Who is Mary Chitanda?

Who is Mary Chitanda?

urasa

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2010
Posts
434
Reaction score
2
Huyu mama hana hofu ya mungu,hana uzalendo,hana staha kw watanzania na viongozi wetu wa dini,anasema wavue majoho yao,anataka wavue ili aone nini?
Anatoa wapi kiburi hiki,anapaswa kutengwa ktk kila jambo ili liwe somo kwake.naomba wenye taarifa zaidim za huyu mama watushirikishe
 
Ni kiburudisho a.k.a stress remover ya Kiranja Mkuu pia ni mwanamke pekee ukiacha wale design ya akina Chui AU Simba, mwenye frustration ya kulala kitandani na mto,!!
 
Kutoka kwenye akaunti ya binafsi ya Chenge, mamilioni ya shilingi yamelipwa kwa watu mbalimbali wakiwa ni pamoja na Janet Mashale, Mary Nchimbi, Mary Chitanda na Livingstone Ruhere.

Source...Mwanahalisi
 
Katika vitu vinakera ni pale mnapojadili mapungufu ya kiutendaji ya mtu kwa misingi ya jinsia.....Mi ningetegemea ajadiliwe kutokana na elimu,experience,uwezo wake wa kufikiri,exposure yake etc na hata tamaduni za chama chake na yeye mwenyewe.Kila mwanamke akikosea,eti chakula ya wakubwa,aliwaambia nani kuwa chakula ya wakubwa inapunguza ufanisi wa mtu wa kufanya maamuzi na kufikiri.........Mi naweza msema Mbowe kwenye jambo nikamlinganisha na mahusiano yake na wanawake???These are what we call cheap arguments za great thinkers,hao mnaosema ni chakula yao ndo waliomtuma na ndo mlipaswa muwajadili si yeye ambaye kabisa ukimsikiliza unaona katumwa. You can as well insult me,i care less...nimetoa maoni yangu.....ndo yale yale ya CCM eti HM eti msagaji,so what hata angekuwa,alishashindwa kutimiza wajibu wake akawa anasagana 24hrs au anatafuta watu wa kusagana nao 24hrs au anajadili usagaji ulivyo mzuri 24hrs?????
 
Mtu yoyote asiye tenda haki hatokani na mungu bali ni wa ibirisi!!!!!!

Kazi ya ibirisi ni kuua na kuchinja na kazi ya mungu ni kuokoa. Hivyo ibiriosi akiua anafurahia mauaji kama anavyofanya mary chitanda
 
Sorry Michelle, hakika umenena jambo kubwa, samahani kwa niaba ya wengine watakaoona kama ulivyooliona hilo! labda ni gadhabu na si vinginevyo, kweli samahani but huyu mama ni sifuri! asante
 
Hv kwanini PINDA asibatilishe uchaguzi wa arusha ili urudiwe na kuondoa mikwaruzo? naombeni japo e-mail yake
 
Sorry Michelle, hakika umenena jambo kubwa, samahani kwa niaba ya wengine watakaoona kama ulivyooliona hilo! labda ni gadhabu na si vinginevyo, kweli samahani but huyu mama ni sifuri! asante

Its Okay Elli,yani kwa si tunaomjua huyu mama,uwezo wake tu wa kufikiri mi mdogo na waliomtuma wanajua hivyo ndo maana na yeye akakurupuka na kusema hivyo.Issue si yeye kuwa chakula cha wanaume,inauma kweli,nakumbuka hata makazini,vyuoni mtu ukipewa tu nafasi mwanamke,jambo la kwanza ni chakula ya mkubwa........sikatai wapo wanawake kama hao but hiyo haipunguzi ufanisi wa mtu wala ku-limit uwezo wake wa kufikiri sema tu akili yake ndogo ndo watu wanamtoa kafara za kijinga kwa kumtuma akaseme alivyosema.:smash:
 
Hv kwanini PINDA asibatilishe uchaguzi wa arusha ili urudiwe na kuondoa mikwaruzo? naombeni japo e-mail yake

Hivi pinda alishawahi kufanya uamuzi unaofanana na huo unaotaka afanye? Huwa ana maamuzi yoyote kweli?serikali za mitaa ziko chini yake lakini ni mwoga, hajiamini
 
Sorry Michelle, hakika umenena jambo kubwa, samahani kwa niaba ya wengine watakaoona kama ulivyooliona hilo! labda ni gadhabu na si vinginevyo, kweli samahani but huyu mama ni sifuri! asante

Bravo, mfano wa kuigwa Hapa jf.
 
Its Okay Elli,yani kwa si tunaomjua huyu mama,uwezo wake tu wa kufikiri mi mdogo na waliomtuma wanajua hivyo ndo maana na yeye akakurupuka na kusema hivyo.Issue si yeye kuwa chakula cha wanaume,inauma kweli,nakumbuka hata makazini,vyuoni mtu ukipewa tu nafasi mwanamke,jambo la kwanza ni chakula ya mkubwa........sikatai wapo wanawake kama hao but hiyo haipunguzi ufanisi wa mtu wala ku-limit uwezo wake wa kufikiri sema tu akili yake ndogo ndo watu wanamtoa kafara za kijinga kwa kumtuma akaseme alivyosema.:smash:
kama unakili kwamba uwezo wake ni mdogo unadhani nini kimemfikisha hapo alipo? mbona hatujakusema wewe? kila mmoja anapewa haki yake regardless kwamba ni mama au baba. Ndio sababu anasenwa na makamba pia kwani yeye ni demu pia?!
 
Kwani huyu mama ni nani? yupo wapi na anafanya nini?
 
Demokrasia ya CCM ni ya kipekee duniani diwani wa Tanga kwenda kupiga kura Arusha bado wanasema ni haki yake kama si maajabu ya uwendawazimu ni nini.
 
Huyu mama hana hofu ya mungu,hana uzalendo,hana staha kw watanzania na viongozi wetu wa dini,anasema wavue majoho yao,anataka wavue ili aone nini?
Anatoa wapi kiburi hiki,anapaswa kutengwa ktk kila jambo ili liwe somo kwake.naomba wenye taarifa zaidim za huyu mama watushirikishe

Mary is a holy name.

She must pay the price.
 
Its Okay Elli,yani kwa si tunaomjua huyu mama,uwezo wake tu wa kufikiri mi mdogo na waliomtuma wanajua hivyo ndo maana na yeye akakurupuka na kusema hivyo.Issue si yeye kuwa chakula cha wanaume,inauma kweli,nakumbuka hata makazini,vyuoni mtu ukipewa tu nafasi mwanamke,jambo la kwanza ni chakula ya mkubwa........sikatai wapo wanawake kama hao but hiyo haipunguzi ufanisi wa mtu wala ku-limit uwezo wake wa kufikiri sema tu akili yake ndogo ndo watu wanamtoa kafara za kijinga kwa kumtuma akaseme alivyosema.:smash:

Sasa kama umepewa nafasi kwa sababu unatoa za CHItandani kweli utasema unastahili. Hata kama una akili sana tafuta mwenyewe siyo kusubiri kusogezewa. ndiyo mwanzo wa mtindio wa akili na maneno kama vile Tukiwezeshwa tunaweza! Jiwezeshe! Nani akuwezeshe na kwa maslahi gani. Hii ndiyo maaana bunge limejaa warembo as if wasichana wa sura mbaya (relative term and abstract) hawawezi kuwa viongozi
 
Michelle, Huyo Chitanda kama ametumwa basi atakuwa ametumwa na aliye mbeba kufika hapo, inaonekana hawezi kujisimamia mwenyewe binafsi. Na kwa hali hiyo aliyemtuma hana ubavu wa kumbishia, na kama hawezi kumbishia basi moja kwa moja ni mtu huyo ni mwenye madaraka makubwa sana na huwenda huwa anamfyagia! Hakuna tafsiri nyingine!
 
Its Okay Elli,yani kwa si tunaomjua huyu mama,uwezo wake tu wa kufikiri mi mdogo na waliomtuma wanajua hivyo ndo maana na yeye akakurupuka na kusema hivyo.Issue si yeye kuwa chakula cha wanaume,inauma kweli,nakumbuka hata makazini,vyuoni mtu ukipewa tu nafasi mwanamke,jambo la kwanza ni chakula ya mkubwa........sikatai wapo wanawake kama hao but hiyo haipunguzi ufanisi wa mtu wala ku-limit uwezo wake wa kufikiri sema tu akili yake ndogo ndo watu wanamtoa kafara za kijinga kwa kumtuma akaseme alivyosema.:smash:

michelle samahani ..naomba uvumilie na kuendelea kutoa elimu kwani waafrika bado tunalo tatizo la mfumo dume....imekuwa kosa la kustahili kufa kwa mwanamke kiongozi au executive kutumia uhuru wake wa kimapenzi Lakini jamii hii hii imekuwa ikimvumilia mwanamume kahaba [ambao ni wengi]...waafrika ndio tulivyo.....assume JK angekuwa mwanamke ....na kutumia uhuru wake kulala na mwanamume amtakaye kwa siku husika ...ni wazi mwanamke wa namna hiyo huonekana asiyefaa na laana.....kwa kuelewa hayo ndio maana nashauri kuwa wanawake wenye nafasi mbali mbali kuwa na staha kwenye mahusiano yao ..iwapo wanataka kufika mbali.......sisi waafirika hatujaweza kumpa mwanamke nafasi sawa na mwanamume kwenye mahusioano....

muulize mtu yeyote swali dogo ...>>>kipi bora ? kati ya kuwa na binti malaya [hata kama si kwa pesa ..just funny]..au kuwa na kijana kahaba ..wengi huona afadhali kijana wake awe play boy kuliko binti...!! ndio tulivyo ...mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu....
Pia chukuliwa kwa walioolewa na wanaume play boy....wakitaka kulipiza na wao kuwa play girls ...inakula kwao jamii inawatenga......NI VEMA WANAWAKE WAKAELEWA NAFASI YAO KWENYE JAMII YA KIAFRIKA!!!

 
Ni kibaraka anayetumika bila kujijua,ni toilet paper,mwache ajifanye kuwasafisha watu huku yeye akibaki na kinyesi
 
michelle samahani ..naomba uvumilie na kuendelea kutoa elimu kwani waafrika bado tunalo tatizo la mfumo dume....imekuwa kosa la kustahili kufa kwa mwanamke kiongozi au executive kutumia uhuru wake wa kimapenzi Lakini jamii hii hii imekuwa ikimvumilia mwanamume kahaba [ambao ni wengi]...waafrika ndio tulivyo.....assume JK angekuwa mwanamke ....na kutumia uhuru wake kulala na mwanamume amtakaye kwa siku husika ...ni wazi mwanamke wa namna hiyo huonekana asiyefaa na laana.....kwa kuelewa hayo ndio maana nashauri kuwa wanawake wenye nafasi mbali mbali kuwa na staha kwenye mahusiano yao ..iwapo wanataka kufika mbali.......sisi waafirika hatujaweza kumpa mwanamke nafasi sawa na mwanamume kwenye mahusioano....

muulize mtu yeyote swali dogo ...>>>kipi bora ? kati ya kuwa na binti malaya [hata kama si kwa pesa ..just funny]..au kuwa na kijana kahaba ..wengi huona afadhali kijana wake awe play boy kuliko binti...!! ndio tulivyo ...mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu....
Pia chukuliwa kwa walioolewa na wanaume play boy....wakitaka kulipiza na wao kuwa play girls ...inakula kwao jamii inawatenga......NI VEMA WANAWAKE WAKAELEWA NAFASI YAO KWENYE JAMII YA KIAFRIKA!!!


Nimekuelewa Philemon,napenda watu wanaweza fanya analysis....umeona kitu wasichoona wengi,mfumo dume! ndo maana hata ukimwambia mwanaume anayekupenda unataka ufanye siasa anakuambia chagua mimi au siasa????Anyway,wapo walioharibu na watakaoendelea kuharibu na ndo maana tunaonekana malaya na watu wa kupewa hata kama tuna uwezo na tunastahili hizo nafasi.Thanks.
 
[/QUOTE]
Its Okay Elli,yani kwa si tunaomjua huyu mama,uwezo wake tu wa kufikiri mi mdogo na waliomtuma wanajua hivyo ndo maana na yeye akakurupuka na kusema hivyo.Issue si yeye kuwa chakula cha wanaume,inauma kweli,nakumbuka hata makazini,vyuoni mtu ukipewa tu nafasi mwanamke,jambo la kwanza ni chakula ya mkubwa........sikatai wapo wanawake kama hao but hiyo haipunguzi ufanisi wa mtu wala ku-limit uwezo wake wa kufikiri sema tu akili yake ndogo ndo watu wanamtoa kafara za kijinga kwa kumtuma akaseme alivyosema.:smash:

I understand ur concern Michelle, bt napingana na maelezo yako niliyohighlight...
Kwanza wanawake kama hao hawana independent minds
Hawajiamini
Wapo katika nyadhifa hizo kwa manufaa yao binafsi na hivyo hawafai
Uwezo wao wa kufikiri utakuwa limited na aliyemuweka
UNLESS THE POSITION SHE HAS IS NOT THE RESULT OF THE RELATIONSHIP
 
Back
Top Bottom