Mwenda_Pole
JF-Expert Member
- Jul 5, 2008
- 281
- 66
Wakuu hii imekaaje?
WHO yatoa msaada wa magari 25 (Toyota Land Cruiser Mpya) yaliyogharimu fedha za kitanzania zaidi ya shilingi milioni 986 kusaidia mpango wa Afya ya mama na mtoto nchini, na amekabidhiwa Naibu Waziri wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Dkt Aisha Kigoda leo jijini Dar es salaam, WHICH IS OKAY
Hivi karibuni tuliona kuna yule jamaa wa kihindi alikwenda kukabidhi Ambulance 2 Ikulu kwa Rais na ni kwa shughule kama hizo hizo tu hii imekaaje????
WHO yatoa msaada wa magari 25 (Toyota Land Cruiser Mpya) yaliyogharimu fedha za kitanzania zaidi ya shilingi milioni 986 kusaidia mpango wa Afya ya mama na mtoto nchini, na amekabidhiwa Naibu Waziri wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Dkt Aisha Kigoda leo jijini Dar es salaam, WHICH IS OKAY
Hivi karibuni tuliona kuna yule jamaa wa kihindi alikwenda kukabidhi Ambulance 2 Ikulu kwa Rais na ni kwa shughule kama hizo hizo tu hii imekaaje????