Mkungunero
JF-Expert Member
- Aug 13, 2023
- 401
- 569
Je mwigulu nchemba alipaswa kuwa wziri wa pesa au waziri wa fedha? Au utafauti wake ni Nini na kwa nini asiitwe waziri wa pesa.
SahihiKiusahihi ilipaswa aitwe Waziri wa Fedha (Minister of Finance) lakini kwa namna alivyonajisi Wizara hiyo ni sahihi kuitwa Waziri wa Pesa (Minister of Money) au Money Dealer