Why do I love Russia

Wakupuliza= na wakupuuzwa.
Kiroba/nyagi>Le Chemin du Roi

FO998YlacAEvrvC.jpg
 
Hao wala usipoteze muda kuwajaribu!! kwanza hawana cha fursa kwa wote wale! saana utapata mke au mme mweupe mifukoni! na pombe za bure!! angalia madaktari wote waliosoma urusi waleviiii umbwa!! km Dr Likoko wa kibaha Mweee!!

iliendaaa akaishia kuishi Chalinze tena uchochoroni tu jamani yule Babu alikuwa ana kunywa pombeeeee mpaka ana jinyea ni Mungu nisaidie! kwa pombe zile hakuzaa! sasa niende kufanya nini???....... hapo nimekupa ka mfano kadoogo tu!

wapo Madaktari wengi tu tena siyo wakali kwa visu na ustaarabu km wale waliosoma nchi za Magaharibi!.......shida tuuu ukienda kule utarudi na briefcase! na vitabu!! lkn USA mwee migari, mashine, matrekta viwanda, ukiwa mjanaja ndege!! akili mupya yaani kule

unaweza beba Hospital
Na marinda yanarudi sio Salama.Hata Zelensky anajua hilo.
Screenshot_20220329-215255.jpg
 
Ukiachana China na Urusi, nionyeshe nchi nyingine inayofuata ujamaa na imeendelea?

Ujamaa ni uchawi.
Hivi umefuatilia jinsi Marekani na washirika wake walivyo pambana kuhujumu maendeleo ya nchi yeyote iliyofuata siasa za ujamaa ili ionekane ujamaa na hasa ukomunisti ni mbaya kwa mustakabali wa maendeleo ya binadamu?

Umefuatilia mpango wa kuuwa ujamaa Congo, Vietnam kusini, Cuba, n.k. orodha ndefu.

Fuatilia classfied docs zilizo kuwa declassified za Marekani jinsi maaraisi wake na CIA walivyopanga mikakati ya ku-undermine serikali zozote za kijamaa. Walivyopanga mauaji au kupindua maraisi wake, walivyotumia propaganda kuanzisha ihasi au ikilazimu kupanga kuwaua viongozi wa nchi hizo au waungaji sera za kijamaa. Walieneza hadi uzushi wajamaa ni wapinga ukristo.

Soma kitabu:
The Brilliant Disaster: JFK, Castro, and America's Doomed Invasion of Cuba's Bay of Pigs
Book by Jim Rasenberger
 
FUATILIA VEMA HISTORIA YA PUTIN MWAKA HUO UNAOSEMA ALIKUWA TANZANI HAKUWA TANZANIA

REUTERS
A black and white image which some people falsely claim shows Russian President Vladimir Putin training liberation movements in southern Africa, has been circulating.
It has been used by some to justify why African countries should support Russia in the war in Ukraine
Lakini hii picha ni ya muda mrefu na imeshatumika sana hapa JF na kwingineko na hao Reuters hawajawahi kukanusha.. Why now?
 
Hivi umefuatilia jinsi Marekani na washirika wake walivyo pambana kuhujumu maendeleo ya nchi yeyote iliyofuata siasa za ujamaa ili ionekane ujamaa na hasa ukomunisti ni mbaya kwa mustakabali wa maendeleo ya binadamu?

Umefuatilia mpango wa kuuwa ujamaa Congo, Vietnam kusini, Cuba, n.k. orodha ndefu.

Fuatilia classfied docs zilizo kuwa declassified za Marekani jinsi maaraisi wake na CIA walivyopanga mikakati ya ku-undermine serikali zozote za kijamaa. Walivyopanga mauaji au kupindua maraisi wake, walivyotumia propaganda kuanzisha ihasi au ikilazimu kupanga kuwaua viongozi wa nchi hizo au waungaji sera za kijamaa. Walieneza hadi uzushi wajamaa ni wapinga ukristo.

Soma kitabu:
The Brilliant Disaster: JFK, Castro, and America's Doomed Invasion of Cuba's Bay of Pigs
Book by Jim Rasenberger
Who killed Nestor?
FB_IMG_1648550803500.jpg
 
Russia hakushiriki mkutano wa Berlin? Nakushauri kamsome mtu anaitwa Pyotr Shuvalov alafu njoo uedit andiko lako.

Siku ukijua ya chini ya kapeti anayofanya Mrusi katika issue za gesi ikiwemo huku katika mwambao wa bahari ya hindi.

Utaelewa yeye na Mmarekani ni wale wale na wanachogombania ni nani avune zaidi vinono vya dunia.
 
Russia hakushiriki mkutano wa Berlin? Nakushauri kamsome mtu anaitwa Pyotr Shuvalov alafu njoo uedit andiko lako.

Siku ukijua ya chini ya kapeti anayofanya Mrusi katika issue za gesi ikiwemo huku katika mwambao wa bahari ya hindi.

Utaelewa yeye na Mmarekani ni wale wale na wanachogombania ni nani avune zaidi vinono vya dunia.
Aisee.
FO8q2lSaUAE50T5.jpg
 
Russia hakushiriki mkutano wa Berlin? Nakushauri kamsome mtu anaitwa Pyotr Shuvalov alafu njoo uedit andiko lako.

Siku ukijua ya chini ya kapeti anayofanya Mrusi katika issue za gesi ikiwemo huku katika mwambao wa bahari ya hindi.

Utaelewa yeye na Mmarekani ni wale wale na wanachogombania ni nani avune zaidi vinono vya dunia.
Nobody is perfect! Hata wewe ukiwa na kisu ukakutana na mbaya wako kizani utambutua tuu... Tutofautishe uzalendo na uvamizi
 
Nobody is perfect! Hata wewe ukiwa na kisu ukakutana na mbaya wako kizani utambutua tuu... Tutofautishe uzalendo na uvamizi

Hakuna mahali nimelinganisha uzalendo na uvamizi. Nilichojaribu ni kukumbusha Mrusi na Mmarekani ni wale wale.
 
.umejitahidi pia mkuu,kunakiri!! Kuna watu walipewa mtihani waigilizie lkn bado walifeli kwa kukosea kukopi jinsi ilivyo!

Sent using Jamii Forums mobile app
umenikumbusha kitu.. Tukiwa tunafanya final exam ya std seven jamaa niliyekaa naye dawati moja nikamwambia anakili majibu yote toka kwangu... Huwezi kuamini matokeo yalipotoka alifeli
 
Russia NEVER had black slaves nor did Russia create a market to trade black people (1600-1800).

Russia NEVER participated in the Berlin conference to share Africa like some piece of goat meat (1884).

Russia NEVER colonised, underdeveloped and looted Africa's resources (1914-1960).

Russia NEVER enabled a safety net for African leaders to hide stolen funds, use these stolen funds to develop itself and then grant the same funds back to Africa as loans.

Russia never invaded and destabilized any African country (Libya, Somalia, Congo, Burkina Faso, Egypt, South Africa, et cetera).

Russia NEVER killed any of African Freedom Fighter but UK and USA have killed hundreds of of our Saviours and thousands you of our African Freedom Fighters are still languishing in different prisons and dungeons all over America.
Who killed Marcus Garvey of Black Panther USA.
Who killed Thomas Sankara of Burkina Faso.
Who killed Patrice Lumumba of Congo.
Who killed Malcolm X. Of Black Panther.
Who killed Mu'ammar Al' Gaddafi of Libya.
Who killed Rev. Martin Luther King Jr. Of African American.
Who Killed Tupac Sharkur.
Who Killed Fela Kuti.
Who Killed Stephen Biko of Bantu in South Africa.
Who Killed Solomon Mahlangu.
Who killed 5 million BIAFRANS.
...et cetera.

Those who did the aforementioned are the ones pushing the narrative that "Russia" has become the Boogeyman... Those who colonized and for about 100 years refused to share their technology with Africa want Africa to like those they like and hate those they hate.
Nah! Never again!

If Russia is the Boogeyman, then the west the devil himself
The West and Russia should find solutions to their problem. Enough of the killing of innocent Ukrainians. No to war.
Hata kidogo. Awali nilikuwa namkubali Mrusi lakini kwa hili la kumwonea Dogo nimemtema mazima.
 
Back
Top Bottom