Mr Chromium
JF-Expert Member
- Aug 20, 2020
- 2,088
- 2,703
Habarini
Tafadhari changia unachojua kuhusu huyu mtu?
Kwa ufupi!
Wasiomjua Joseph kony ni kiongozi wa waasi wa LRA (Lord resistance army) nchini Uganda waliokua wakipgana na serikali ya Museveni Kasikazini mwa UGANDA.
Ni kati ya watu makatili zaidi.Pamoja na umoja wa mataifa kujalibu kumsaka bado hajawazeza kupatikana hadi leo!!
Tunaweza sema huyu jamaa kasumbua zaidi ya Osama bin Ladeni
Marekani ilishawai kutangaza donge nono kwa atakaefanikisha kukamatwa kwa Kony lakini wapi!!.
Swali ??
-Ni wapi alipo joseph kony?
-Nani walikua wanafadhili kikundi cha uasi cha Lord resistance army kilichoongozwa na Joseph kony?
-Je n maadui wa museven ndio wanaomhifadhi??
-Je wanaomfadhiri wanafaidika nn nae?? na kwann wakubali kukosana na umoja wa mataifa/Marekani kisa Kony??
-Je harakati zake za kumtoa Museven zilikua zinakubalika au kuwa supported na nchi nyingine za africa?
Tuambie: Unafikiria nini Ukisikia Joseph Kony
Tafadhari changia unachojua kuhusu huyu mtu?
Kwa ufupi!
Wasiomjua Joseph kony ni kiongozi wa waasi wa LRA (Lord resistance army) nchini Uganda waliokua wakipgana na serikali ya Museveni Kasikazini mwa UGANDA.
Ni kati ya watu makatili zaidi.Pamoja na umoja wa mataifa kujalibu kumsaka bado hajawazeza kupatikana hadi leo!!
Tunaweza sema huyu jamaa kasumbua zaidi ya Osama bin Ladeni
Marekani ilishawai kutangaza donge nono kwa atakaefanikisha kukamatwa kwa Kony lakini wapi!!.
Swali ??
-Ni wapi alipo joseph kony?
-Nani walikua wanafadhili kikundi cha uasi cha Lord resistance army kilichoongozwa na Joseph kony?
-Je n maadui wa museven ndio wanaomhifadhi??
-Je wanaomfadhiri wanafaidika nn nae?? na kwann wakubali kukosana na umoja wa mataifa/Marekani kisa Kony??
-Je harakati zake za kumtoa Museven zilikua zinakubalika au kuwa supported na nchi nyingine za africa?
Tuambie: Unafikiria nini Ukisikia Joseph Kony