Why Bongo Flava is popular in Kenya

Why Bongo Flava is popular in Kenya

At least now we are doing health argument! Nijuavyo mimi hakuna lugha hata moja isiyotohoa wala kukopa maneno toka lugha nyingine kikiwemo hicho kichina
Mimi nimesoma hicho kichina na Luna maneno kibao yametoholewa toka kijapani, kimalay kiingereza na hata kigiriki na kirusi, tunachotakiwa ni kujitahidi tu tukijenge kikue

Tatizo langu na Kiswahili ni kwamba tume zimebuniwa kukiboresha na hawafanyi chochote cha maana zaidi ya posho. Taaluma yangu ndio hakipo kabisaa, huwa nahangaika ninapohitajika kufanya mradi Bongo halafu jamaa wanasisitiza niandike ripoti/taarifa kwa lugha zote mbili, jameni ninabaki kutafuta sana maneno ya Kiswahili. Yaani hata maneno hakikopi kutoka lugha zingine, kiko hoi tu. Watanzania wenyewe ndio unapata hata na wao wanakishabikia lakini hawakiboreshi, maneno mengi nikiwauliza wanabaki kushangaa maana hawajui mbadala.
 
...lakini hatuwezi kuendelea na hiyo hali ya kukitukuza kiingereza...
Achana nao hawa watwana. Bado wana kasumba za kikoloni kwa hiyo si rahisi kuwapa somo. Kwa wao hadi leo hii wanafikiria kuongea kiingereza ndio dalili ya kustaarabika. Mijitu yenyewe myeusi tiii ka mkaa lakini bado tu. Khaa!
 
Achana nao hawa watwana. Bado wana kasumba za kikoloni kwa hiyo si rahisi kuwapa somo. Kwa wao hadi leo hii wanafikiria kuongea kiingereza ndio dalili ya kustaarabika. Mijitu yenyewe myeusi tiii ka mkaa lakini bado tu. Khaa!

hahaha halafu umenikumbusha na ule ustaarabu wao wa kijinga wa kula ugali/sima kwa kijiko na uma(fork).eti wenyewe wanajihisi ni wazungu wenye ngozi nyeusi.wakenya bhana.
 
Man! probably I've been to so many places in Tanzania than you. Nimetembelea mikoa mingi sana ya Tanzania, nina uhakika lazima hata kuna sehemu nimeingia kwenye hata wewe hujaota kuenda. Anyway back to the topic, can you refute any of the claims, that
- You've been ruled by one party since independence
- Majority of you speak only one language, there are so many Tanzanian youths who can't speak their own mother-tongue, eti ni ushamba kuongea kilugha, wengine wanasema eti ni utumwa kuongea Kingereza, mumejaa vijisababu kwa ajili ya mapungufu yenu. Na hata pamoja na kuongea lugha moja, bado asilimia 60% mnapiga division zero. Hamna ujanja wa kujua na kuongea lugha nyingi.
- You've all been packaged into one musical genre, vijana wamejazana kwenye Bongo flava na milegezo. Diamond akinyoa style moja ya nywele, vijana wote wanamwagika kwa hiyo moja. Magazeti yenu kila asubuhi ni taarifa za Diamond na Wema, kana kwamba hamna wasanii wengine nchi yote.

kadoda11 nakuita huku usipite kimya.
unapulizwa wewe
 
Last edited by a moderator:
[QUOTE=Askari Kanzu;11026466]Achana nao hawa watwana. Bado wana kasumba za kikoloni kwa hiyo si rahisi kuwapa somo. Kwa wao hadi leo hii wanafikiria kuongea kiingereza ndio dalili ya kustaarabika. Mijitu yenyewe myeusi tiii ka mkaa lakini bado tu. Khaa![/QUOTE]

hahaha halafu umenikumbusha na ule ustaarabu wao wa kijinga wa kula ugali/sima kwa kijiko na uma(fork).eti wenyewe wanajihisi ni wazungu wenye ngozi nyeusi.wakenya bhana.
Samahani lakini, hao jamaa lawmaina78 na wenzake wanapulizwa, wanakwepa mada na wanataka tujadiri wanachotaka wao, hoja ni "why bongo Flava is Popular in Kenya?". Magazeti yao na TV zao zinathibitisha hivyo, sasa hayo mambo ya sijui Kiswahili hakifahamiki, sijui anafanya project, sijui katembea sana Tanzania, ya nini? Watujibu kwamba vyombo vyao vya habari vinasema uongo?
Cc: mshana jr , Askari Kanzu
 
Last edited by a moderator:
[QUOTE=Askari Kanzu;11026466]Achana nao hawa watwana. Bado wana kasumba za kikoloni kwa hiyo si rahisi kuwapa somo. Kwa wao hadi leo hii wanafikiria kuongea kiingereza ndio dalili ya kustaarabika. Mijitu yenyewe myeusi tiii ka mkaa lakini bado tu. Khaa!

Samahani lakini, hao jamaa lawmaina78 na wenzake wanapulizwa, wanakwepa mada na wanataka tujadiri wanachotaka wao, hoja ni "why bongo Flava is Popular in Kenya?". Magazeti yao na TV zao zinathibitisha hivyo, sasa hayo mambo ya sijui Kiswahili hakifahamiki, sijui anafanya project, sijui katembea sana Tanzania, ya nini? Watujibu kwamba vyombo vyao vya habari vinasema uongo?
Cc: mshana jr , Askari Kanzu[/QUOTE]

wavumilie tu kaka,inaitwa "kutapatapa".sisi tumesha wazoea.ni kawaida yao,wakibanwa huku wanaibukia kule,wakibanwa kule wanaibukia huku, almradi tu waonekane wanapangua hoja kumbe wanapanga "viroja".
 
Last edited by a moderator:
Samahani lakini, hao jamaa lawmaina78 na wenzake wanapulizwa, wanakwepa mada na wanataka tujadiri wanachotaka wao, hoja ni "why bongo Flava is Popular in Kenya?". Magazeti yao na TV zao zinathibitisha hivyo, sasa hayo mambo ya sijui Kiswahili hakifahamiki, sijui anafanya project, sijui katembea sana Tanzania, ya nini? Watujibu kwamba vyombo vyao vya habari vinasema uongo?
Cc: mshana jr , Askari Kanzu

wavumilie tu kaka,inaitwa "kutapatapa".sisi tumesha wazoea.ni kawaida yao,wakibanwa huku wanaibukia kule,wakibanwa kule wanaibukia huku, almradi tu waonekane wanapangua hoja kumbe wanapanga "viroja".[/QUOTE]Nadhani wanatakiwa kutujibu vizuri na si kutukimbia lawmaina78
 
Last edited by a moderator:
Wewe wacha hadithi ilizoskia za vijiwe, wapi uliambiwa heti introduction yetu huwa tunaanza kwa kuulizana makabila. Nimesema migawanyo ya matabaka hufanyika kwa ajili ya siasa tu. Hata kwanza Bongo udini upo sana lakini unafanywa kimy kimya.

Mkuu kama kukataa we kataa tu mimi nilimdanganya dada mmoja kuwa na mm natoka Kenya. Ofcoz alijua labda na mm ni mkenya (kikuyu) ndipo akataka kujua akasema 'we waKenya sehemu gani'. Sisi waTz wala huezi uliza mtu hivyo..na ndio mana hata tukienda sherehe za east africa wanaweka nyimbo ya kikuyu (kilugha lugha tu) mpk inakera.

Na kujua hilo mnapokuwa wenyewe huwa mnaongea hicho kiluga chenu dah..sisi waTz hata wengine sijui ni kabila gani likewise hakuna anaejua kabila yangu hapa coz hatunaga mda waKUJIBAGUA kwa kuwa tunatoka eneo fulani la home. Ndio mana wazungu hawanaga makabila na wanaishi poa kbs
 
[QUOTE=Askari Kanzu;11026466]Achana nao hawa watwana. Bado wana kasumba za kikoloni kwa hiyo si rahisi kuwapa somo. Kwa wao hadi leo hii wanafikiria kuongea kiingereza ndio dalili ya kustaarabika. Mijitu yenyewe myeusi tiii ka mkaa lakini bado tu. Khaa!

Samahani lakini, hao jamaa lawmaina78 na wenzake wanapulizwa, wanakwepa mada na wanataka tujadiri wanachotaka wao, hoja ni "why bongo Flava is Popular in Kenya?". Magazeti yao na TV zao zinathibitisha hivyo, sasa hayo mambo ya sijui Kiswahili hakifahamiki, sijui anafanya project, sijui katembea sana Tanzania, ya nini? Watujibu kwamba vyombo vyao vya habari vinasema uongo?
Cc: mshana jr , Askari Kanzu[/QUOTE]

Sawa kabisa kuna mahali nimewaambia turudi kwenye mada husika wakaniambia nalalamika nimeshindwa kujibu hoja,

Ukiachilia mbali vyombo vyao vya habari wakazuie vile vibanda vinavyouza CD na kupiga miziki ya kibongo mitaa ya River road city centre na kwenye mabar mihagawa na madisco
 
Last edited by a moderator:
hahaha halafu umenikumbusha na ule ustaarabu wao wa kijinga wa kula ugali/sima kwa kijiko na uma(fork).eti wenyewe wanajihisi ni wazungu wenye ngozi nyeusi.wakenya bhana.

Safi kadoda11 umenikumbusha ule ustaraabu wa Wabongo aliowafundisha Mwarabu, baada ya kunya mnaosha mku.ndu kwa vidole na maji. Halafu hiyo mikono ndio mnatumia kula wali na kusalimia watu...yuck!! Vyoo vya Dar es Salaamu vimejaa vifaa vya kuchotea maji ya kuosha nini.
 
Last edited by a moderator:
Safi kadoda11 umenikumbusha ule ustaraabu wa Wabongo aliowafundisha Mwarabu, baada ya kunya mnaosha mku.ndu kwa vidole na maji. Halafu hiyo mikono ndio mnatumia kula wali na kusalimia watu...yuck!! Vyoo vya Dar es Salaamu vimejaa vifaa vya kuchotea maji ya kuosha nini.

Na hapo ndo penye shida, jaribu kuelewa taratibu za makabila mbalimbali, angalia ni mkono gani unatumika wewe! Na ndio maana kuna kunawa baada ya kujisaidia halafu nani kakwambia toilet paper inamaliza uchafu wote unaoufuta kwa mkono unaolia chakula, ndio maana kuna stagnant smell isiyoisha huko kwenyu which is very boring
 
Last edited by a moderator:
Samahani lakini, hao jamaa lawmaina78 na wenzake wanapulizwa, wanakwepa mada na wanataka tujadiri wanachotaka wao, hoja ni "why bongo Flava is Popular in Kenya?". Magazeti yao na TV zao zinathibitisha hivyo, sasa hayo mambo ya sijui Kiswahili hakifahamiki, sijui anafanya project, sijui katembea sana Tanzania, ya nini? Watujibu kwamba vyombo vyao vya habari vinasema uongo?
Cc: mshana jr , Askari Kanzu
Sawa kabisa kuna mahali nimewaambia turudi kwenye mada husika wakaniambia nalalamika nimeshindwa kujibu hoja,

Ukiachilia mbali vyombo vyao vya habari wakazuie vile vibanda vinavyouza CD na kupiga miziki ya kibongo mitaa ya River road city centre na kwenye mabar mihagawa na madisco

Wewe na wenzio ndio mnakojoa ovyo humu, kila tukithubutu kurudi kwa mada anakuja Mtanzania humu na kuacha bonge la uvundo. Mumezoea ngumi halafu mnasahau kwamba Wakenya huwa hatuchelewi tukialikwa vita.

Nimesema hakuna Mkenya anayepinga Bongo flavo ina umaarufu Kenya, ila pia nimekwambia sisi sio kama ninyi ambao huwa mnawekwa kwenye kapu moja. Tuna mitindo aina nyingi ya muziki na utakuta kuna sehemu hiyo Bongo flavo haipo kabisaa. Wakenya tuna ladha tofauti na uhuru wa kuchagua. Pia hatumwagiki kwa mtindo fulani asilimia mia, kwa mfano mimi binafsi kuna nyimbo zisizozidi tano za Bongo huwa napenda kuzisikia, nyingine zote huwa ni makelele kwangu.

Uhuru wa kuchagua ni jambo muhimu sana, si kuzikwa kwenye kitu kimoja taifa lote. Kuna kipindi niliwauliza Watanzania kwani magazeti yenu huwa yanamilikiwa na Diamond, maana angalia sana kila asubuhi, hutakosa picha ya Diamond na Wema na taarifa zao.
 
Na hapo ndo penye shida, jaribu kuelewa taratibu za makabila mbalimbali, angalia ni mkono gani unatumika wewe! Na ndio maana kuna kunawa baada ya kujisaidia halafu nani kakwambia toilet paper inamaliza uchafu wote unaoufuta kwa mkono unaolia chakula, ndio maana kuna stagnant smell isiyoisha huko kwenyu which is very boring

Unapoosha kinya na na vidole ukiwa mjini haswa kwa vyoo vyenye havina sabuni, unaosha vipi kinyaa kilichoingia kwenye kucha. Uvundo mbaya unajaa mji wote.
Kawaida ukitumia toilet paper vizuri halafu baadaye ukifika nyumbani unaoga kabisa hiyo sawa, lakini yenu unakuta vibakuli hivyo kwenye vyoo vyenye hata maji ni shida. Utanuka tu kila uendapo.
 
Wewe na wenzio ndio mnakojoa ovyo humu, kila tukithubutu kurudi kwa mada anakuja Mtanzania humu na kuacha bonge la uvundo. Mumezoea ngumi halafu mnasahau kwamba Wakenya huwa hatuchelewi tukialikwa vita.

Nimesema hakuna Mkenya anayepinga Bongo flavo ina umaarufu Kenya, ila pia nimekwambia sisi sio kama ninyi ambao huwa mnawekwa kwenye kapu moja. Tuna mitindo aina nyingi ya muziki na utakuta kuna sehemu hiyo Bongo flavo haipo kabisaa. Wakenya tuna ladha tofauti na uhuru wa kuchagua. Pia hatumwagiki kwa mtindo fulani asilimia mia, kwa mfano mimi binafsi kuna nyimbo zisizozidi tano za Bongo huwa napenda kuzisikia, nyingine zote huwa ni makelele kwangu.

Uhuru wa kuchagua ni jambo muhimu sana, si kuzikwa kwenye kitu kimoja taifa lote. Kuna kipindi niliwauliza Watanzania kwani magazeti yenu huwa yanamilikiwa na Diamond, maana angalia sana kila asubuhi, hutakosa picha ya Diamond na Wema na taarifa zao.

Magazeti yapi unazungumzia ya udaku? Loh aisee nakiri huifahamu Tanzania kabisa au pengine ndo magazeti unayoyasoma, magazeti ya udaku bongo kwangu mimi na wengine wengi ni upuuzi mtupu,
 
Unapoosha kinya na na vidole ukiwa mjini haswa kwa vyoo vyenye havina sabuni, unaosha vipi kinyaa kilichoingia kwenye kucha. Uvundo mbaya unajaa mji wote.
Kawaida ukitumia toilet paper vizuri halafu baadaye ukifika nyumbani unaoga kabisa hiyo sawa, lakini yenu unakuta vibakuli hivyo kwenye vyoo vyenye hata maji ni shida. Utanuka tu kila uendapo.

Eti ukifika nyumbani unaoga,ukioga unatumia nini sasa kuosha ----- lako kama sio huo huo mkono unaoukataa,au mnaoshwa..?alafu unaona raha kuzurula na mavi siku nzima mpka mda wa kuoga.?.,bila shaka ndoo maana ripoti zinaziilisha kenya nda nchi ya kwanza duniani kuangalia pic na porn za magays kwa google,amjali inye zenu kabsa...
 
Kama huelewi historia ya Kiswahili njoo nikuelezee sio kutapatapa bila kusema lolote. Hivi ushasikia watu wanaoitwa Wangozi? Ushawai sikia sehemu iitwayo Shungwaya na unajua ipo wapi? Najua huelewi. Njoo nikuelezee uache kudanganyika wee mdanganyika.

Wewe huna unachoelewa nishafatilia comments zako humu umejaa ushabiki wa kutaka kuaminisha watu vitu visivyo sina muda wa kubishana na wewe coz huna uelewa wowote
 
At least now we are doing health argument! Nijuavyo mimi hakuna lugha hata moja isiyotohoa wala kukopa maneno toka lugha nyingine kikiwemo hicho kichina
Mimi nimesoma hicho kichina na Luna maneno kibao yametoholewa toka kijapani, kimalay kiingereza na hata kigiriki na kirusi, tunachotakiwa ni kujitahidi tu tukijenge kikue

Pia kwa kuongezea hakuna lugha iliyojitosheleza duniani ndio maana lugha hukopa baadhi ya maneno kwa lugha nyungine mfano kiswahili walitohoa neno la kijerumani schule kuwa shule
 
lawmaina78 wakenya wengi mnapotoka majumbani "kwenyu" asubuhi kwenda makazini eti mnatembea na TP kwenye makoti ili mkishikwa na haja kubwa mzitumie.cha ajabu hazisaidii kuondoa uchafu wote,na mkitoka kutoa haja kubwa huwa mnabaki na ile harufu ya kinyesi mwilini.hahahaha wakenya bhana.sasa si bora mtumie maji tu kama sisi.igeni ustaarabu wa watz.TP ni ustaarabu wa mzungu japo akitoka choo lazima anawe. mikono.nyinyi huwa hamnawi mikono.hahahaha
 
Last edited by a moderator:
Eti ukifika nyumbani unaoga,ukioga unatumia nini sasa kuosha ----- lako kama sio huo huo mkono unaoukataa,au mnaoshwa..?alafu unaona raha kuzurula na mavi siku nzima mpka mda wa kuoga.?.,bila shaka ndoo maana ripoti zinaziilisha kenya nda nchi ya kwanza duniani kuangalia pic na porn za magays kwa google,amjali inye zenu kabsa...

lmfao...
 
lawmaina78 wakenya wengi mnapotoka majumbani "kwenyu" asubuhi kwenda makazini eti mnatembea na TP kwenye makoti ili mkishikwa na haja kubwa mzitumie.cha ajabu hazisaidii kuondoa uchafu wote,na mkitoka kutoa haja kubwa huwa mnabaki na ile harufu ya kinyesi mwilini.hahahaha wakenya bhana.sasa si bora mtumie maji tu kama sisi.igeni ustaarabu wa watz.TP ni ustaarabu wa mzungu japo akitoka choo lazima anawe. mikono.nyinyi huwa hamnawi mikono.hahahaha

kadoda11 Huo ustaarabu wa Waarabu sio wa Watz, nyie mlikua mnatumia majani na nyasi kama sisi kabla hajaja Mwarabu na Mzungu, ninachosema ukitumia TP vizuri unakuwa msafi bila kujiingiza vidole. Halafu ukifika nyumbani bafuni kwako una kila kitu, maji mengi na sabuni na muda hivyo unaweza ng'ara.

Sasa Wabongo kwanza mijini maji yenyewe shida halafu mnaosha kinyaa humo na vidole ukitoka hapo kwenye sink za mjini nyingi hazina sabuni unanawa juujuu.....yuck!! haipendezi.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom