Mkuu Abdulhalim paper hii haijawa published
Bana, B. A. (2006). "Institutions and Governance: Public Staff Management in Tanzania" Submitted for publication in Public Administration and Development Journal – Reviewed subject to minor corrections. (With McCourt, W.). NYINGI NI HADITHI ZA FORTHCOMING.
Hizi ni adithi tu usidanganyike. Ki ukweli huyu jamaa kachelewa na ameona pa kutokea ni kumpigia JK debe. Maaana kwa sheria za vyuo vikuu hawezi pata VC he anticipate that JK atampa kuwa mkuu wa chuo chochote. Hana lolote
DOI: 10.1002/pad.423
Mkuu Abdulhalim umesema ukweli mtupu jamaa (Bana) has never publish any article in any of the scientific journal be it international or national. I wonder if he can be promoted to senior lecturer. Basically he can be promote to senor lecturer because he doesn't have any publication. Hii ni kwa sababu wakati wenzanke wanafanya scientific inquiries yeye anatumiwa na jk kuchakachua kura za maoni.
Ukiangalia umri wake ni kwamba amezaliwa 1959 (minus some years baada ya kufoji umri) na sasa ana 51 years hana hata chapisho moja in both local and international journals. He has only 9 years to retire. Do you think he can be promoted to senior lecturer, associate professor and finally full professor? sahau. Huyu jamaa inaonekana ni kihiyo ndo maana hajui hata research methodology. CV yake imejaa uongo mtupu, example anadai machapisho yote ni FORTHCOMING, tell us one which is ready. Kwa sababu any one can write a CV with forthcoming nyingi zisizo na maana.
SHAME ON BANA and MUKANDARA
Mzee, with all due respect, I beg to differ. I am not a statistician, however, the little I know tells me that you need to define your sampling UNIT (the smallest population element where the measurements are going to be made) before you conduct your research. In this case, it is an individual person eligible for voting (more precisely also registered for voting and a higher probability of casting a vote!). The list of these units forms what is called a sampling frame. If the population is homogeniousy distributed (e.g. same age, education level, marital status, gender, etc, etc) a random sample of these units is adequate to be a representative sample. The question of how many units, is determined by the level of confidence (conventionally accepted at 95%, 99%, or 99.9%), variation (variance or Standard deviation) and the level of precision desired (OR acceptable error margin) conventionally kept at 0.05. THIS IS WHEN YOU USE A SINGLE STAGE SAMPLING.
In the citizen newspaper, the REDET sampling strategy involved a multistage (3-stage) sampling with 26 regions, 52 districts, 102 villages, 2,600 people interviewed! This is not a homogeneous population anymore. For this design, they needed to includein the formular, the design effect (3 stage stratification) and a factor called the intraclass correlation (ICC) which quantifies the extent of between-group variation (or within group homogeneity). The rough estimate I made suggests the they needed at least 91,800 units for this polls. Mind you, I have not included the possible confounding affects of such factors as age, education level, marital status, gender, etc.
Conclusion: What the REDET findings tells us NOTHING regarding the comming election and that the study is null and void. At least they should have indicated confidence intervals to try and convince us otherwise.
Cheers
Hivi mtu anawezaje kuwa Lecturer of the most prestigious university in the country wakati hana hata ka-'karatasi' walau kamoja kwene journal za kimataifa? Huu si ndio uchuro?
Tanzania Daima naomba mchape hiyo taarifa ya who is benson ban wasome n watu wengine ambao hawana fursa ya kuingia kwenye internet
Baada ya kusoma CV nimejiridhisha kuwa hawa ni wale wataalamu wa kukariri na mwisho wa siku hawaelewi kabisa maisha upande wa pili yako je.Bana hawezi kufanya kitu kingine zaidi ya kufundisha na kwenye kufundisha ili apande cheo ni lazima ajipendekeze kwa wakubwa sasa ndiyo nafasi imejitokeza. ndiyo, ee, ndiyo, si mwenzake alifanya hivyo na sasa ni vc wa chuo?
Inategemea nini maana ya "kimataifa" kwako? Lakini zaidi ya wasomi wenye kuwa na mahusiano na mashirika ama shule za ulaya na marekani ni wasomi wangapi wa kiafrika ambao wanapata nafasi ya kupublish katika hayo majarida mnayoyathamini kama ni ya kimataifa? Hivi jarida litakalochapishwa na UDSM mtaliona kama ni la kimatifa ama hadi litoke Havard na Oxford. Angalieni WAKOMBOZI wetu msije mkawa ni wahanga wa prejudices na ulimbukeni ambao ndio asili kuu za matatizo hayohayo mnayoyodhania kuwa mnayapiga vita.....
By the way, do all so called international journals publish their works online?
Siku yakitokea mabadiliko ya kweli nchi hii kichwa cha BENSON BANA lazima tukitundike pale jangwani iwe fundisho kwa wasomi wetu wasitusaliti kiasi hiki
WilCard, sikubaliani na hii generalization. Nina uhakika hata wewe huwezi kutoa sifa kama hizo kwa watu kama Prof. Baregu, Dr. Lwaitama, Prince Bagenda, nk.
kwa nini iwe tanzania daima, gazeti la wenye maslahi katika hoja hii na sio wengine?