nilikuuliza tu manake unaonekana ni mwanamke unayejiamini sana kwa kusema.."Huyu Binti haoni ndani kwangu..."
ha ha ha.... Lazima nijiamini Wilbald katika ulimwengu wa leo mabinti wazuri wamekua wengi mpaka inaboa...
ninaweza nikawa saizi nimekua mzee but sikati tamaa. kama wife wa huyo Ashton Kutcher wako...
kijana mdogooo but the wife mmmmh!!! au unasemaje??
soundz gudHabari ya jumatatu wanajamii wote haswa wa MMU,Jumatatu ya leo ningependa kuwapa dedication wale wote wapendanao, na wenye mapenzi mema kwa wenza waoChek huu wimbo wa Shania Twain, kwa mie huwa nakumbukambali sana, ni siku nyingi nilimpa la aziz wangu kama dedicationna yeye since then amekuwa akiusikiliza mara kwa mara apatapo nafasiNaomba ku share na nyinyi "When You Kiss Me" This could be it, I think I'm in loveIt's love this timeIt just seems to fit, I think I'm in loveThis love is mineI can see you with me when I'm olderAll my lonely night are finally overYou took the weight of the world off myshoulders (the world just goes away)[Chorus:]Oh, when you kiss meI know you miss me--and when you're with meThe world just goes awayThe way you hold meThe way you show me that youadore me--oh, when you kiss meOh, yeahYou are the one, I think I'm in loveLife has begunI can see the two of us togetherI know I'm gonna be with you foreverLove couldn't be any better[Repeat Chorus][Instrumental Solo]I can see you with me when I'm olderAll my lonely nights are finally overYou took the weight of the world off myshoulders (the world just goes away)[Repeat Chorus]And when you kiss meI know you miss meOh, the world just goes awayWhen you kiss me
Mbona sioni link yoyote? embu niwekee niwaone BJGaga, I thought of hii thread yako nilipangalia hii video chini ( Hao characters ni kwenye Grey's Anatomy series, niliipenda sana hiyo couple)!!..matukio yao yameendana na wimbo!!..
Kweli kabisa kwenye mahusiano kinacho matter ni upendo, age its just a numberBut our chemistry do match...and what bind us together are love,passion,happiness,values and finally our potential familly na ndo mamaa anajiandaa tukale raha Ar town.
Mie atlast jana nimefanikiwa kuuban, ni mzuri ajabuGaga, I thought of hii thread yako nilipangalia hii video chini ( Hao characters ni kwenye Grey's Anatomy series, niliipenda sana hiyo couple)!!..matukio yao yameendana na wimbo!!..
Wapi Gaga... hata huniarifu dear kua Mpenzi kachakachuliwa??? Dah! basi tena...lol
Si umezubaa kule kwenye quotes, shauri yako si umesoma ile thread ya jamaa katoa mahali akachukuliwa na rafiki wa yule mchumba?
Najuta!! Sina nguvu... kwanza nilitaka kupaisha quote yake peke yake nikaona
soo ndo maana hadi akina Gaga wakaingia...lol... alafu kachakaculiwa.. sijui nikaedit nimtoe...
Usomtoe bwana mwache palepale nafasi yake, unajua kutamani huwa kupo tu hata asiyesema huwezi jua katamani wangapi
uzuri wake wanatamani na kwenda zao hawamaanishi toka rohoni
Asante kwa busara zako umenirudisha katika mstari... but mmmh! haya nimekubali...
Rudisha moyo nyuma hawa wenzetu viumbe dhaifu
hamana lolote... kinachonirudisha moyo nyuma sababu tu hamna kama yeye kwa sasa...lol
Afadhali maana anaweza kunywa sumu..... the same kwa swt wangu Wilbald
dah...ndo mmefika huku
kwlei kijijini noma asee, haya mambo ya si-mbioni pawa haya, na kilimo kwanza, umeme hakuna hadi nimepitwa hivi
naombeni kwanza linki ya hiyo sredi ya quotes,
halafu gaga nione binafsi nina zawadi yako, maana umenilindia Adhadii wangu hapa asije peperuka bure...
Adhadii mpenzi nimekumiso kupita maelezo....:happy:
afadhali umejileta ulivokaa kimya nikajua umeshaona mambo iko kule, afadhali sasa mtoto wa watu atapumuadah...ndo mmefika huku
kwlei kijijini noma asee, haya mambo ya si-mbioni pawa haya, na kilimo kwanza, umeme hakuna hadi nimepitwa hivi
naombeni kwanza linki ya hiyo sredi ya quotes,
halafu gaga nione binafsi nina zawadi yako, maana umenilindia Adhadii wangu hapa asije peperuka bure...
Adhadii mpenzi nimekumiso kupita maelezo....:happy:
Sweetie Kaizer i was sick with worry.... Am am so happy... thot i had lost you..
The link Darling is
https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/146645-mmu%92s-jf-special.html
afadhali umejileta ulivokaa kimya nikajua umeshaona mambo iko kule, afadhali sasa mtoto wa watu atapumua
Thanks sweetie, siwezi kupotea kirahisi hivyo, am ALL yours, everone knows that baib...
I am right back honey....
What matters is now i know... and no dada to changanya you while am yours...
Love you Sweetie...lol
Love you too baby...have seen Gaga? Got some present for her, she really protected you while I was away....
And there is NO ONE who can change my mind...its kind of "stuck on you"......LOL