Why Bongo Flava is popular in Kenya

Wewe huna unachoelewa nishafatilia comments zako humu umejaa ushabiki wa kutaka kuaminisha watu vitu visivyo sina muda wa kubishana na wewe coz huna uelewa wowote

Kumbe huwa unanifuata fuata nyuma hivi? Ninachojua huwezi fuatilia mtu asiye na kitu cha maana anachosema. Watu wanaofuatiliwa ni wale maarufu pekee.
Wewe mwenyewe unaquote post zangu kila mara ila hakuna point unayotoa.
 
Mjadala umepoteza maana imebaki mipasho

Wewe nakuona mnafiki kiaina, unaongoza wenzio kuyumbisha mjadala halafu unakua wa kwanza kulalamika. mbona hukujibu nilichosema hapo nyuma kidogo tu
Nimesema hakuna Mkenya anayepinga Bongo flavo ina umaarufu Kenya, ila pia nimekwambia sisi sio kama ninyi ambao huwa mnawekwa kwenye kapu moja. Tuna mitindo aina nyingi ya muziki na utakuta kuna sehemu hiyo Bongo flavo haipo kabisaa. Wakenya tuna ladha tofauti na uhuru wa kuchagua. Pia hatumwagiki kwa mtindo fulani asilimia mia, kwa mfano mimi binafsi kuna nyimbo zisizozidi tano za Bongo huwa napenda kuzisikia, nyingine zote huwa ni makelele kwangu.
 
Wewe nakuona mnafiki kiaina, unaongoza wenzio kuyumbisha mjadala halafu unakua wa kwanza kulalamika. mbona hukujibu nilichosema hapo nyuma kidogo tu

Siwezi kukuzuia unachowaza juu yangu lakini ukweli ndio huo! You can say anything for the sake of self defence lakini nyie ndio mlioanzisha mada ndani ya mada kuhusu siasa za Tanzania, ishu za kujisaidia, mambo ya ukabila na lugha, pitia post zangu always nilikuwa najaribu kuweka mambo sawa na kuna mahali nilitumia neno health argument
 
Siwezi kukuzuia unachowaza juu yangu lakini ukweli ndio huo! You can say anything for the sake of self defence lakini nyie ndio mlioanzisha mada ndani ya mada kuhusu siasa za Tanzania, ishu za kujisaidia, mambo ya ukabila na lugha, pitia post zangu always nilikuwa najaribu kuweka mambo sawa na kuna mahali nilitumia neno health argument

Hamna haja nifuate yote uliyoyasema huko nyuma. Anyway back to the topic at hand, Bongo flavo kuna wakati ilikua na umaarufu wa kutajika hapo nyuma, lakini hamna tena. Kipindi kile akina Ali Kiba, TID, Jaydee, Mr. Nice walisikika sana Nairobi. Siku hizi mmegeuza Bongo kuwa Diamond hadi wengine wote wametulia na sasa kwa vile Tanzania hamna variety, inakua msanii mmoja ndio kila kitu.
 
Siwezi kukuzuia unachowaza juu yangu lakini ukweli ndio huo! You can say anything for the sake of self defence lakini nyie ndio mlioanzisha mada ndani ya mada kuhusu siasa za Tanzania, ishu za kujisaidia, mambo ya ukabila na lugha, pitia post zangu always nilikuwa najaribu kuweka mambo sawa na kuna mahali nilitumia neno health argument

This was the first tribalistic post on this thread. Tribalism on JF is mostly propagated by Tanzanians. Sometimes I even wonder why people say Tanzanians are not tribalistic yet all they talk about in here is tribes.

Hii afdhali though naona anajaribu kumuiga Diamond kidogo ila at least amekuwa real na kuimba dialect Kikuyu the thing you can cause no comparison and competition is low! Stick to dialects as Kenyans..like Fundamendo showed a way
 
Hamna haja nifuate yote uliyoyasema huko nyuma. Anyway back to the topic at hand, Bongo flavo kuna wakati ilikua na umaarufu wa kutajika hapo nyuma, lakini hamna tena. Kipindi kile akina Ali Kiba, TID, Jaydee, Mr. Nice walisikika sana Nairobi. Siku hizi mmegeuza Bongo kuwa Diamond hadi wengine wote wametulia na sasa kwa vile Tanzania hamna variety, inakua msanii mmoja ndio kila kitu.

Ok now let's come to reality about bongo fleva being very famous along n within Nairobi shops and the like I was there last month, vibanda vingi vimejaza gospel na bongofleva Fanya ziara if you real want to build a health argument
 
Kumbe huwa unanifuata fuata nyuma hivi? Ninachojua huwezi fuatilia mtu asiye na kitu cha maana anachosema. Watu wanaofuatiliwa ni wale maarufu pekee.
Wewe mwenyewe unaquote post zangu kila mara ila hakuna point unayotoa.

Huna cha maana unarukaruka tu kama maharage kwenye sufuria na IPP zako
 
Bwana kajifunze maana ya kitu kinaitwa diversity, mimi huwa nafurahia sana kuwaona Wakenya wenzangu wakiongea lugha nyingi za asilia. Kiswahili na Kingereza tunaziongea lakini sio kwa kulazimishwa. Huwezi lazimisha uasilia wa mtu. Kuna sababu tuliumbwa wengi na lugha zetu.
kwanza huwa napendezwa na lafudhi nyingi zetu, yaani tamu sana. Halafu kwenye matatu/daladala unataka mtu aongee na mwenzie Kiswahili cha nini, ama ndio usikie anachoongea ili ukaeneze umbea.

then hapo hakuna nchi ni mkusanyiko wa watu walioamua kuishi nchi moja. ni vizuri kuwa na taifa sio mkusanyiko wa watu tofauti tofauti. hata sisi tuna lafudhi nikisikia mchaga, msukuma au mmasai anaongea najua. wengine hata asipofungua mdomo najua ametokea wapi tanzania, lakini yote haya tunamtukuza Mungu kwa uumbaji wake na ninawaona wote ni ndugu. hata kwa kenya mimi huwa siangalii ametoka wapi ninachojua ni ndugu zangu na sijaona ubaya wa kabila lolote lile kenya. wakongea lugha zao ninawaambia sio vizuri najua mnanisema basi wanabadilisha maana kwa mtu aliyestaarabika hawezi ongea lugha nyingine ukiwa na watu wa kabila nyingine kwenye group moja hata kama ni diversity lazima muwe considerate.
 
Kama vile lawmaina alivyosema huo ni upungufu. Eti kuongea lugha ya mama ni ushamba name kuongea kiingereza ni utumwa hadi mnabaki mambumbumbu wasiojua lolote. Chanukeni bana.

kuongea lugha ya mama si ushamba shida ni pale unapomuona kila mtu Niarobi unamsemesha lugha yako au unaitumia lugha ya mama kubagua wengine. otherwise ni vizuri kujua lugha zetu.
 
then hapo hakuna nchi ni mkusanyiko wa watu walioamua kuishi nchi moja. ni vizuri kuwa na taifa sio mkusanyiko wa watu tofauti tofauti. hata sisi tuna lafudhi nikisikia mchaga, msukuma au mmasai anaongea najua. wengine hata asipofungua mdomo najua ametokea wapi tanzania, lakini yote haya tunamtukuza Mungu kwa uumbaji wake na ninawaona wote ni ndugu. hata kwa kenya mimi huwa siangalii ametoka wapi ninachojua ni ndugu zangu na sijaona ubaya wa kabila lolote lile kenya. wakongea lugha zao ninawaambia sio vizuri najua mnanisema basi wanabadilisha maana kwa mtu aliyestaarabika hawezi ongea lugha nyingine ukiwa na watu wa kabila nyingine kwenye group moja hata kama ni diversity lazima muwe considerate.

Umeiweka sawa ila kidogo ukakosea. Ufahamu hizi nchi zote ikiwemo Tanzania, ni mkusanyiko wa watu walioamua kuishi pamoja, mzungu alichora mistari ya mipaka na kugawa Waafrika kama mifugo. Hamna sehemu Mungu aliumba nchi inaitwa Tanzania ama Kenya.

Pili, nakubaliana na wewe kwamba watu wakiwa pamoja kama kundi na wanahusiana haifai kuongea lugha tofauti, lakini kama hawahusiani na kila mtu yuko kivyake, basi lugha atakayotumia yeyote haikuhusu wewe. Nikipokea simu kwenye daladala na niongee kwa kilugha, wewe inakuhusu nini.
 
kuongea lugha ya mama si ushamba shida ni pale unapomuona kila mtu Niarobi unamsemesha lugha yako au unaitumia lugha ya mama kubagua wengine. otherwise ni vizuri kujua lugha zetu.

True. But don't base your judgement on what some ignorant peeps here say. People speak mostly Swahili in Nairobi but also speak their mother tongues to people who can speak it.
 
Umeiweka sawa ila kidogo ukakosea. Ufahamu hizi nchi zote ikiwemo Tanzania, ni mkusanyiko wa watu walioamua kuishi pamoja, mzungu alichora mistari ya mipaka na kugawa Waafrika kama mifugo. Hamna sehemu Mungu aliumba nchi inaitwa Tanzania ama Kenya.

Pili, nakubaliana na wewe kwamba watu wakiwa pamoja kama kundi na wanahusiana haifai kuongea lugha tofauti, lakini kama hawahusiani na kila mtu yuko kivyake, basi lugha atakayotumia yeyote haikuhusu wewe. Nikipokea simu kwenye daladala na niongee kwa kilugha, wewe inakuhusu nini.

uko sawa lakini kama nchi lazima kuwe kuna umoja na upendo, mi singumzii kuwa kwa matatu uko ofisini na ur colleague wanaongea mother tongue au nyumbani kwangu nawainvite marafiki kwa kuwa ni wa kabila moja basi wataaanza kuongea kilugha bila kujali mimi ndio mwenye nyumba. niko kenya huu mwaka wangu wa 37.
 
True. But don't base your judgement on what some ignorant peeps here say. People speak mostly Swahili in Nairobi but also speak their mother tongues to people who can speak it.

Niko nairobi na watu wananisemesha kikuyu mpk nashangaa wanasema nafanana na wakikuyu!
 
uko sawa lakini kama nchi lazima kuwe kuna umoja na upendo, mi singumzii kuwa kwa matatu uko ofisini na ur colleague wanaongea mother tongue au nyumbani kwangu nawainvite marafiki kwa kuwa ni wa kabila moja basi wataaanza kuongea kilugha bila kujali mimi ndio mwenye nyumba. niko kenya huu mwaka wangu wa 37.

Ndio nimekiri kwamba kuna wale wanakera kwa kuongea kilugha wakati upo nao, ila ufahamu kuna wale Wakenya wamelelewa vijijini wakitumia lugha zao, inakua vigumu wakikutana mjini waongee Kiswahili hata ukiwa miongoni mwao. Mambo hutokana na uzoefu, kwa mfano kuna binamu zangu wakija mjini huwa lazima tupige kilugha hata nani akiwa karibu.
 
Ndio nimekiri kwamba kuna wale wanakera kwa kuongea kilugha wakati upo nao, ila ufahamu kuna wale Wakenya wamelelewa vijijini wakitumia lugha zao, inakua vigumu wakikutana mjini waongee Kiswahili hata ukiwa miongoni mwao. Mambo hutokana na uzoefu, kwa mfano kuna binamu zangu wakija mjini huwa lazima tupige kilugha hata nani akiwa karibu.

uko sahihi mimi huwa nawaambia sina shida mkiongea lugha zenu but at least mniombe excuse plse tunashift to our mothertongue kidogo.
 
Kuna wimbo naupenda wameimba wakenya,AY pamoja na joh makini siujui jina ila kuna bridge inasema.

“Adabu haishikwi ila watu wanashikwa sehemu mbaya nairobi wanasema mambo mbaya,tzed usema ubaya ubayaa"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom