Michael Amon
JF-Expert Member
- Dec 22, 2008
- 8,775
- 3,610
Is there anyone who is capable of driving and play Need For Speed like me? Anyone to challenge me?
Young Master, labda nikuletee wale wanajeshi wangu.
Hujambo lakini?
Ndo nini hiyo.......mbona naona magari tu???
Need for speed ipi?
Shift,the run,hot pursuit?
Kwenye pc,ps3?
Sema then andaa challenge tucheze via LAN
Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
Hiyo game ya casual gamers as I have need for speed The run ps3 version inaboa sana.. Hawana kipya kama enzi zile za need for speed underground 2 enzi za playstation 2... Hizo ni game for casual gamers as hadcore gamers wana deal na assasin creed 3, Mass effect 3 tukipata free time...
Katika game za magari I culd never forget during my childhood ni gran turismo 2 kitu cha playstation 1 those days mwaka 2000, ilikuwa si mchezo kwanza kitu na disc 2...
Then burnout 3 take down kwenye ps2 miaka ya 2004, then need for speed underground 1 and exclusively underground 2 miaka ya 2004 zilikuwa si mchezo
Ila game zina raha yake utotoni, kuna siku mama alinikumbusha kwamba hakawai kuniona nimefurahi katika miaka yote aliyokaa na mimi kama siku aliyoleta playstation 1 home cristmass ya 99... As watu hatukulala mpaka asubuhi hadi vidole vikaota mabaka meusi...
Nowdays hakuna x clusive games kabisa I have a PS3 but naishia kujaza movies tu kwenye hard disk yake
Hiyo game ya casual gamers as I have need for speed The run ps3 version inaboa sana.. Hawana kipya kama enzi zile za need for speed underground 2 enzi za playstation 2... Hizo ni game for casual gamers as hadcore gamers wana deal na assasin creed 3, Mass effect 3 tukipata free time...
Katika game za magari I culd never forget during my childhood ni gran turismo 2 kitu cha playstation 1 those days mwaka 2000, ilikuwa si mchezo kwanza kitu na disc 2...
Then burnout 3 take down kwenye ps2 miaka ya 2004, then need for speed underground 1 and exclusively underground 2 miaka ya 2004 zilikuwa si mchezo
Ila game zina raha yake utotoni, kuna siku mama alinikumbusha kwamba hakawai kuniona nimefurahi katika miaka yote aliyokaa na mimi kama siku aliyoleta playstation 1 home cristmass ya 99... As watu hatukulala mpaka asubuhi hadi vidole vikaota mabaka meusi...
Nowdays hakuna x clusive games kabisa I have a PS3 but naishia kujaza movies tu kwenye hard disk yake
Dah! naona maluweluwe............siye utoto wetu tulikuwa tunafukuzana na ndege (vijeli na majorowe).
Bila kusahau gombania goli na kufukuzana na mbwa koko usiku
Dah! naona maluweluwe............siye utoto wetu tulikuwa tunafukuzana na ndege (vijeli na majorowe).
Bila kusahau gombania goli na kufukuzana na mbwa koko usiku
where are you cacico? i wanna give you ride.... uone jinsi nnavyombeat mr. Young Master kwenye nfs
Umeona eeh?
Wengine utoto wetu tumeutumia kucheza komborela tu na vinyengo...lol!
pole sana mkuu...hujui uhondo ulioukosa.
Hiyo ni game mpendwa.
jaribu FEAR 3 ni noumaaa, story line , visual effects, action ni kali niaje... assasin creed mbona hakuna kituHiyo game ya casual gamers as I have need for speed The run ps3 version inaboa sana.. Hawana kipya kama enzi zile za need for speed underground 2 enzi za playstation 2... Hizo ni game for casual gamers as hadcore gamers wana deal na assasin creed 3, Mass effect 3 tukipata free time...Katika game za magari I culd never forget during my childhood ni gran turismo 2 kitu cha playstation 1 those days mwaka 2000, ilikuwa si mchezo kwanza kitu na disc 2... Then burnout 3 take down kwenye ps2 miaka ya 2004, then need for speed underground 1 and exclusively underground 2 miaka ya 2004 zilikuwa si mchezoIla game zina raha yake utotoni, kuna siku mama alinikumbusha kwamba hakawai kuniona nimefurahi katika miaka yote aliyokaa na mimi kama siku aliyoleta playstation 1 home cristmass ya 99... As watu hatukulala mpaka asubuhi hadi vidole vikaota mabaka meusi...Nowdays hakuna x clusive games kabisa I have a PS3 but naishia kujaza movies tu kwenye hard disk yake
hapa utanishinda ila jaribu kwenye call of duty yoyote unayopenda, medal of honor au hata max payne yoyote kati ya zote huwezi kugusa....