Who Is Joseph Kony?

By Agencies

The co-head of a viral online campaign to hunt down Ugandan war criminal Joseph Kony has been hospitalised after being found semi-naked in the street, masturbating, police and his boss said on Friday.

The head of Invisible Children, the organisers of the internet campaign sensation, said Jason Russell was receiving medical care for 'exhaustion, dehydration, and malnutrition.'

San Diego Police Department (SDPD) spokeswoman Andrea Brown said officers detained a 33-year-old man on Thursday and took him to a medical facility after passers-by reported him in the street in the southern Californian city.

'Officers responded to a radio call to check the welfare of an individual who was said to be running in the street, interfering with traffic, screaming; one person said that he was naked and masturbating,' she told AFP.

'Other people said that he was interfering with traffic, banging on the sidewalk that sort of thing. We have reports of being in various states of undress, and neighbours in the area were concerned about him.'

While declining to identify him by name, she said: 'Officers contacted the 33-year-old white male ... we detained him and transported to a local medical facility for further evaluation and treatment.'

The head of Invisible Children, Ben Keesey, told the TMZ celebrity website that Russell was 'now receiving medical care and is focused on getting better.
 
kampala_kony.jpg
This is what a KONY 2012 rebuff video should look like. I am all for getting the dude, but in the process these guys are severly damaging Uganda the country that is supposed to helped in the first place. Its like just as the world is forgetting about Idi Amin, someone has decided we must bring up some new guy.
 
source: 5,000-strong brigade to hunt down Joseph Kony — RT
The African Union says it will create a special force to track down notorious rebel leader Joseph Kony in the heart of central Africa. The announcement follows a viral video campaign that courted controversy around the world.

*The Uganda-led mission will commence in South Sudan on Saturday, United Nations and African Union officials said at a news conference in Uganda, AP reports.
The 5,000-strong brigade tasked with bringing down Kony and his Lord's Resistance Army (LRA) will consist of regional troops whose countries have been affected by the rebel group’s activities.

"We need to stop Kony with hardware – with military hardware in this case," the African Union's special envoy on the LRA, Francisco Madeira, said on Friday. "We are on a mission to stop him."
The announcement follows the Kony 2012 Internet movie sensation created by the US advocacy group Invisible Children. Invisible children say the video, which has now garnered more than 100 million views, was created “to end the use of child soldiers in Joseph Kony's rebel war and restore LRA-affected communities in central Africa to peace and prosperity.”
However, questions about the group’s finances and widespread condemnation of the film in Uganda were followed by a very public meltdown by Invisible Children co-founder Jason Russell.
But while Russell ironically became as infamous as he had intended to make Kony, he can rest well in knowing his film provided the impetus for the regional efforts to take out the LRA for good.
Having been driven out of Uganda in 2005, the LRA’s numbers have dwindled to several hundred fighters. Kony, who is accused of regularly employing child soldiers and forcing women and girls alike into sexual slavery, is wanted by the International Criminal Court for crimes against humanity.
He is currently believed to be hiding in the Central African Republic.
While funding for the AU mission remains problematic, American soldiers who were deployed to the region by US President Barack Obama last year are likely to assist in bringing Kony to justice.
 
[h=3]Mtengeneza Sinema KONY 2012 Akamatwa na Polisi - Alikuwa Anapiga Punyeto Hadharani![/h]
[h=1]Duh! Watu wanalilia umaarufu! Huyo jamaa Jason Russell kapata umaarufu baada ya kutengeneza sinema Kony 2012 inayohusu jinsi Mganda Joseph Kony anayonyanyanyasa watoto. Yuko njiani kuwa milionea sasa, ila watu wamekuwa wakimsema kuhusu maisha yake binafsi. Inaelekea sasa zimemfyatuka. Eti kakutwa anapiga punyeto mbele za watu, na pia kukimbia kimbia mbele za magari. Tumwombee apone. Kazi aliyofanya kushitua watu duniani juu ya watoto wa Kony ni kubwa.[/h][h=1]**************************************************************[/h][h=1]Kony 2012′ filmmaker detained in San Diego[/h]
By Laura Rozen




Senior Foreign Affairs Reporter






Jason Russell, the filmmaker behind the mega-viral "Kony 2012" documentary, was detained in San Diego on Thursday night, NBC reported, citing the San Diego Police Department.


Russell, 33, "was taken into custody after he was found masturbating in public, vandalizing cars and possibly under the influence of something," NBC's San Diego affiliate reported, citing San Diego Police Department spokeswoman Lt. Andra Brown.
 
Dah hii mbona zaidi ya wiki sasa, wewe mbona uko nyuma ya habari
 
Joseph Kony kwa sasa anatembea akiangalia begani kuhakikisha anaona kila kinachomfuatia.


Hapa akiwa na mpambe wake au kwa kiingereza righthand man wake bwana Vincent Otti.
 
Huyu ni sawa kama Osama ila mtandao wake umekuwa zaidi afrika ya kati....Yeye Konyi hutumia jina la Yesu kwenye mauwaji yake.anataka Üganda iongozwe kwa sheria kumi za Mungu.

Gaidi wa kikristo.
 
Wadau wana Jf

Nimekuwa nikifuatilia matukio mbalimbali juu ya mtu anayeitwa Joseph Kony,historia inaonesha alizaliwa mwaka 1961 katika kijiji cha Odek, kinachopatikana mashariki mwa Gulu kaskazini mwa Uganda, wazazi wake walikuwa wakulima. Joseph Kony ni kiongozi wa kundi la wanamugambo wa Lord's Resistance Army (LRA), kundi la kuvizia ambalolomejihusisha na kampeni za ghasia likiwa na azma ya kuanzisha serikali inyoongozwa na viongozi wa dini nchini Uganda, kundi hili liandai limejengeka kwenye misingi ya Biblia ya kikristo na amri kumi. [1] Kundi la LRA ambalo lilijulikana kwa vitendo vyake dhidi ya wenyeji wa Uganda Kaskazini, limeteka nyara takribani watoto 30,000 na kusababisha watu milioni 1.6 kukimbia makazi yao tangu uasi wao ulipoanza mwaka 1986.

Napata sana shida juu ya uwepo wa mtu huyu,Msemaji wa serikali ya Uganda aliwahi kusema kwamba Joseph Kony alikuwa katika Jamhuri ya Afrika ya kati, lakini alitaka kuhakikishiwa usalama wake kabla hajajisalimisha.
Marekani imekuwa ikivisaidia vikosi vya Uganda kumsaka Kony.
Kony, ni kiongozi wa kundi la waasi la LRA, na anatakikana na mahakama ya kimataifa ya jinai kwa madai ya uhalifu wa kivita.
Marekani ilikuwa imeahidi kumtuza dola milioni 3.3 yeyote mwenye taarifa itakayopelekea kukamatwa kwa Kony
Hii ni mara ya kwanza kwa miaka mingi, kwa taarifa kuhusu aliko Kony kutolewa.
Pia mjumbe maalum wa muungano wa Afrika kuhusu LRA, Francisco Madeira, aliliambia baraza la usalama la umoja wa mataifa, kuwa aliona ripoti kuwa Kony anaugua ugonjwa mbaya sana usiojulikana.

Sina mahali niliwahi kuona picha ya Joseph Kony, mpaka sasa hakuna uhakika juu ya mahali alipo bwana huyu pamoja na wamarekani kutangaza dau nene.Japo anatajwa kuishi kwenye misitu minene imekuwa vigumu kuonekana, Hapa ndo nakuwa na wasiwasi Je! kuna mtu anyeitwa Joseph Kony au ni hadithi ya kufikirika? Nawaarika wenye taarifa za kweli juu ya mtu huyu.
 
Ata bosco ntaganda alichukua miaka mingi mpaka alipoamua kujisalimisha mwenyewe.
 
Kuna baadhi ya Waganda wenyewe ambao hawazikubali hata kidogo siasa za M7 hawaamini uwepo wa Kony na wanaamini kuwa ni moja ya Plot y Mh kujindalia mzingira ya kutawalaa milele UG(Kony terrorism)
 
Wadau wana Jf

Nimekuwa nikifuatilia matukio mbalimbali juu ya mtu anayeitwa Joseph Kony,historia inaonesha alizaliwa mwaka 1961 katika kijiji cha Odek, kinachopatikana mashariki mwa Gulu kaskazini mwa Uganda, wazazi wake walikuwa wakulima. Joseph Kony ni kiongozi wa kundi la wanamugambo wa Lord's Resistance Army (LRA), kundi la kuvizia ambalolomejihusisha na kampeni za ghasia likiwa na azma ya kuanzisha serikali inyoongozwa na viongozi wa dini nchini Uganda, kundi hili liandai limejengeka kwenye misingi ya Biblia ya kikristo na amri kumi. [1] Kundi la LRA ambalo lilijulikana kwa vitendo vyake dhidi ya wenyeji wa Uganda Kaskazini, limeteka nyara takribani watoto 30,000 na kusababisha watu milioni 1.6 kukimbia makazi yao tangu uasi wao ulipoanza mwaka 1986.

Napata sana shida juu ya uwepo wa mtu huyu,Msemaji wa serikali ya Uganda aliwahi kusema kwamba Joseph Kony alikuwa katika Jamhuri ya Afrika ya kati, lakini alitaka kuhakikishiwa usalama wake kabla hajajisalimisha.
Marekani imekuwa ikivisaidia vikosi vya Uganda kumsaka Kony.
Kony, ni kiongozi wa kundi la waasi la LRA, na anatakikana na mahakama ya kimataifa ya jinai kwa madai ya uhalifu wa kivita.
Marekani ilikuwa imeahidi kumtuza dola milioni 3.3 yeyote mwenye taarifa itakayopelekea kukamatwa kwa Kony
Hii ni mara ya kwanza kwa miaka mingi, kwa taarifa kuhusu aliko Kony kutolewa.
Pia mjumbe maalum wa muungano wa Afrika kuhusu LRA, Francisco Madeira, aliliambia baraza la usalama la umoja wa mataifa, kuwa aliona ripoti kuwa Kony anaugua ugonjwa mbaya sana usiojulikana.

Sina mahali niliwahi kuona picha ya Joseph Kony, mpaka sasa hakuna uhakika juu ya mahali alipo bwana huyu pamoja na wamarekani kutangaza dau nene.Japo anatajwa kuishi kwenye misitu minene imekuwa vigumu kuonekana, Hapa ndo nakuwa na wasiwasi Je! kuna mtu anyeitwa Joseph Kony au ni hadithi ya kufikirika? Nawaarika wenye taarifa za kweli juu ya mtu huyu.
Mwone hapo anahojiwa na BBC, ilikuwa mwaka 2006

https://www.youtube.com/watch?v=dWiF9hSgyoU
 
Back
Top Bottom