IBRA wa PILI
JF-Expert Member
- Oct 12, 2017
- 1,448
- 2,289
Salute wakuu,
Baada ya kutulia na kufikiri sana, nikapata wazo la kufungua biashara ya vitu vya electronics sijui kama nipo sahihi. Vitu hivyo ni kama:
Sasa mpangilio upo hivi, mfano flash ya Toshiba GB 32 Ali Express unapata kwa 13,900 yenyewe 11,000 na usafiri (shipping) 2,900 mimi nitauza kwa elfu 25, maelewano pia yapo.
San Disk GB 16 Express inauzwa elfu 6 hadi 7 mimi nitaanza na elfu 15. Maelewano ya kushuka yapo kiasi.
Hapo hapo huku nilipo flash ya 2GB bei ni elfu 12.
Memory hapa nachukua pieces 20 zinakuwa (100) 8GB na 4GB jumla bei inakaa laki na 20 na kitu hivi.
Then 8GB elfu 10 pungufu ni mpaka elfu 8 then 4GB elfu 5.
Bluetooth ear phones hizi ni elfu 3900 mimi nitaanza na elfu 8, bei ya punguzo ipo.
USB wire hizi 1500 nitaanza na elfu 4
Card reader izi zipo za 800 ad 900 mi ntaanza na elfu 2500.
Hivyo ni vichache na mpangilio wake wa bei ni huo kwa utafiti mdogo niliofanya.
Mfano:
Flash GB 32 huku mkoani unaanza na 45,000 elfu mimi nitaanza na 25.
Kutokana na ninakotoa yapo mengi ya kuandika, ila huo ni mpangilio wa vichache.
Naomba mnishauri hapo nitatoboa kwa bei hizo lakini pia nitaweka vipeperushi kutangaza bidhaa hizi ili wengi waone hapo vipi mawazo yenu jamani.
Poleni kama uandishi hautakuwa poa.
NB: Utani na dharau hazifai. Ukikosa cha kuchangia pita kimya wapo wenye busara watatoa mawazo yao na sio kuvunjana moyo.
Muwe na siku njema wapendwa.
Baada ya kutulia na kufikiri sana, nikapata wazo la kufungua biashara ya vitu vya electronics sijui kama nipo sahihi. Vitu hivyo ni kama:
- Flash drive
- Memory card
- USB wire
- Charger
- Card reader
- Power bank
- Min speaker
- Bluetooth earphone
- Hair cutting machine
- External and Internal hard disk
- Protector za simu pamoja na cover
- Battery za simu na vioo
- Gaming pad, na vitu kama hivyo
Sasa mpangilio upo hivi, mfano flash ya Toshiba GB 32 Ali Express unapata kwa 13,900 yenyewe 11,000 na usafiri (shipping) 2,900 mimi nitauza kwa elfu 25, maelewano pia yapo.
San Disk GB 16 Express inauzwa elfu 6 hadi 7 mimi nitaanza na elfu 15. Maelewano ya kushuka yapo kiasi.
Hapo hapo huku nilipo flash ya 2GB bei ni elfu 12.
Memory hapa nachukua pieces 20 zinakuwa (100) 8GB na 4GB jumla bei inakaa laki na 20 na kitu hivi.
Then 8GB elfu 10 pungufu ni mpaka elfu 8 then 4GB elfu 5.
Bluetooth ear phones hizi ni elfu 3900 mimi nitaanza na elfu 8, bei ya punguzo ipo.
USB wire hizi 1500 nitaanza na elfu 4
Card reader izi zipo za 800 ad 900 mi ntaanza na elfu 2500.
Hivyo ni vichache na mpangilio wake wa bei ni huo kwa utafiti mdogo niliofanya.
Mfano:
Flash GB 32 huku mkoani unaanza na 45,000 elfu mimi nitaanza na 25.
Kutokana na ninakotoa yapo mengi ya kuandika, ila huo ni mpangilio wa vichache.
Naomba mnishauri hapo nitatoboa kwa bei hizo lakini pia nitaweka vipeperushi kutangaza bidhaa hizi ili wengi waone hapo vipi mawazo yenu jamani.
Poleni kama uandishi hautakuwa poa.
NB: Utani na dharau hazifai. Ukikosa cha kuchangia pita kimya wapo wenye busara watatoa mawazo yao na sio kuvunjana moyo.
Muwe na siku njema wapendwa.