WHO yatoa magari 25 akabidhiwa N.Waziri, Mhindi katoa Ambulance 2 kamkabidhi Rais

Mwenda_Pole

JF-Expert Member
Jul 5, 2008
281
66
Wakuu hii imekaaje?

WHO yatoa msaada wa magari 25 (Toyota Land Cruiser Mpya) yaliyogharimu fedha za kitanzania zaidi ya shilingi milioni 986 kusaidia mpango wa Afya ya mama na mtoto nchini, na amekabidhiwa Naibu Waziri wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Dkt Aisha Kigoda leo jijini Dar es salaam, WHICH IS OKAY

Hivi karibuni tuliona kuna yule jamaa wa kihindi alikwenda kukabidhi Ambulance 2 Ikulu kwa Rais na ni kwa shughule kama hizo hizo tu hii imekaaje????
 

Attachments

  • michuzi.jpg
    michuzi.jpg
    54.1 KB · Views: 113
Wakuu hii imekaaje?

WHO yatoa msaada wa magari 25 (Totota Land Cruiser Mpya) yaliyogharimu fedha za kitanzania zaidi ya shilingi milioni 986 kusaidia mpango wa Afya ya mama na mtoto nchini, na amekabidhiwa Naibu Waziri wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Dkt Aisha Kigoda leo jijini Dar es salaam, WHICH IS OKAY

Hivi karibuni tuliona kuna yule jamaa wa kihindi alikwenda kukabidhi Ambulance 2 Ikulu kwa Rais na ni kwa shughule kama hizo hizo tu hii imekaaje????
Kumbuka WHO hawachangii kampeni kwenye chaguzi na hawatoi 10 au 30% siku hizi kwenye deals!
 
My dear,

WHO are after health and those colleagues of ours are after branding, PR and ROI!
 
Wakuu hii imekaaje?

WHO yatoa msaada wa magari 25 (Totota Land Cruiser Mpya) yaliyogharimu fedha za kitanzania zaidi ya shilingi milioni 986 kusaidia mpango wa Afya ya mama na mtoto nchini, na amekabidhiwa Naibu Waziri wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Dkt Aisha Kigoda leo jijini Dar es salaam, WHICH IS OKAY

Hivi karibuni tuliona kuna yule jamaa wa kihindi alikwenda kukabidhi Ambulance 2 Ikulu kwa Rais na ni kwa shughule kama hizo hizo tu hii imekaaje????

Huo ni msaada au nini jamani?

Kama ni msaada, hiyo 986M ni ya nini?

Labda niwekwe sawa hapo, na sielewi hii inhusiana vp na huyu muhindi!
 
Mhindi hatoi msaada....pale analake jambo........baadaye mtasikia amepewa tenda ya kuleta vichwa vya treni
 
Huo ni msaada au nini jamani?

Kama ni msaada, hiyo 986M ni ya nini?

Labda niwekwe sawa hapo, na sielewi hii inhusiana vp na huyu muhindi!


Mkuu PJ,

Nilivomwelewa ni kwamba huo ni msaada wa WHO, na una thamani ya 986M za kitanzania.

Analinganisha na Ambulance 2 alizotoa huyo mtanzania (sina hakika kama ni mtanzania lakini ) mwenzetu mwenye asili ya kiasia, akamkabidhi JK ikulu.

Mi naona ilikuwa bahati yake JK alikuwepo wakati huo!
 
acha ubaguzi wewe!!, WHO ni wajibu wao kutupa hayo magari, na hawatoi kwa Tz tu, ni nchi zote wanachama kwa sababu na sisi tunachangia UN, kwa upande wa huyo mhindi ndio tunaweza kuita msaada wa dhati, na hawa watu wanatusaidia sana sana, tusiwe na wivu wa kijinga, miswahili ndivyo tulivyo
 
Na nyinyi miswahili ndivyo mlivyo kweli kwa kupenda misaada ya wahindi iliyo na hila nyuma yake. Lini mhindi alitoa kitu kwa huruma?

Kwa ajili ya kupenda umatonya mmedhani misaada misaada misaada ndio itakuwa ukombozi wenu. Angalia mwaka nenda rudi na misaada yote mliowahi kupata nyie haswa mlio wavivu wa kufikiri hamjawahi kubanduka mlipo na bado hata kesho mtataka na msaada wa mafuta, msaada wa tairi msaada wa maintenance.

Kuomba omba tuuuuuuuuuuu alafu unaita wenzio wavivu wa kufikiri? Wewe uliye na juhudu ya kufikiri mbona unaishi kwa omba omba? Nadhani nyie ndio wavivu wa kufikiri.
 
acha ubaguzi wewe!!, WHO ni wajibu wao kutupa hayo magari, na hawatoi kwa Tz tu, ni nchi zote wanachama kwa sababu na sisi tunachangia UN, kwa upande wa huyo mhindi ndio tunaweza kuita msaada wa dhati, na hawa watu wanatusaidia sana sana, tusiwe na wivu wa kijinga, miswahili ndivyo tulivyo

Ahsante Mhindi kwa kujaribu kunielewesha lakini naweza kusema umeingia chaka, haujailewa habari na ujumbe inaokusudia kufikisha kwa jamii nashukuru kuna waliokwishaelewe tayari wamekutangulia.
 
Yaani hayo magari ya msaada yote thamani yake haifikii nyumba ya Gavana???????????

Vipaumbele vya Tanzania ni nini??
 
acha ubaguzi wewe!!, WHO ni wajibu wao kutupa hayo magari, na hawatoi kwa Tz tu, ni nchi zote wanachama kwa sababu na sisi tunachangia UN, kwa upande wa huyo mhindi ndio tunaweza kuita msaada wa dhati, na hawa watu wanatusaidia sana sana, tusiwe na wivu wa kijinga, miswahili ndivyo tulivyo
wewe ni mhindi nini? hawa jamaa wanatusaidia? wapi? hizo ambulance mbili ukilinganisha na EPA au tenda za matrekta, magari ya jeshi, misamaha ya kodi, ukwepaji wa kodi bandarini wapi na wapi
 
wewe ni mhindi nini? hawa jamaa wanatusaidia? wapi? hizo ambulance mbili ukilinganisha na EPA au tenda za matrekta, magari ya jeshi, misamaha ya kodi, ukwepaji wa kodi bandarini wapi na wapi

Zhule, wacheza kamari wengi ni wahindi.

Bahati mbaya huyu Rais wetu wa sasa hajui hata vipaumbele vya nchi, na hata akijua ni kama hajali.

Mhindi huyu lazima anatafuta faida serikalini, ndio maana akafanya makeke amkabidhi Rais mwenyewe, ili siku ikifika iwe rahisi kumuingia na deal yake na kuvuta pesa za watanzania kifisadi. Hii si bure. Wahindi tunawajua.

Serikali, ambayo inakusanya pesa za wananchi kwa njia ya kodi, inaweza kununua 'ambulances' nyingi tu bila kuhitaji kajimsaada ka kisanii ka muhindi huyo. Vivyo hivyo hata kwa pikipiki ambazo wahindi huwa wanatoa kwa polisi kwa mtindo huohuo wa kifisadi.

Kumbuka hata Mkutano mkuu wa Umoja wa vijana wa CCM uligharamiwa na muhindi, na alikabidhi pesa za kugharamia kwa Kikwete, pembeni yake akiwepo Emmanuel Nchimbi.

These wanamtandao members have their own priorities, which are not the priorities of the majority of Tanzanians.

Fikiria hadi deal ya matrekta ya usanii uitwao 'Kilimo Kwanza' inagombewa kati ya Yusuf Manji na Jeetu Patel... Very stupid indeed...
 
Wakuu hii imekaaje?

WHO yatoa msaada wa magari 25 (Toyota Land Cruiser Mpya) yaliyogharimu fedha za kitanzania zaidi ya shilingi milioni 986 kusaidia mpango wa Afya ya mama na mtoto nchini, na amekabidhiwa Naibu Waziri wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Dkt Aisha Kigoda leo jijini Dar es salaam, WHICH IS OKAY

Hivi karibuni tuliona kuna yule jamaa wa kihindi alikwenda kukabidhi Ambulance 2 Ikulu kwa Rais na ni kwa shughule kama hizo hizo tu hii imekaaje????


huyu mr Haji ni mtoa rushwa ...ndio huuza magari aina ya discovery ,na defender kwenye majeshi yetu...nadhani hapo alikuwa kwenye business zaidi....hapakuwa na mantiki kulazimisha kukabidhi vigari viwili kwa rais ...wakati wanaotoa misaada hadi ya magari 40 wanamkabidhi waziri au katibu mkuu...

wasaidizi wa rais msishushe hadhi ya rais wetu namna hii...mnaruhusu appoitment za kumdhalilisha kama hii na ile ya kufungua hoteli iliyojengwa road reserve kule arusha!
 
huyu mr Haji ni mtoa rushwa ...ndio huuza magari aina ya discovery ,na defender kwenye majeshi yetu...nadhani hapo alikuwa kwenye business zaidi....hapakuwa na mantiki kulazimisha kukabidhi vigari viwili kwa rais ...wakati wanaotoa misaada hadi ya magari 40 wanamkabidhi waziri au katibu mkuu...

wasaidizi wa rais msishushe hadhi ya rais wetu namna hii...mnaruhusu appoitment za kumdhalilisha kama hii na ile ya kufungua hoteli iliyojengwa road reserve kule arusha!
Wasaidizi wa rais wanachaguliwa na nani?Ili nitumbukize jina langu hapo mapemaa
 
Wasaidizi wa rais wanachaguliwa na nani?Ili nitumbukize jina langu hapo mapemaa

You have nailed it!!! Tatizo ni washauri wa rais wetu... nadhani January Makamba ni mmoja wao, au nimekosea?
 
Toka lini mhindi akatoa msaada wa dhati bila malengo unafikiri kweli wao wanapenda kuishi Tanzania hata kama kazaliwa Tanzania wamekuja hapa kibiashara zaidi ya misaada, mbona India kuna wengi tu wanahitaji misaada muulizeni amewahi kusaidia wangapi India.

Wanajua Tanzania ni kwa wajinga waliwao kuna shamba la bibi tukipewa vigari viwili tu basi kesho njoo upate tenda, kama ni msaada kweli kulikuwa na ulazima wa kupiga picha na kuitoa gazetini, ni kweli misaada inayotolewa na mashrika ya kimataifa kama ya UN ni real lakini hii misaada binafsi iwe ya wahindi wazungu warabu wana malengo yao tofauti hata hawa Aga Khan nawasiwasi nao.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom