Which cup get filled first

Which cup get filled first

zithromax

JF-Expert Member
Joined
Apr 26, 2016
Posts
7,990
Reaction score
8,740
IMG-20171022-WA0003.jpg
 
Namba 7 ndo itakayojaa mapema Chunguzeni kwa makini muone
 
Jibu ni 4..asa usituache na sintofahamu ulete hill jibu lako pia usijekuwa mwenyewe hujui
 
Haya jibu la mwisho ni namba 3 ndo itajaa mapema kuliko zingine
 
  • Thanks
Reactions: ywf
Namba 4 hauoni sehemu ya kuingizia maji imezibwa yatatokea wapi..???
Nimekurubuka, ndio maana nae kasema 99% wata fail, hii imeonesha wengi wetu hatupo makini maana ukiangalia vizuri namba 4 na 6 zimezibwa maji hayaingii, namba saba imetoboka
 
Back
Top Bottom