Huyu mama hana hofu ya mungu,hana uzalendo,hana staha kw watanzania na viongozi wetu wa dini,anasema wavue majoho yao,anataka wavue ili aone nini?
Anatoa wapi kiburi hiki,anapaswa kutengwa ktk kila jambo ili liwe somo kwake.naomba wenye taarifa zaidim za huyu mama watushirikishe
Anatoa wapi kiburi hiki,anapaswa kutengwa ktk kila jambo ili liwe somo kwake.naomba wenye taarifa zaidim za huyu mama watushirikishe