ndetichia
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 27,772
- 6,555
Wewe ni he/she?
unafikiria ni nani anaweza kuficha kuwa anafamilia kati ya he na she?
Wewe ni he/she?
Mungu awabariki wote,sijui hata niseme nini.
unafikiria ni nani anaweza kuficha kuwa anafamilia kati ya he na she?
Wewe ni he/she?
Tatizo kubwa ni kuwa wewe ni mzuri sana wa sura na umbo, na wazuri wa aina hiyo mara nyingi huwa wanatamaniwa tu. Hata mke wa mtu akiwa mzuri wa aina hiyo hutamaniwa.
The point is, kabla hujatamaniwa hutopendwa, kwa hiyo kutamaniwa kwako ni advantage kwako na si disadvantage, ukitaka ushauri zaidi ni pm.
ndo u go to church to say some prayers, Mungu ni mwaminifu atakusaidia.,
I have been there sweetheart i know exactly what u feel.
Committ yourself into God's hands and let him make the lead.
mhhhhhhhhhhh
Yeye ni SHE.
unafikiria ni nani anaweza kuficha kuwa anafamilia kati ya he na she?