negro kushitic
Member
- Oct 20, 2016
- 9
- 4
Kwa kujib hv mi nahc upeo wako wa kujb maswali au kumuelekeza mtu mi msg xn xnKwa lugha yangu ya kibantu, "kiranga" maana yake "shetani" kwahiyo sishangai kuona unashabikia kua Mungu hayupo. Pole sana ndugu maana anaekutumikisha tayar kasha hukumiwa.
Wewe ni nani?View attachment 423762
Nimekujibu kwa "Socratic Method" naona wewe ndiye hujanielewa. Ngoja ni assume unataka kutafuniwa kwa sababu Socratic Method huiwezi.
Nimethibitisha kwa contradiction.
Unafahamu contradiction ni nini?
Unaelewa jinsi contradiction inavyoonesha hii equation hapo juu haina solution?
..kawaida sana mkuu na Rahisi kama kubusu kinyago alaf atheist do not beleive in existance of any power au deity ni scientific facts kwaio sio imani na Jibu la swali la Pili ni ObviousMkuu kuacha kwako imani ya ukristo na kuwa Atheist unachukuliaje tukio hilo kwako?
Je,ni hali ya kutoka kwenye upotevu na kurudi kwenye njia iliyo sahihi yenye kutakiwa kufuatwa na kila mtu? Au kwako ni sawa na kutoka imani Moja na kuhamia imani nyengine? maana kuna Agnostics pia.
..sasa mtu anaprove vipi kitu ambacho hakipo,that means it cannot be fathomed by any of the 5 senses,wewe unaesema kipo ndo tulitaraJia uProveHujathibitisha kuwa Mungu hayupo bado, usiniambie kuwa huwezi kuthibitisha kisichokuwepo. Acha kukwepa majukumu.
Kama unahisi huwezi kuthibitisha kisichokuwepo kwa nini unaamini kuwa Mungu hayupo?
Unaweza kuthibitisha chochote ambacho hakipo hakipo?
You have combined a non sequitur, an omission of reasoning and circular reasoning all in one.
Imani si kitu kibaya, imani potofu ndiyo kitu kibaya.
Ninakujibu kwa imani kwamba nikituma majibu servers za JF hazitapigwa na radi na ninachoandika kitakufikia, nisingekuwa na imani hii hata kuandika nisingeandika, maana maandishi yangu yasingekuwa na maana zaidi ya personal therapy kama hayatamfikia yeyote. I am not at the point of needing personal therpy, not yet at least.
Hakuna jambo hata moja linalokufanya uamini kwamba kuna Mungu ambalo halijajibiwa kimantiki kuonesha upotofu wake. Kama unafikiri lipo, litaje.
Unaweza kuthibitisha chochote ambacho hakipo hakipo nje ya hesabu na mantiki?
Unajua hesabu?
Unajua mantiki?
Umeelewa kanushi yangu ya kuwepo kwa Mungu kwa mikinganyo ya dhana ya kuwepo kwa Mungu?
Kama umeielewa, umeweza kuijibu?
Hebu weka majibu yako vizuri,sijakuelewa...kawaida sana mkuu na Rahisi kama kubusu kinyago alaf atheist do not beleive in existance of any power au deity ni scientific facts kwaio sio imani na Jibu la swali la Pili ni Obvious
Kwahiyo kisichokuwepo hakithibitishiki?..sasa mtu anaprove vipi kitu ambacho hakipo,that means it cannot be fathomed by any of the 5 senses,wewe unaesema kipo ndo tulitaraJia uProve
Kwahiyo hujamuelewa?this is so complicated,mpka nafika mwisho nishasahau swali la kwanza lilitaka nini!!
..thibitisha Mkuu,prove NOTHING exists!!!Kwahiyo kisichokuwepo hakithibitishiki?
..nmeelewa sema took alot of effort,maswali Na points zinafuatana kwaio inahitaJi utulivu sana Ili kutenga ngano na chuff!!Kwahiyo hujamuelewa?
..uliza swali moJa moJa labda utanielewa nikikupa Jibu moja moja!!Hebu weka majibu yako vizuri,sijakuelewa.
Huwezi kusema kitu FULANI hakipo au kipo halafu ukawa hauwezi kuthibitisha uwepo au kutokuwepo kwa hicho kitu...thibitisha Mkuu,prove NOTHING exists!!!
Unaweza kunielezea japo kwa uchache sana kile ulichokielewa...nmeelewa sema took alot of effort,maswali Na points zinafuatana kwaio inahitaJi utulivu sana Ili kutenga ngano na chuff!!
Mbona nilikuiliza swali moja tu hayakuwa mengi,rudi usome vizuri lile swali...uliza swali moJa moJa labda utanielewa nikikupa Jibu moja moja!!
Umeeleza vizuri sana nimependa hii hoja.Sababu ili ujue kuwa kitu fulani kipo lazima uwe na facts zisizo na shaka zinazothibitisha kuwa hicho kitu kipo na kama kitu fulani hakipo ni lazima tena uwe na facts zinazothibitisha kutokuwepo kwake.Huwezi kusema kitu FULANI hakipo au kipo halafu ukawa hauwezi kuthibitisha uwepo au kutokuwepo kwa hicho kitu.
Nikishindwa kuthibitisha mimi ni chochote, hilo halithibitishi Mungu yupo.Wewe ni nani?
Vyovyote utakavyojibu thibitisha hilo jibu lako.
This is so easy.this is so complicated,mpka nafika mwisho nishasahau swali la kwanza lilitaka nini!!
Hata wewe mwenyewe unaepinga uwepo wa Mungu umeshindwa kujithibitisha.Nikishindwa kuthibitisha mimi ni chochote, hilo halithibitishi Mungu yupo.
Wapi nimesema nimeshindwa kuthibitisha mimi nipo?Hata wewe mwenyewe unaepinga uwepo wa Mungu umeshindwa kujithibitisha.
Sasa kwanini unafikiri hakuna Mungu?
Kama hukushindwa, eleza.Wapi nimesema nimeshindwa kuthibitisha mimi nipo?
Mimi nikishindwa kuthibitisha kwamba nipo, hilo linathibitishaje kwamba Mungu yupo?
Unafahamu "non sequitur" katika logic ni nini?