Which country has best intelligency agency

Hapa hakuna cha CIA wala MOSSAD wote hawa walilitetemeshwa na Iran baada ya drone yao kushushwa,wakati walikuwa wanajinadi ni invisible hata kwa Radar,baadae wanashindwa kujitetea na kusema eti hata hivyo ni public knowledge.Haya achilia hio marekani huyo huyo na mpambe wake Israel walituma Viruses katika mfumo wa syntax kupitia kampuni la siemens nchini germany kwenda Iran kudestroy computer zinazo rutubisha nuclear wakakuta mwarabu ameweka anti-virus hatari hivyo wakashindwa kabisa,basi mi niseme tu tuache ushabiki.
 
Kwa hiyo kwa mujibu wa kura nyingi humu, naona dili inawaangukia MOSSAD na anafuatia CIA.

Nilisikia Lebanon walikuwa wanamshikilia kama mfungwa Tai ambaye wamemwachia juzi juzi, eti wanamtumhumu kuwa agent wa MOSSAD. Teh! Bila shaka hawa jamaa wa MOSSAD ni balaa sana.
 
mossad, cia then mi6.., huwezi kuwa-rank isi kama namba moja, hizo data tulishawaambia kwny ile thread ya kule kwamba inategemea research yao hao waandaa data ilikua na lengo gani, lakn kwa facts.., isi haiwezi kuwa namba moja..,

Intel failure ya kujua osama alikua kwao hadi cia wakafahamu, then wakafanya daring mission ya kuingia deep inside ya pakistan without detection,,

Kwa maana nyingine cia wana-intercept communication yote ya isi na military yao kwa sbb wasingejiaminisha kuingiza makomandoo wao that deep.., cia wana rendition programmes all over europe na in some countries in asia,

kwa upande wa mossad, wamefanya daring missions nyingi tu, kuanzia yam kippur war huko nyuma, assasinations ya waliohusika na munich massacre, operation thunderbolt, assasination dubai, assasinations of nuclear scientists inside tehran, remember, hizi assasinations zinahitaji valuable,precise and sufficient intel about targets, wanaweza fanya surveillance for up to years to get their targets infiltration of their agents within cia, son of hamas, just to name a few

waingereza..., ni outstanding kwny military intel, they have a programme called polaris..., hivi vitu ni facts na vinajulikana

Sasa kwa wanaosema isi,, lets debate, watoe mifano ya kazi zao ambazo zinajulikana



Mkuu hivi unajua waliokuwa wanakusanya intelligence kuhusu osama ni ISI??

hivi unajua kuwa ISI walihodi jengo pale ahmedabad kucheck nyendo zote za ile nyumba aliyekuwapo osama??
 
Kuanzia nasa.... nsa.... dod... bado biggest social networks nk vyote hivyo ni source ya cia information. Mossad wenyewe wanaomba data kutoka usa...

Mimi nikiwa boss nikawa nakutuma ukatengeneze gari haimaanishi kuwa wewe ni best. Mossad wanaweza wakawa wazuri katika kitu flani. Lakini best of best intelligence ni CIA acheni utani na langley.
 
Kuanzia nasa.... nsa.... dod... bado biggest social networks nk vyote hivyo ni source ya cia information. Mossad wenyewe wanaomba data kutoka usa...

Mimi nikiwa boss nikawa nakutuma ukatengeneze gari haimaanishi kuwa wewe ni best. Mossad wanaweza wakawa wazuri katika kitu flani. Lakini best of best intelligence ni CIA acheni utani na langley.
Mkuu umemaliza.
Inabidi watu wapewe somo kuhusu mambo Ya pale Langley
 
Back
Top Bottom