Why Bongo Flava is popular in Kenya

Why Bongo Flava is popular in Kenya

mimi huwa nafurahi zaidi na matatu za nairobi,mziki unaopigwa kwa sauti kubwa ni ma-riddim na bongofleva tu.huwezi sikia kapuka au genge.
 
nimeskiza bongo flava tangia kitambo, huwa nakua na nosstalgia nikiskiza akina Crazy GK, Mnyalu, Gangwe Mob, daz nundaz domo kaya especially ukiwapata kwenye guitar na vocals za kichizi, Mwana FA, solo thang, afande sele, msela wangu Jay mo (more technics,more flava), feroz na msupa Rah P.. mimi ni die hard hiphop head, bongo flava ime maintain culture kabisa, they have a style of their own which has been inherited quite well with the youngins.. hapa nawapa pongezi kabisa for all those happy moments and memories brought by their creative skills. Kenya will never be on the same skill levels as their Tanzanian neighbours, from production to execution by the artists. Joe makini, Fid Q, Nikki mbishi, marehemu Langa, chidi benz huwezi linganisha na hiphop artist wowote East Africa, hawa watu wako juu manze. NAWAFAGILIA SANAAA KWA HILI
 
nimeskiza bongo flava tangia kitambo, huwa nakua na nosstalgia nikiskiza akina Crazy GK, Mnyalu, Gangwe Mob, daz nundaz domo kaya especially ukiwapata kwenye guitar na vocals za kichizi, Mwana FA, solo thang, afande sele, msela wangu Jay mo (more technics,more flava), feroz na msupa Rah P.. mimi ni die hard hiphop head, bongo flava ime maintain culture kabisa, they have a style of their own which has been inherited quite well with the youngins.. hapa nawapa pongezi kabisa for all those happy moments and memories brought by their creative skills. Kenya will never be on the same skill levels as their Tanzanian neighbours, from production to execution by the artists. Joe makini, Fid Q, Nikki mbishi, marehemu Langa, chidi benz huwezi linganisha na hiphop artist wowote East Africa, hawa watu wako juu manze. NAWAFAGILIA SANAAA KWA HILI





another talents on the horizon they go by the name "Mkubwa na wanae" aka "Yamoto Band"



 
Last edited by a moderator:
bongo flavor ni shidaaaaa, hilo hata UHURU analitambua!
 
nimeskiza bongo flava tangia kitambo, huwa nakua na nosstalgia nikiskiza akina Crazy GK, Mnyalu, Gangwe Mob, daz nundaz domo kaya especially ukiwapata kwenye guitar na vocals za kichizi, Mwana FA, solo thang, afande sele, msela wangu Jay mo (more technics,more flava), feroz na msupa Rah P.. mimi ni die hard hiphop head, bongo flava ime maintain culture kabisa, they have a style of their own which has been inherited quite well with the youngins.. hapa nawapa pongezi kabisa for all those happy moments and memories brought by their creative skills. Kenya will never be on the same skill levels as their Tanzanian neighbours, from production to execution by the artists. Joe makini, Fid Q, Nikki mbishi, marehemu Langa, chidi benz huwezi linganisha na hiphop artist wowote East Africa, hawa watu wako juu manze. NAWAFAGILIA SANAAA KWA HILI

Duuh , Chief...I should Honor your with a Honorary PhD...heheheheh
 
Geza Ulole kuna yule Jaguar yaan toka aanze kuimba nyimbo zake,biti zake zinafanana khaaa hua ananichoshaaa kuna wengine ndio hawaelewiki kabisaaa wanaimba niniii
 
Last edited by a moderator:


This particular one is on the verge of winning an MTV award
 
Last edited by a moderator:
Duuh , Chief...I should Honor your with a Honorary PhD...heheheheh
.

I must show love for the culture, kama kali kali. kama wewe ni fan kuna site inaitwa tzhiphop.com, unaweza pitia and show some love, they have a good collection which they update frequently. Ijumaa kareem
 


This particular one is on the verge of winning an MTV award


Was in Kenya last week, nearly all the pubs and clubs I hit played this song. I absolutely love this jam. Kuna jamaa anaitwa kaligraph jones, na Rabbit, saw their performance on mashujaa day at the Crayfish pool party, great talent manze, mad lyricists.
 
Last edited by a moderator:
Was in Kenya last week, nearly all the pubs and clubs I hit played this song. I absolutely love this jam. Kuna jamaa anaitwa kaligraph jones, na Rabbit, saw their performance on mashujaa day at the Crayfish pool party, great talent manze, mad lyricists.
There
 
Last edited by a moderator:
Classic Kenyan songs of the past....wazee wakumbuke
 
Last edited by a moderator:
I believe music is about taste and people from countries that receive little exposure to songs from other countries are the ones least likely to appreciate songs from the other country. In Kenya DJs play hit songs from all over the world so Kenyans are exposed to a variety and free to choose which kind of music they like (though it has a positive side that encourages globalization, it has been criticized by many Kenyan musicians as it reduces the attention paid to local talent). Different Kenyans love music from different countries. This does not mean there is no good music from Kenya as am just proving.
 
East Africa's first Hip Hop crew. They rose to prominence in the late nineties and there songs were even sampled in some Hollywood movie.

 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom