Hoshea
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 5,420
- 3,776
huku neno ukabila liligeuzwa ikawa mtani, wale walokuwa wanauana wakawa wanataniana wanachekana, huyu anamtania alivokuwa anaua ndugu zake walivokuwa wanapiga ukunga au wanavokata roho, those kind of jokes u know, and they all laughed at each others, chuki ikawa upendo. Mfano mangi mareale wa marangu alipiga sana business ya kuuza wapare kwa wakoloni, u see! ilikuwa ni vita na opressions amongst tribes. Kusahau hayo yapaswa uwe na moyo mkubwa, kitu ambacho hakuna Kenya, bado mnaendekeza bifu za ma centuries yaliyopita.
Huku ukiona watu wanaongelea ukabila au wenye chuki na makabila flani ni asilimia ndogo sana
Huku ukiona watu wanaongelea ukabila au wenye chuki na makabila flani ni asilimia ndogo sana