Mkuu, hapo kwenye bei kuna tatizo, huenda ndiyo kwanza unafika Tanzania baada ya siku nyingi za kukaa nje, Bongo ya leo tofauti kabisa na ya miaka ilee! Hiyo simu unayoiuza kariakoo unaweza kuipata kwa laki 6 ikiwa mpya, kama imetumika mpaka laki 3.5 kutegemeana na hali, kuna jamaa wanajiita iStore wanauza iPhone 4s mpya kabisa kwa 800K, iphone 5 32 Gb wanauza 1.2M! iPhone 5 used zinapatikana mpaka laki 6!!!! Chukua muda wako mkuu uzunguke kwenye masoko mbalimbali, Mlimani City, nenda Posta nenda Kkoo baada ya hapo ndiyo upange bei ya hiyo simu, otherwise watu watakucheka!!!
Ni Ushauri tu!