Man! probably I've been to so many places in Tanzania than you. Nimetembelea mikoa mingi sana ya Tanzania, nina uhakika lazima hata kuna sehemu nimeingia kwenye hata wewe hujaota kuenda. Anyway back to the topic, can you refute any of the claims, that
- You've been ruled by one party since independence
- Majority of you speak only one language, there are so many Tanzanian youths who can't speak their own mother-tongue, eti ni ushamba kuongea kilugha, wengine wanasema eti ni utumwa kuongea Kingereza, mumejaa vijisababu kwa ajili ya mapungufu yenu. Na hata pamoja na kuongea lugha moja, bado asilimia 60% mnapiga division zero. Hamna ujanja wa kujua na kuongea lugha nyingi.
- You've all been packaged into one musical genre, vijana wamejazana kwenye Bongo flava na milegezo. Diamond akinyoa style moja ya nywele, vijana wote wanamwagika kwa hiyo moja. Magazeti yenu kila asubuhi ni taarifa za Diamond na Wema, kana kwamba hamna wasanii wengine nchi yote.
kadoda11 nakuita huku usipite kimya.