Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,478
- 40,000
Nimesoma hizi Wikileak diplomatic cables na kuona JK anavyoingizwa sehemu mbalimbali na kujikuta ninajiuliza hilo swali. Sijui wengine mmeona pattern fulani au mmejiuliza swali au kupata majibu ya swali hilo?
Nimesoma hizi Wikileak diplomatic cables na kuona JK anavyoingizwa sehemu mbalimbali na kujikuta ninajiuliza hilo swali. Sijui wengine mmeona pattern fulani au mmejiuliza swali au kupata majibu ya swali hilo?
Nimesoma hizi Wikileak diplomatic cables na kuona JK anavyoingizwa sehemu mbalimbali na kujikuta ninajiuliza hilo swali. Sijui wengine mmeona pattern fulani au mmejiuliza swali au kupata majibu ya swali hilo?
Inashangaza zaidi kwamba huyu mkulu alikuwa minister wa foreign affairs for 10 years of which hata kama alikuwa mzembe mzembe before, basi angejifunza mambo mengi kuhusu diplomacy!!!!!!!
Lakini mkuu mm wala sishangai na mbaya zaidi the guy has role-modelled plenty. Kwa hiyo huko mbele tutegemee even some worse reckless leaders kuliko hata yeye!!!! The trend and pattern that I see kuhusu taifa letu ni kuporomoka kwa maadili, kukosekana uwajibikaji, kukumbatia ujanja ujanja etc. Imagine juhudi kubwa mno zimefanyika kupindisha ukweli, to lower the leadership bar, and to convince the masses that what we have and what we are is the best. Na watu aina ya JK eti ndiyo tunaambiwa wanafaa kuongoza taifa hili. Cry my beloved country.
Thats exactly what im thinkingKama naelea vizuri swali, somebody is reporting somewhere else!