When JF becomes source of information for BBC-It is encouraging!

When JF becomes source of information for BBC-It is encouraging!

pia hizi picha zilikuwapo michuzi na mjengwa

JF tuwe wakweli picha zetu nyingi tunachomoa kwenye blogs za wengine bila hata kutaja source.
Tunapojipongeza tusisahau kuwapongeza kina michuzi na wengine tunakocopy hasa picha.
 
Mimi ninapopewa taarifa yoyote ambayo ninamashaka nayo, huwa natembelea JF kwanza, kama haijawekwa basi au haipo ninakuwa na mashaka lakini kama ipo JF, najua ni kweli.

Hata usiku ule mke wangu aliponiamsha na kuniambia habari za kifo cha Kanumba nilitafuta ukweli kwenye JF nilipokuta imeandikwa basi nikamwambia my wife ni kweli.

Kwa hakika JF ni ya UKWELI.
 
JF tuwe wakweli picha zetu nyingi tunachomoa kwenye blogs za wengine bila hata kutaja source.
Tunapojipongeza tusisahau kuwapongeza kina michuzi na wengine tunakocopy hasa picha.

Ni sahihi sana habari nyingi kama mimi naweza nisitazame Tv wala magazeti lakini najua habari nitapata JF.
Kitu kimoja ambacho nawashauri JF mod ni kuwa wawe na mpiga picha maalum anaweza kuleta matukio katika picha.Hili limeonekana kuwa na kasoro kuwa tegemea wana memba walete picha wakati wengi wetu hatuna kamera.Na simu zetu nyingi ni za kichina haziwezi kuleta picha nzuri hapa.Invisible zingatia hili.Ndo maana utakuta watu wengi watasema lete picha mkuu halafu kimya.

Jitahidini sana kama wafanyavyo wengine muwe na mpiga picha maalumu.Ni kweli JF iko juu sana kuliko blog zingine hapa bongo,tatizo ni hili la picha.Pia kama matukio yanafanyika nje ya dar basi jaribuni kuwasiliana na wenye tukio ili wawarushie picha.Mfano kama mkutano unahusu cdm basi wasilianeni na kina makene tumaini ili walete picha hapa au Nape au Mtatiro kwa ccm na cuf.Nadhani mmenipata.
 
Kwakuwa JF ni watu mahili wasiokuwa na uchoyo wa habari na wanvyanzo vya uhakika!, na woteJF members wanamoyo wakujitolea bila kujali hapati kitu! kwani wangeweza kupeleka habari kwenye media na wakapewa pesa!, lakini wanaleta hapa JF tena kwakushindana na hata kama ni habari mkatiko!! kila mtu anataka yeye awe wakwanza na apate coverage ya thread,nakujisikia ametoa habari bila ya upendeleo nadhani hiki ndiyo kitu watu wengi walicho nacho JF!!

Kwanza (Uzalendo)Nakumbuka jana Preta alitutumia picha akitokea mbali natukio japo yawezekana kapata kutoka vyanzo mbalimbali lakini yeye alikuwa wakwanza!! Hujui kapoteza mdakwa kiasi gani!
 
Inawezekana huyo aliezileta ndo huyohuyo reporter wa BBC, hapa tuwe na upana wa fikra vinginevyo tutajikuta tunasifia kivuli chetu wenyewe.
 
Ni source ya habari za kiukweli na chukizo la wababaishaji wanaotuzunguka katika jamii yetu ya TZ
 
Jf wakuu ni kiboko! 2015 nitatumia michango ya Jf kwenye campaign, chezea kitu ingine siyo Jf! Almanusura nivunje mbavu niliposhuhudia mabishano kwenye bus. Jamaa aliyibuka bingwa kwenye mabishano akahitimisha kwa kusema, huwa tunapata taarifa kupitia Jamiiforums sisi!! Heshima zote kwa Jf!
 
Nadhani sasa tukubaliane kwamba JF imekuwa chanzo kikuu cha taarifa tunazipata kabla ya wananchi wengi na vyombo vingi kutangaza au kuandika ,Bravo JF members.mods and owners

Naam. Nakumbuka ajali ya Dkt Bilal huko Mombo, pamoja na kuwa tukio hilo HALIKUTANGAZWA ipasavyo na vyombo vingine vya habari hapa nchini!
 
It is encouraging.

JF has been successful and will remain to be strong online forum with its all reputable mods, members and guests.
 
Nimeacha kununua magazeti. Habari ambazo mimi nimezipata saa hizi kupitia JF utakuwa kesho watu wanazishangaa nami nabaki kuwashangaa kwamba kwa nini hawazijui hizo habari tangia jana yake. Huwa najikuta nadhani kwamba watu wote ni members wa JF hivyo wangekuwa nazo kumbe siyo wote wamo JF!
 
kibonde alisema haifahamu JF.... wenzake walishangaa...
 
Nadhani tukaze buti zaidi ili tuendelee kuwa chanzo kizuri cha habari daima
 
Mkuu Kitila Mkumbo, kiukweli jf inaheshimika sana tuu. Kuna issue niliwahi kuipost humu jf, kesho yake ikashushwa front page ya gazeti fulani "para material" bila kubadili kitu!.

Naamini ni kufuatia hii reputation jf ni very reliable sorce of info kuhusu TZ.

Ukiaminiwa, jiaminishe, as jf members tuna jukumu la kui maitain hii reputation kwa kumaitain truthfulness, objectivity, impartiality na balancing kwenye issues tunazoshusha humu jf.
Leo pia ni kumbukumbu ya kifo cha Stephen Kanumba . RIP Stephen Kanumba
P
 
Back
Top Bottom