Why Bongo Flava is popular in Kenya

Why Bongo Flava is popular in Kenya

Acha uongo wewe hakuna sehemu ambayo kuna tension kubwa ya ukabila kama kenya, yeyote akifanya chochote in the firt place anaangaliwa yeye ni wa kutoka wapi, refer saga ya Uhuru kutupiwa viti mahali alopotoka Raila, na saga ya Raila kucharazwa bakora that's Kenya

Kuna wakenya wengi huku mamtoni yani hii kitu ya ukabila mmh noma sana wakikuyu kivyao, kamba kivyao na minority waluya ndio washkaji wanajimix zaidi na waTz. At first instance you meet a Kenyan ..we ni kabila gani? Bullshit!! what is that as part of introducing yaself??
 
Kuna wakenya wengi huku mamtoni yani hii kitu ya ukabila mmh noma sana wakikuyu kivyao, kamba kivyao na minority waluya ndio washkaji wanajimix zaidi na waTz. At first instance you meet a Kenyan ..we ni kabila gani? Bullshit!! what is that as part of introducing yaself??

Wewe haina haja ya kukuongelesha maanake hujielewi. Waluhya ndio kabila la pili kubwa zaidi Kenya yet unawaita minority. Go do some reading then we will argue after you're a little bit more informed.
 
Kwanini umekwepa kutaja kiluo/ kijaluo?

Sidhani kama nilitaja kwamba naongea lugha zote za Kenya, ni baadhi tu. Kijaluo najua kidogo sana ni kigumu kwa ajili sio Kibantu.
 
Watu wanatoka mapovu ya sabuni mdomoni. Dah! Uoga kitu kibaya sana, ila ndo maisha hayo. Tz for life!
 
Wewe haina haja ya kukuongelesha maanake hujielewi. Waluhya ndio kabila la pili kubwa zaidi Kenya yet unawaita minority. Go do some reading then we will argue after you're a little bit more informed.

halafu hakuna kabila ambalo mkikuyu ( lawmaina78 ) analidharau kama nyinyi waluhya.normally kikuyus take you luhyas as third class.nimeishi kenya na ninalifahamu hili in and out.

"ukabira ni kitu mbaya sana kenya".
 
Last edited by a moderator:
Kuna wakenya wengi huku mamtoni yani hii kitu ya ukabila mmh noma sana wakikuyu kivyao, kamba kivyao na minority waluya ndio washkaji wanajimix zaidi na waTz. At first instance you meet a Kenyan ..we ni kabila gani? Bullshit!! what is that as part of introducing yaself??

Wewe wacha hadithi ilizoskia za vijiwe, wapi uliambiwa heti introduction yetu huwa tunaanza kwa kuulizana makabila. Nimesema migawanyo ya matabaka hufanyika kwa ajili ya siasa tu. Hata kwanza Bongo udini upo sana lakini unafanywa kimy kimya.
 
halafu hakuna kabila ambalo mkikuyu ( lawmaina78 ) analidharau kama nyinyi waluhya.normally kikuyus take you luhyas as third class.nimeishi kenya na ninalifahamu hili in and out.

"ukabira ni kitu mbaya sana kenya".

Mke wangu wa miaka 15 Mluhya, wacha povu.
 
halafu hakuna kabila ambalo mkikuyu ( lawmaina78 ) analidharau kama nyinyi waluhya.normally kikuyus take you luhyas as third class.nimeishi kenya na ninalifahamu hili in and out.

"ukabira ni kitu mbaya sana kenya".

Nyinyi Wa Tz kila mara mnasema si wakabila ila kila siku hapa jf mkiongea ni hadithi za makabila tu. Heri sisi tunaokubali kuna ukabila Kenya na tunajizatiti kuupunguza.
 
Last edited by a moderator:
Tumetoka nje ya mada kabisa let's go back there for the sake of sharing

Haya turejelee mada, lakini mkileta zile zenu tunashuka na ninyi hadi kieleweke. Taarifa iliyoletwa hapa inatokana na maoni ya mtu, sio utafiti. Pia hatujapinga kwamba Bongo flavor ina umaarufu Kenya, lakini sio kwamba kila Mkenya anaiskliza. Ikumbukwe, wasani wenu wakiingia Kenya ndio huwa wanapata hela za ukweli na lakini wakiwa Bongo hawapewi heshima. hebu angalia kama msanii Mr. Nice, yeye akirudi Bongo huwa anafulia, hadi aingie Kenya ndio ainuke.
 
Kiswahili asili yake Kenya yet wanaokipigia debe na kukishangilia kiujingaujinga ni watz.

Mkuu sikutaka kuingilia hii mada ila kusema kiswahili asili yake Kenya una matatizo si bure na wala historia ya lugha ya kiswahili huijui

Kaa kimya ueleweshwe s kuropoka ropoka tu
 
Mkuu sikutaka kuingilia hii mada ila kusema kiswahili asili yake Kenya una matatizo si bure na wala historia ya lugha ya kiswahili huijui

Kaa kimya ueleweshwe s kuropoka ropoka tu

Kama huelewi historia ya Kiswahili njoo nikuelezee sio kutapatapa bila kusema lolote. Hivi ushasikia watu wanaoitwa Wangozi? Ushawai sikia sehemu iitwayo Shungwaya na unajua ipo wapi? Najua huelewi. Njoo nikuelezee uache kudanganyika wee mdanganyika.
 
Mke wangu wa miaka 15 Mluhya, wacha povu.

you married a luhya lady cause you knew it would be easy to command her since luhya are too inferior before kikuyus.mbona hukuoa manzi wa kijaluo kama kweli wewe "kidume".lol
 
you married a luhya lady cause you knew it would be easy to command her since luhya are too inferior before kikuyus.mbona hukuoa manzi wa kijaluo kama kweli wewe "kidume".lol

Kijana maswala ya ndoa naona yanakutatiza kama unadhani watu huoa ili waweze ku-command wake zao, ama kujidhirisha udume. Kafanye utafiti ama uhudhurie mafunzo kwa nini watu huoana.
 
Kijana maswala ya ndoa naona yanakutatiza kama unadhani watu huoa ili waweze ku-command wake zao, ama kujidhirisha udume. Kafanye utafiti ama uhudhurie mafunzo kwa nini watu huoana.

Ndiyo mentality ya Wabongo wengi ninavyoelewa. Nenda kwa ile forum yao ya mahusiano kila Mara wanawaponda wanawake wao. Kwao bibi ni kama slave.
 
Back
Top Bottom