Mauaji ya Patrick Karegeya South Africa, Pona pona ya Kayumba Nyamwasa na wengine wengi, mauaji ya Mwaikusa, Hivi jamani tuseme ukweli, hivi haya mauaji ya Prof Mwaikusa yalifanywa na wauaji waliotumwa na Paul Kagame ati kwa sababu Prof alikuwa anawatetea watuhumiwa wa genocide kule Arusha, na Prof alishawahi kusikika akisema kuwa " Kama hawa wateja wangu watakuwa na kosa, basi Kagame pia anastahili kushitakiwa katika mahakama hii" kulingana na mazingira yeye aliyoyaona. Statement hiyo ilimuudhi sana Kagame kwamba kama wale watuhumiwa walikuwa na kosa basi kulingana na hali halisi ilivyokuwa Rwanda na Kagame naye alistahili kushitakiwa. Hicho ndicho kilichomrestisha in peace Prof wetu. issue hii imeishia wapi?
Je? Kagame ataua wapinzani wake na hata wale wanaotetea wapinzani wake mahakamani hadi lini?
Vilevile, kuna tetesi kuwa waliofurumushwa operation kimbunga karibia nusu wamesharejea kisirisiri. Pia Kagame ana mashushushu wengi sana serikalini kwa sababu Wanyarwanda wengi sana ambao ni wazawa wa Kitanzania wanajifanya Wahaya kumbe ni Wanyarwanda. Wengi watakwambia wametokea Kigoma au Kagera, na kumbe ni Wanyarwanda. anawalipa na ninasikia wengine walijifanya machangu wakaja DODOMA kufanya ushushushu kwa wabunge wetu.
Wapo wengi sana na wanawake wengi wa Kinyarwanda wanatumia uzuri wao kuwa kama chambo kumbe pamoja na kwamba unaona ni mamodo wao wamehitimu jeshi na ushushushu. ni noma! Ataichezea nchi yetu hadi lini? Kwanini alimuua Prof wetu na hatujamfanya kitu? Kama kwelii amuuua atalipwa, ila kama hakuua anasingiziwa basi.