Scott junior
JF-Expert Member
- Mar 24, 2022
- 2,382
- 3,146
Ukiachana na mimi hapa nani mwingine anatokea familia ambaya haina WhatsApp group?😂
Mkuu hakukusema kweli ?Duh nilijitoa baada yamichango ya kijinga jinga kuzidi
Hahaha huwa hata sijafuatilia wanasemaje mkuuMkuu hakukusema kweli ?
Kuona kama labda umejitenga?
Naamini 90% ni wazee mkuu😃Familia yangu 90% ni watu wanatumia batani so hamna grp
Pia Mimi issue ya michango naona imekaa kihuni kwakuwa .
Mtu akihitaji Ada huwa hawamchangii na hata ukiumwa Ila kuoa na kuolewa MTU anachangia 2M
Sio wazee Ila wengi darasa la 7Naamini 90% ni wazee mkuu😃
🤣Sio wazee Ila wengi darasa la 7
Wale simu ni kupiga kupokea kutuma sms na kuwasha torch🤣
Mulemule
Wazee au darasa la saba kamaHakun la ukoo wla family
Huwa naamini mkuu haya mambo yapo kwa washua zaidi au civilized society .Hahaha huwa hata sijafuatilia wanasemaje mkuu
Sijajua masterWazee au darasa la saba kama
Mdau alivosems juu
Huwa naamini mkuu haya mambo yapo kwa washua zaidi au civilized society .