'Who created God' is an Illogical Question!

Hivi kuna sehem yoyote kuwa mungu alisema kuwa yeye ni he ?! Maana naona he zimekuwa nyingi sana..
Hahahahaa.....Mimi huwa natumia pronoun zote mbili He/she....na nitaendelea kutumia hivyo hadi jinsia yake itakapobainika.Na jinsia yake itabainika baada ya ushahidi wa uwepo wake kuwa wazi.Kwa hiyo kumwita HE wakati hakuna ushahidi wa uwepo wake, ni kuutukuza mfumo dume wa watu wa mashariki ya kati ambao ndio waumbaji wa Mungu.Kumbuka wayahudi na waraabu wanathamini mfumo dume kuliko usawa.
 
Tuanaka kuelewa na siyo kuamini.Kuelewa kuna nguvu ya uhakika zaidi ya imani.Kwa nini tuamini badala ya kuelewa?
Nimependa jibu lako kwa sababu lina uhalisia halina unafki,wengine wanasema hawana tatizo na imani lakini majadiliano yao yanapingana na wanachokisema.

Kwa sababu haiwezekani wewe ambaye unasema ukweli kuwa hutaki kuamini uulize mungu kaumbwa na nani? halafu na anayesema hana tatizo na imani pia aulize swali hilohilo.
 
Kusema tu huna tatizo na imani haina maana ni kweli huna tatizo kweli.

Hakuna tofauti ya nyie mnayekataa kuwa hamna tatizo na imana na wale wenye kusema wazi kuwa hwataki kuamini.
 
Imani siyo kitu kibaya, kitu kibaya chaweza kuwa msingi inaposimama imani.Msingi ukiwa imara imani itakuwa ya kweli, lakini msingi ukiwa hovyo imani itakuwa potofu.

Kwa mfano, naamini mimi ni mwanaume kwakuwa NINAJUA kwamba mimi ni mwanaume, na ninajua mimi ni mwanaume kwa maana ushahidi upo.Hivyo imani yangu kwamba mimi ni ME ni ya kweli kwa kuwa inasimama juu ya msingi uelewa.Lakini nikiamini wewe ni ME bila kukufahamu inaweza isiwe imani ya kweli.Waweza kuwa KE, waweza kuwa Bisexual na imani yangu yakuwa wewe ni ME ikawa potofu.Na imani yangu kwako inakuwa potofu kwa maana imesimama juu ya msingi illusion.

Kwa hiyo basi, ili imani iwe na nguvu lazima isimame juu ya msingi uelewa.
 
Kwa lugha yangu ya kibantu, "kiranga" maana yake "shetani" kwahiyo sishangai kuona unashabikia kua Mungu hayupo. Pole sana ndugu maana anaekutumikisha tayar kasha hukumiwa.
Kama anashabikia Mungu hayupo ni wazi pia aamin kua shetani hayupo, sasa ni vipi uone anafanya kazi ya shetani wakati huyo shetani mwenyewe kwake hayupo?
 
Evolution is not a belief
 
Shetani kakosa nini?
 
1. The most perfect state is nothingness
Hapo mwanzo Mungu aliumba mbingu na nchi, nayo nchi ilikuwa ukiwa tena utupu, naye Mungu akasema iwe nuru, nayo ikawa. (There was a complete nothingness kabla ya kila kitu), so hapo nakubaliana na wewe kuwa mwanzo kulikuwa na nothingness.
2. The idea of God proposes that God is the epitomy of perfection.
Bad premise.

3. If God existed the only thing that would exist would be nothing.
Then God invent due to his Majesty Love, some things out of nothing. Remember that God does all this because of LOVE, not anything else. LOVE is the only reason me and you are HERE, right NOW.

Uncertainty principle says particles pop in and out of space everywhere
.
That is a principle, formulated by human beings like me and you, so it can not be relied upon.

5. Therefore God does not exist
In appropriate conclusion

In other words, the idea of a perfect God makes this God too perfect for anything to exist, the minute anything exists, this God does not exist.

What happens when you are all perfect and at the same time you are LOVING? Will you be just yourself in the whole universe? The answer is NO!
 
Kusema tu huna tatizo na imani haina maana ni kweli huna tatizo kweli.

Hakuna tofauti ya nyie mnayekataa kuwa hamna tatizo na imana na wale wenye kusema wazi kuwa hwataki kuamini.
Sina tatizo na imani kwa sababu nakujibu hii post na kukutumia usome nikiamini utaipata.

Ingawa sina hakika kwa sababu servers za JF zinaweza kupigwa na radi usiweze kupata jibu.

Lakini rationally thinking, chance ya hilo kutokea ni ndogo sana.

Natumia imani rationally.

Tofauti na fantasy ya kusema Mungu yupo wakati tunaona uhalisia una m contradict.
 
So God is not the epitome of perfection?
 
Hata mimi nilisema awali kabisa nataka kuelewa siipi imani umuhimu sana.

Lakini ukweli ni kwamba imani haiepukiki.

Ukishapanga siku yako kesho, unatumia imani. Hakuna anayejua kwamba kesho itakuwepo.

Ukijibu post JF, unatumia imani. Hakuna mwenye hakika kwamba unachoandika kitakuwa posted kabla server haijacrash. Imetokea mara kadhaa nimeandika halafu natuma, wakati natuma internet imekata au server imekataa kupokea post.

Kwa hiyo, tatizo si imani.

Hakuna anayeweza kuishi bila imani.

Hata katika kujua unaanza na imani.

Hata kwenye sayansi unaanza na hypothesis, una verify ndo unaenda kujua ukweli. Unapoanza na hypothesis kabla hujafanya experiment pale umetumia imani.

Sina tatizo na imani.

Anayesema anaweza kuishi bila imani hajafikiri vizuri.

Sina hata tatizo na imani mbovu kama hainigusi. The Universal Declaration of Human Rights guarantees right to freedom of religion.

Ila ukileta imani yako JF, nikaiona potofu, nina wajibu wa kusema ninachoona sawa.

Kuna tofauti kati ya umani rational ya kuamini jua litachomoza kesho au kuamini post yangu itakuwa posted JF on the ine hand na imani potofu ya kuamini Mungu anaye ji contradict on the other hand.

Kwa nini unataka kufananisha mtu anayeamini jua litachomoza kesho (kitu ambacho hakina contradiction) na mtu anayeamini Mungu muweza yote mwenye ujuzi wote na upendo wote kaumba ulimwengu huu wenye maovu mengi (kitu chenye contradiction) ?
 
Jibu lako ni rahisi, Mungu ni Roho, siyo damu wala nyama kama binadamu. Kumjua Mungu ni lazima uendane na frequency/wavelength zake, uwaze kama yeye, ufikiri kama yeye. Hiyo ndiyo test aliyotupa binadamu na ndiyo inayomtofautisha binadamu wa kiroho na binadamu wa kimwili.

Binadamu wa kimwili hutimiza tamaa za kimwili na kutafsiri kila kitu kimwili (materiality perspective), lakini watu hawajui ukweli kuwa "Ulimwengu unaoonekana umeumbwa kutokana na ulimwengu usioonekana"

"Mungu ni Roho, na wamwabuduo, wamwombao, wampendao yawapasa wampende katika roho na kweli. Tumepewa miili kwa ajili ya kujifunza tabia na personality yake hapa duniani kabla hatujahitimu na hatimaye kuweza kufanana nae. Tupo duniani kujifunza kumuakisi Mungu, kuvumilia katika shida na raha, na kujifunza kumpenda Mungu na wanadamu. Kwa kifupi tupo duniani kunakili personality ya Mungu.

Huo ndo ukweli ambao hauujui.
 
Roho ni uongo mwingine.

Huwezi kuthibitisha kwamba roho ipo.

Nikitunga kitu na kukipa jina na kusema hakijulikani na watu na hakipumiki, hilo halifanyi kitu hicho kiwepo.
 

Ndugu. Ni vyema sana kuwa unaongea ukweli na ujue unachokiongea. Unaweza kuwa ndio unatenda dhambi wewe mwenyewe. Usidanganye kuwa evolution ni belief. Pia usidanganye haina evidence wakati evidence zinaonekana. We unadhani mzungu na mchina na african walitokea tu? Simba kuelekea kufanana na paka ilitokea tu? Nyangumi kuzaa ilitokea tu, na popo kuwa na manyoya ilitokea tu mungu ndio aliwaumba hivyo hivyo...

Evolutions is science and not a belief. STOP lying, fahamu unachokizungumza na kuwa na ukweli.

Nakupatia evidences za evolution

101 Reasons Why Evolution is True | ideonexus.com

Three Main Pieces of Evidence Supporting Evolution

Kwa maelekezo yako tuambie Dinosaurs kwanini hawakwepo kipindi cha mwanadamu, Kwanini papa ni mnyama, kwanini kuna races, species mpya zilitoka wapi. Na kwanini unakataa kuwa mwanadamu anabadilika kutokana na mazingira.


Kwanini ufanano wa Embryos? Coincidence?


Kwanini ufanano wa aina za mifupa kwa wanyama? Coincidence?



Hayo mafuvu ya kale ambayo yanafanana na mwanadamu na nyani kwa mbali yalikuwa ya kina nani? Kwanini walikuwa wanatumia mawe kama tools za matumizi? Na walienda wapi?





Haya mawe walikuwa wanatumia nani? Na kwanini yanakutwa na hiyo mifupa na mavufu ya jamii hizo?





Kwanini huu ufanano?

Ukiweza kunijibu na kutoa points nitasadiki mawazo yako vyema. Lakini ukishindwa niache niamini ninavyoona ni logic kwangu.
 
So God is not the epitome of perfection?
I mis-interpreted "the epitome of perfection sentense", niliichanganya na maana nyingine.
Yeah it is true that God is the perfect example of the perfection. Kijana pale kunapokuwa na maneno mbadala ya kutafsiri phrase ni bora uyatumie ili yaeleweke kwa urahisi, wengine tumesoma St Kayumba!
 
 
You just proved that you can't follow the discussion.
 
FOUNDER WA EVOLUTIONIST IDEA ALIKUWA NI THEOLOGIAN BY PROFESSION CHARLES DARWIN BABU YAKE ALIYEMLEA AKIWA NI FREEMASON NA NDIYE ALIEMUINJECT HIZO IDEAS PIA. KITABU CHA PRINCIPLES OF GEOLOGY ALICHOKIWA ANAKISOMA KIKAMUINFUENCE KUTUNGA HUO HUONGO KILIANDIKWA NA CHARLES LYELL AMBAYE BY PROFFESSION NI MWNASHERIA. HUKU ALIYEANZISHA HOJA YA DUNIA IMEUMBWA MIAKA MINGI SANA NA HICHO NDIO KICHAKA CHA UONGO ULIOUATTACH NI JAMES HUTTON AMBAYE ALIKUWA MKULIMA BY PROFFESSION.

UKIIJIFUNZA KUTOKEA KWENYE MIZIZI EVOLUTION SIO SCIENCE NI KAMA DINI YA KIPANGANI TU NA UONGOUONGO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…