black Panther.?

Aliyemuua Mu'ammar Al' Gaddafi wa Libya.?
Aliyemuua Kasisi Martin Luther King Mdogo wa Mwafrika Mmarekani.?

Aliyemuua Tupac Sharkur.?

Nani Alimuua Fela Kuti.?

Aliyemuua Stephen Biko wa Bantu huko Afrika Kusini.?

Nani Alimuua Solomon Mahlangu?

. Nani aliua BIAFRANS milioni 5.?

... na kadhalika. Waliofanya hayo hapo juu ndio wanasukuma simulizi kuwa "Urusi" imekuwa Boogeyman... Wale waliokoloni na kwa takriban miaka 100 walikataa kushiriki teknolojia yao na Afrika wanataka Afrika iwapende wanaowapenda na kuwachukia wanaowachukia.

Nah! Kamwe tena! Ikiwa Urusi ni Boogeyman, basi magharibi shetani mwenyewe Nchi za Magharibi na Urusi zinapaswa kutafuta suluhu la tatizo lao. Kutosha kwa mauaji ya Ukrainians wasio na hatia. Hapana kwa vita.
Dah mawazo yakinifu na pia nimeelewa vile umetafsri na hii lugha ya malkia ili hata watu wa huku kwetu waelewe .BIG UP BRO.
 
Back
Top Bottom